Boss sijui hasa swali lako ulikua unamaanisha nini. Sijawahi kufanya biashara yoyote na USA, na kwasasa sitegemei any soon. Lakini nimewahi kuagiza vitu kadhaa kutoka USA lkn kutumia eBay.
Kuhusu kujuana na mUSA na kunisaidia kibiashara... iko hivi nilikutana na Prof. Thom Jayne huyu ni Foundation professor kutoka Michigan State university na Director wa Alliance for African Partnership.
Alinipa mchongo m1 wa kuniunganisha na prof Sianga wa Eldoret university, tukaingia mkataba wa wao kufanya research kwenye kuku wangu kwenye kudevelop Probiotics an alternative to antibiotics. So nakula faida mara 2, kulipwa na hawa watu wa research na kuuza products zng.
Hp nikiwa na Prof JaneView attachment 512885
Mi nataka kununua kabsa,,Hizo ni bei za kukodi,ni Shamba lililowahi kulima,siyo pori
Mkuu mahindi yako umewahi kuuza kwenye mashine za kusaga na kukuboa? Maana huwa wanataratibu za kupima wastani wa mahindi kama mahindi ni mbegu ya kisasa huwa yanasumbua sana kuyauzaSamahani boss nililipita swali lako.
Mahindi natumia mbegu ya East African Hybrid seed, hii inatoka Kenya.
Mpunga nilinunua mbegu kutoka NAFCO.
Aisee, sasa kwa kijana ambaye ni mgeni kwenye ishu za ujasiliamali, namaanisha hajakomaa vizuri,Boss sijui hasa swali lako ulikua unamaanisha nini. Sijawahi kufanya biashara yoyote na USA, na kwasasa sitegemei any soon. Lakini nimewahi kuagiza vitu kadhaa kutoka USA lkn kutumia eBay.
Kuhusu kujuana na mUSA na kunisaidia kibiashara... iko hivi nilikutana na Prof. Thom Jayne huyu ni Foundation professor kutoka Michigan State university na Director wa Alliance for African Partnership.
Alinipa mchongo m1 wa kuniunganisha na prof Sianga wa Eldoret university, tukaingia mkataba wa wao kufanya research kwenye kuku wangu kwenye kudevelop Probiotics an alternative to antibiotics. So nakula faida mara 2, kulipwa na hawa watu wa research na kuuza products zng.
Hp nikiwa na Prof JaneView attachment 512885
Na vipi kuhusu mbegu za mhogo boss ?Ruvuma mbali boss wng.
Watu wengi wanalima mihogo pwani ambapo ni karibu na Dar. Ukiweza kujaza canter na kuleta Buguruni, Dar, wala huiti wateja. But mimi hua nauzia shamba - tunamalizana porini, bugudha za mjini sitaki.
Ongea tu na mwenye Shamba.kwa namba nilizo kupmMi nataka kununua kabsa,,
ya ukitoka Dumila ukichukua njia ya kilosaMkuu msowero ya njia ya ifoza au msowero ya wap..maana njia yng iyo tu ifakara mngeta mbingu hadi mlimba
Mkuu kilimo ni kubet.Nimelima ekari tano nikajua maisha nimeyakatia denge.,........Aisee kilicho tokea mvua wa april to may.....Yaani acha tu.Mkuu ONTARIO naomba kujua unapozungumzia mtaji wa kwanza ulipata JKT,ina include hilo banda?kwa mtu aliyechelewa,akijicommit na kilimo heka tano hadi kumi na ufugaji kidogo anaweza kutoka na kukaribia hata robo ya level yako?Pia ni busara kuacha ajira ambayo unaona haitakufikisha mbali ukasimamie mradi wako?
Hakuna shaka nduguOngea tu na mwenye Shamba.kwa namba nilizo kupm
Nicheki PM boss wangu maana si vzr kuwek mawasiliano ya watu hapa hivi.Daaaa mkuu hebu niunganishe na hao wadau wako maana Mimi tayari ninao hao kuku wana week ya tatu sasa. Na Nina fugia maeneo ya Kitunda mkuu, maana Mara ya kwanza sikupata faida, kwani niliuza kuku mmoja tzs 5000 wakati huo mfuko mmoja nilikua nanunua kwa tzs 70000, ila sikukutaka tamaa nimerudia tena sitaki tena kilichonikuta tena mwanzo kinikute, maana Mimi mwenyewe Niko Chuo mkuu nimetumia boom kufanya hii project
Boss! We challenging status quo and breaking stereotypes. Trust me, niliwahi kuwa na kila kitu kinachohitajika kupewa mkopo, na financial statements zangu zilikua zinaprove naweza kuwalipa huo mkopo wao ht kabla muda haujafika, lkn CRDB walininyima mkopo kisa umri, nilikua nina miaka 21 wakati huo.Baada ya kusoma maelezo ya mwanzo na replies zako kwa maswali na comments za wakuu mbalimbali katika uzi huu, na kama nimeelewa vizuri kuhusu umri wako, kuna sehemu umesema unataka uwe na kampuni 5 kabla ya kufika miaka 25, ikiwa na maana hujafikisha miaka 25. Hii inanipa shida kuamini kwamba uko below 25, au labda sijaelewa vizuri kuhusu hilo la kabla ya 25 years. Mkuu kama hutojali, ufafanuzi pls.
Mara zote nimekuwa nikiuza mahindi mabichi, apparently asilimia 90 ya wakulima wa bonde la ruvu tunauza mahindi mabichi.Mkuu mahindi yako umewahi kuuza kwenye mashine za kusaga na kukuboa? Maana huwa wanataratibu za kupima wastani wa mahindi kama mahindi ni mbegu ya kisasa huwa yanasumbua sana kuyauza
Wataalamu huwa unawatoa wapi boss na hawapigi Pesa ndefu??Gharama gani boss?!
Heka 1 ni 800k maximum, kila kitu... shamba, dawa, mtaalam (though situmii siku hizi), vibarua yani kila kitu. Except vitendea kazi kama water pipes, water pumps, sprayer, sprinklers (hizi zipo nje ya hiyo 800k).
Nilikaa kimya kwa sababu maalum ili nione maswal mengi na majib mengi,ili nisije uliza maswal yaliyokwsha ulizwa,,Mara zote nimekuwa nikiuza mahindi mabichi, apparently asilimia 90 ya wakulima wa bonde la ruvu tunauza mahindi mabichi.
Nikiwa na mahindi makavu nayatumia binafsi kama malighafi ya kutengeneza chakula cha kuku wangu.
Boss katika kila changamoto there's always an alternative.