Naomba upesi nijibiwe haya Maswali yangu na Watangazaji pamoja na Wachambuzi wa Michezo wa Redio nchini

Naomba upesi nijibiwe haya Maswali yangu na Watangazaji pamoja na Wachambuzi wa Michezo wa Redio nchini

Ahhhh!
Kama lengo lako kubwa ni hilo nimekuelewa vizuri Sana. Ukichunguza comments zangu kuhusu maamuzi mbalimbali ya marefa likiwemo goli Kona dhidi ya Yanga, penati zisizokuwa penati, Kadi za njano zilizostahili nyekundu dhahiri nk huwa nasisitiza "uwezo wa marefa ni mdogo" halafu ndo lije suala la kuhongwa. Siwezi kulaumu rushwa au upendeleo bila uthibitisho lakini kilicho dhahiri ni kwamba marefa wa kitanzania hawana uwezo kabisa wa kufikia maamuzi sahihi katika matukio mengi, na hili linathibitishwa na jinsi Kamati ya Waamuzi ya CAF inavyowachukilia wa kiwango cha chini na hivyo kutowapanga kuchezesha mashindano Makubwa ya CAF/FIFA. Kama tatizo lingekuwa ni rushwa hapa ndani huko CAF wangefanya vizuri lakini wanaonekana ule msemo maarufu wa "MADHAIFU YA KIBINADAMU" umedhihirika zaidi kwao kuliko nchi nyingine.
Maamuzi yao kuna siku yatatugharimu kimataifa
 
Ukitaka kujua marefa hawana aibu, kuna mpira ulipigwa goal kick kutoka lango la Simba ulimkuta Luis kibonge Nickson akiwa amezidi zaidi ya mita 10. na Refa na msaidizi wote waka kausha
Ilibidi beki wa Singida Nicholaus Wadada amkimbize Luis mpaka aka mkuta na kumnyang'anya mpira.

Ivi inawezekana vip offside kama ile refa au line 2 wasiweze kuiona na wakapeta?
Ninavyojua (Niko tayari kurekebishwa) ni kwamba mpira uliotoka goal kick hauna offside kama ilivyo mpira wa kurusha.
 
Ukitaka kujua marefa hawana aibu, kuna mpira ulipigwa goal kick kutoka lango la Simba ulimkuta Luis kibonge Nickson akiwa amezidi zaidi ya mita 10. na Refa na msaidizi wote waka kausha
Ilibidi beki wa Singida Nicholaus Wadada amkimbize Luis mpaka aka mkuta na kumnyang'anya mpira.

Ivi inawezekana vip offside kama ile refa au line 2 wasiweze kuiona na wakapeta?
Mkuu nadhani kipa wa singida alikuwa nje ya box hivyo automatic aliua offside
 
Unakumbuka msimu ulopita mpira wa lomalisa uliotoka nje kabisa na ukazaa goli vipi ulilalamika chifu!!!! Kweli nimeamini nyani haoni kundule samahani nimelazimika kuukumbuka huu msemo.
Mapungufu ya Marefa katika Mechi zao huwa hawaoni na wala hawajadili, ila huwashwawashwa zaidi pale yakitokea kwa Waume zao Tukuka Simba SC na ndiyo maana nimemuita Mnafiki na Juha vile vile.

Cc: redio
 
Mapungufu ya Marefa katika Mechi zao huwa hawaoni na wala hawajadili, ila huwashwawashwa zaidi pale yakitokea kwa Waume zao Tukuka Simba SC na ndiyo maana nimemuita Mnafiki na Juha vile vile.

Cc: redio
Kama mipira ya kutoka msimu uliopita Mkude alifunga goli dhidi ya Prison mpira ulisha toka ukaridushwa ndani kabla ya kufungwa goli.
Kama unazunhumzia Geita Geoge mpole alifunga goli la kona dhid ya Simba refa akadai Kapombe kasukumwa wakati haikua hivyo.
 
Hivi huoni Aibu kutumia IDs zako karibia Tano ( 5 ) hapa JamiiForums Kupambana nami halafu zote nazijua na wala hufanikiwi kwa unachokitaka kinitokee?

Pumbavu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Wew ni mbumbumbu kabisa
 
Kama mipira ya kutoka msimu uliopita Mkude alifunga goli dhidi ya Prison mpira ulisha toka ukaridushwa ndani kabla ya kufungwa goli.
Kama unazunhumzia Geita Geoge mpole alifunga goli la kona dhid ya Simba refa akadai Kapombe kasukumwa wakati haikua hivyo.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Back
Top Bottom