Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
Hakika haviendi pamoja. Nami nimechagua kutafuta demu na kutulia naye.Demu wa nini wakati upo chama cha wapiga nyeto ?
Wewe chagua Moja, kutulia na demu au kupambana na nyeto.
Hivi vitu haviendi pamoja.
Shukrani sana kwa maandiko matakatifuUmeshakaa ukawaza kuwa muda wowote unaweza itwa na ukajikuta mbele ya Muumba wako? Ulishaandaa majibu ya kumpa utakapoulizwa juu ya matendo yako likiwemo hilo la kuzini moyoni na kujichua?
Kaa tafakari. Jua kuwa kama wanavyoanguka wengine sasa, kuna siku, na inaweza isiwe mbali, zamu yako itafika. Hakikisha unafanya amani na Mungu mapema kabla ya siku hiyo, ambayo inaweza kuwa miaka 50 mbele au ikawa leo hii hii.
Mathayo 5
28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Vitu gani tena?Bila shaka vya mkono unapiga
[emoji120]Utakuta mtu nae anapiga nyeto na kuangalia hizo porn vibaya mno na ameshindwa kuacha ila katika huu uzi katoa ushauri mzuri kwa mwenzie kuacha
Shukrani sana kwa ushauri.Wewe angalia tu ila wakati huu sasa anza ku develop tabia mpya ya kuangalia bila kujichua ukiweza mara mbili mara tatu umeweza forever
Mimi nilianza zamani kidogo 2002 huko na mpaka sasa naangalia for leasure pia hicho kipindi cha mwanzo cha kuangalia bila kujichua hakikisha demu wako yupo karibu hamu zikizidi unamnyandua hivo hivo mpaka utaona kujichua ni upuuzi.
Ila tafuta kazi ya kufanya inaonekana upo na iddle time sana.
Hiyo ndiyo dawa ya kudumu. Hudhuria pia misiba. Itakupa big picture ya maisha ambapo Porn sio sehemu ya equation. Ukijifungia ndani waweza kudhani ngono ni big deal. Ni kuwa myopic tu.Shukrani sana kwa maandiko matakatifu
Shukrani sana ndugu kwa ushauri. Nishaanza safari ya siku 40 na leo nipo siku ya pili naomba niombee nifike salama.Dah nampa pole sana, urahibu wa punyeto nizaidi ya madawa ya kulevya. Naomba nikupe njia zilizonisaidia kitambo iko sijasaliti chama la wana CHAPUTA
1. Toa vyanzo vyote vinavyokupa urahisi wa kutazama video za ngono ( ukiweza kushinda hii punyeto umeacha)
2. Hepuka kukaa mwenyewe, jitaidi kujichanganya kwa watu au kutafuta kitu kitakacho bana mda wako usipate nafasi yakuwa mwenyewe
3 tatu na mwisho na hapa ndipo penye ugumu ila ukishinda mtiani huu uko kwingine unateleza tu.. fanya ufanyavyo kama kweli umezamilia/amezamilia kuacha ajitaidi kwa siku 40 mfululizo asipige punyeto wala kutazama picha za ngono. Ningumu sana ila ukiwanania utaweza.
Ukiweza kumaliza izosiku 40 ambazo ningumu kama kazi ya zege unakua umetoka kwenye ile adicted kali, hata mapambano sasa yatakua sio mazito.. bada ya hapo muendelezo unakua rahisi sana ila ukitaka urudi kawaida kabisa jitaidi umalize siki 90. Kila lenye heri mkuu
Ila madhara yake ni nakubwa sana aiseeJipya mbona lipo maana warembo wanabadilika ...hilo tayari jipya.
Alafu mbona naona porn ndio i aleta mzuka zaidi na kitu kusimama imara.
[emoji120]Ni rahisi sana kama utajiweka busy na mambo mengine, na Ni rahisi zaidi kama utajikita na Imani.
kutafuta dem na kuoa siyo suluhisho, Yesu ndio anaondoa tamaa na kiu ya ngono isiyo kwenye mpangilio wala halal.[emoji120]
View attachment 1718087
Unaweza ukatumia hii ijapokuwa zimebaki chache tutagawana hivyo hivyo!
[emoji120]kutafuta dem na kuoa siyo suluhisho, Yesu ndio anaondoa tamaa na kiu ya ngono isiyo kwenye mpangilio.