Naomba ushauri juu ya hii biashara ya kuagiza bidhaa mchanganyiko kutoka Japan

Naomba ushauri juu ya hii biashara ya kuagiza bidhaa mchanganyiko kutoka Japan

pakia mizigo kwenye kontena tunakuja kuuzia hukuhuku. mbinu nyingine chukua hii. ukija bongo tafuta mbia mmoja mgeni "mweupe" wapo wafilipino wapo wazungu njaa. watz wanakuamini sana wakiona mgeni wa nje ktk jambo lako.
mm zamani nilikua na mfilipino jamaa alfanya nifanye biashara kiwepesi sana.
wateja walimuamini sana akiongea imo.
maana watz wana prefer quantity over quality..
😆😃🤣🤣Ndugu zangu wabongo hawajawai niangusha kwenye Shobo na weupe🤣🚮
 
Nafikiria kufanya biashara ya spear original haswa magari madogo ya Japan
Spare orginal ambazo zimetengezwa Japan kwa soko la Tanzania itakuangusha,kuna mtu aliniagiza Piston rings za Engine ya 2NZ zinafungwa kwenye Engine IST bei yake laki 7 wakat hapo dar madukani zipo za bei rahisa hadi elfu 80 hizo genuine utamuzia nani?
 
Spare orginal ambazo zimetengezwa Japan kwa soko la Tanzania itakuangusha,kuna mtu aliniagiza Piston rings za Engine ya 2NZ zinafungwa kwenye Engine IST bei yake laki 7 wakat hapo dar madukani zipo za bei rahisa hadi elfu 80 hizo genuine utamuzia nani?

Hapa ndio nimekuelewa mkuu kwanini China ataendelea kutawala soko la Bongo
 
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka akilipia Engine yake moja hataki kujua habari za usafiri wa kushare anata ipakiwe hiyi Engine moja container liondoke.
4.Mteja analipia mashine moja ya kuchonga vyuma baada ya miezi miwili ndio unapata mtu mwingine anataka Engine ya boat a Gari nikashindwa.

nikashindwa kwasabu ya hizo changamoto sikutaka kuingia kwenye migogoro na wateja,ikabidi niachane na hii biashara niombe kazi ya kuajiriwa nikafanya,kwasasa nimechoka kufanya kazi za kuajiriwa je nikianza tena hii biashara nitumiembinu gani ili nisipitie kwenye hizo changamoto?


Hapa Kuna bidhaa nyingi sana za mtumba zenye ubora tatizo nikupata wateja wakutosha kununua bidhaa mbalimbali za kujaa kwenye container angalau 20ft
Yani mkuu huko kwenye nchi nzuri sana ya kutuma mazagazaga kuliko China. Tatizo ukiritimba na urasimu bongo. Yani kuna sheria hii ukileta container nyumbani kwa mara ya kwanza kutoka nje hutakiwi kulipa kodi lakini mibongo mienzako TRA bandarini hayakubali.
 
Kunabidhaa nyingi sana kuanzia vifaa vya electronics kama Pcs,Simu,Ps,TV

Upanda wa vifaa vya officen hard copy machines,printers,

Upanda wa hospital pia Kuna vifaa vingi mno.

Spare za Magari Mpya na used,Magari pia,Mashine za ndogo na kubwa za kujenzi wa barabara nk

Baharini pia kuna boat,Engine za boat vifaa vya uvuvi vitu ni vingi sana tatizo ni hizo changamoto nilizozibainisha hapo.
Hizo engine za boat bei yake Iko je na gharama za usafirishaji?

Bot u axozungumzia ni fiber au?
 
Yani mkuu huko kwenye nchi nzuri sana ya kutuma mazagazaga kuliko China. Tatizo ukiritimba na urasimu bongo. Yani kuna sheria hii ukileta container nyumbani kwa mara ya kwanza kutoka nje hutakiwi kulipa kodi lakini mibongo mienzako TRA bandarini hayakubali.
Hutakiwi kulipa Kodi kama ni vitu vyako na hapo uwe unarudi home. Kwenye biashara hilo halipo
 
Soko la Engine za boti ni kubwa sana. Na boti za fiber sema ndio hivyo uletaji ndio shida
 
JIFUNZE KWA JAMAA ANAITWA CHRIS LUKOSI (AKA DUNGU MASTER) YUPO FACEBOOK MBONA YEYE KAWEZA NA ANAISHI UK ANAOFISI BONGO....UNACHO TAKA KUKIFANYA NDIO ANACHOFANYA YEYE SASA HIVI NA KAWIN SANA
Asante kwa ushauri bro!
 
JIFUNZE KWA JAMAA ANAITWA CHRIS LUKOSI (AKA DUNGU MASTER) YUPO FACEBOOK MBONA YEYE KAWEZA NA ANAISHI UK ANAOFISI BONGO....UNACHO TAKA KUKIFANYA NDIO ANACHOFANYA YEYE SASA HIVI NA KAWIN SANA
Huyu bwana nimenfatilia kapiga hatua kubwa sana tayari anawateja wengi,sasa hii biashara ndio inavyotakiwa.
 
Simple way, tafuta mtu anaefanya kazi bongo uingie nae partnership,

Au promote page yako mitandaoni, ila wabongo wanahitaji mtu awepo na ofis bongo ili wamuamini, so kuweka ofisi bongo ni lazima
 
Back
Top Bottom