HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo nilikuwa naagalia online na TwitterKabla hujaacha mkuu usizifute kwanza nije nizihamishie kwenye pc yangu
Weka link hapaTatizo nilikuwa naagalia online na Twitter
Ndugu haiwezekani kwani nitakuwa na sambaza tatizo na sio kutafutia ufumbuzi.Weka link hapa
Nakataa hii sio tabia yangu na bado sina mke so lazima niishinde tabia hiiangalia tu kwani nini asee!?? usijilazimishe kuiga tabia za wengine, ili mradi angalia peke ako na mkeo, weka mbali na watoto si nzuri
We usiangalie ...tutaangalia sisiNdugu haiwezekani kwani nitakuwa na sambaza tatizo na sio kutafutia ufumbuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] ushauri umefika kwa mshauri
Hii kweli ni njia sahihi lakini ukikaa kaa peke yako bila kazi, lazima ushitue mkono.Utayari wako, what are you doing lately? Mwanafunzi, mwajiriwa, umejiajiri au upo idol? Are you so lonely?
Ukiwa na muda wa ziada badala ya kuangalia ngono jaribu kufanya vitu vingine kama kucheza mpira, mazoezi, kuangalia mpira, movie, kutana na marafiki ubadilishane nao mawazo, na mambo kama hayo
Basi aendereeee yuko na mitano tena ya kuangaria ngonoInasema.mitano Tena [emoji1]
Hapana hiyo ilikuwa ilani ya ccm.Mimi naacha kuanzia leoBasi aendereeee yuko na mitano tena ya kuangaria ngono
Asante ndugu yangu.Haya mambo yamenitokea ila nimejitahid sana kupunguza kuangalia mpka sasa niko vzur nakaa mwezi siamgalii Kwahiyo anza KUPUNGUZA taratibu then utazoea ila kusema uache pa huwez maana ni pepo hilo usisahau kuomba
Hapa inabidi nitafute jambo la kufanya tuu.Hii kweli ni njia sahihi lakini ukikaa kaa peke yako bila kazi, lazima ushitue mkono.