Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Siwezi kukataa kuna miwatu ya hivyo ila mbona wanaume wa kukustiri na kukuheshimu wapo kibao ,maana kwa maumbile ya mwanamke asiye malaya anapenda awe na msiri wake mmoja wakupeana maunono ,give it a try kuliko kuadhibu waote kwa kuficha asali kwa kuificha dalini ,usitufanyie hivyo
the only &only one. Swagga kama mengi.
Naona ndoano.......💏💏💏
 
Unafu
Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app
Unafunika papuchi ili iweje?!
 
Amua kuacha! Dawa ya kuacha kitu ni kuamua kuacha na kuacha kweli. Simamia kuacha full stop
 
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia playstore chukua Porn block" app zipo nyingi iweke kwenye simu yako then itakusaidia...

Mimi ni mwanaume pia ambaye nipo busy sana na muda wangu kuwa busy ulinifanya nisiwe na girlfriend mpaka leo naongea ...

Ila nilikuwa na tatizo kama lako mimi nilikuwa naangalia ngono hata wakati nipo darasani wakati nachukua degree yangu South Africa ......

Ila badae nimejikuta naacha kuziangalia baada ya kuweka izo app kwenye simu yangu ...

Pia uwa napenda kwenda club nazuga na mademu kwa kukaa nao kupiga story kiufupi pia sipendi kufanya mapenzi kabla ya muda kujizeesha .

Naamini katika kufanya kazi mpaka niwe Rich man ndio nivute demu mwenye sifa zangu

So hizo app zitakusaidia ila nakushauri pia uwe unaenda club kama unakula gambe kula za kutosha na relax na wanaume uwazoee but usifanye sex kama ujalidhia ..

Asantee.
 
Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app

Miaka mitatu mkuu ? Yaani papuchi ime graduate bachelor of science (miaka mitatu) ingali unbeaten with cleansheet ? Aaaah....
 
aisee mkuu hyo kitu ina addiction mbaya san mwenyew daily MB zangu znaishia kustream hzo mauchafu itabd tusaidizane kutokomeza hyo kitu
 
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa me na demu wangu,tupo mikoa tofauti yaani anaweza kufanya hiyo mara mbili kwa siku,ata akiwa kazini hasa kama zamu ya night,akipata upenyo tu analoo, cha ajabu ye ni expert wa mambo ya afya,Nilidhani ni peke yake kumbe mpo wengi.
 
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Pole sana mim pia ni mmoja wa hilo Janga hila cha Muhimu tukae siku tukae wawili tu mimi na wewe siku nzima tujue jinsi gani ya kutatua hili tatizo na nakuhakikishia lazma tutapata Solution
 
Toboa macho maana ndo yanakuponza ufanye hio dhambi

Sent using boeing 737 max8
 
you are what you eat, yani kile unachokula ndio ndicho kinachokujenga wew ulivyo kama una adiction ya kuangalia porn jua kuna sababu inayokufanya kufanya hivyo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Third year papuchi imefunikwa"
Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom