Jonsonjohn
JF-Expert Member
- Nov 19, 2019
- 258
- 349
- Thread starter
- #21
Sikuwepo nasipendi kukumbuka kilichotokea na siwezi kufunga mzigo na kutuma hapo bila kuona pesa kwenye account.Kwaiyo vitu vilikua vinakaa mda mrefu bila kupata wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwepo nasipendi kukumbuka kilichotokea na siwezi kufunga mzigo na kutuma hapo bila kuona pesa kwenye account.Kwaiyo vitu vilikua vinakaa mda mrefu bila kupata wateja
😆😃🤣🤣Ndugu zangu wabongo hawajawai niangusha kwenye Shobo na weupe🤣🚮pakia mizigo kwenye kontena tunakuja kuuzia hukuhuku. mbinu nyingine chukua hii. ukija bongo tafuta mbia mmoja mgeni "mweupe" wapo wafilipino wapo wazungu njaa. watz wanakuamini sana wakiona mgeni wa nje ktk jambo lako.
mm zamani nilikua na mfilipino jamaa alfanya nifanye biashara kiwepesi sana.
wateja walimuamini sana akiongea imo.
maana watz wana prefer quantity over quality..
Spare orginal ambazo zimetengezwa Japan kwa soko la Tanzania itakuangusha,kuna mtu aliniagiza Piston rings za Engine ya 2NZ zinafungwa kwenye Engine IST bei yake laki 7 wakat hapo dar madukani zipo za bei rahisa hadi elfu 80 hizo genuine utamuzia nani?Nafikiria kufanya biashara ya spear original haswa magari madogo ya Japan
Spare orginal ambazo zimetengezwa Japan kwa soko la Tanzania itakuangusha,kuna mtu aliniagiza Piston rings za Engine ya 2NZ zinafungwa kwenye Engine IST bei yake laki 7 wakat hapo dar madukani zipo za bei rahisa hadi elfu 80 hizo genuine utamuzia nani?
Tatizo hukuwa chawa. Unadhani Chris Lukosi anaipenda CCM kutoka moyoni? Jamaa anaisifia kuvuka mpaka kwasababu ya iyo biashara.Hiyo biashara nilifanya ikuwa mwaka 2014 nilipakia container nikalipia ushuru likatoka staki hata kukumbuka siwezi kupakia mzigo na kutuma,bora niendele kufanya kazi.
Yani mkuu huko kwenye nchi nzuri sana ya kutuma mazagazaga kuliko China. Tatizo ukiritimba na urasimu bongo. Yani kuna sheria hii ukileta container nyumbani kwa mara ya kwanza kutoka nje hutakiwi kulipa kodi lakini mibongo mienzako TRA bandarini hayakubali.Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka akilipia Engine yake moja hataki kujua habari za usafiri wa kushare anata ipakiwe hiyi Engine moja container liondoke.
4.Mteja analipia mashine moja ya kuchonga vyuma baada ya miezi miwili ndio unapata mtu mwingine anataka Engine ya boat a Gari nikashindwa.
nikashindwa kwasabu ya hizo changamoto sikutaka kuingia kwenye migogoro na wateja,ikabidi niachane na hii biashara niombe kazi ya kuajiriwa nikafanya,kwasasa nimechoka kufanya kazi za kuajiriwa je nikianza tena hii biashara nitumiembinu gani ili nisipitie kwenye hizo changamoto?
Hapa Kuna bidhaa nyingi sana za mtumba zenye ubora tatizo nikupata wateja wakutosha kununua bidhaa mbalimbali za kujaa kwenye container angalau 20ft
Yeye ni chawa ndo maana.JIFUNZE KWA JAMAA ANAITWA CHRIS LUKOSI (AKA DUNGU MASTER) YUPO FACEBOOK MBONA YEYE KAWEZA NA ANAISHI UK ANAOFISI BONGO....UNACHO TAKA KUKIFANYA NDIO ANACHOFANYA YEYE SASA HIVI NA KAWIN SANA
Hizo engine za boat bei yake Iko je na gharama za usafirishaji?Kunabidhaa nyingi sana kuanzia vifaa vya electronics kama Pcs,Simu,Ps,TV
Upanda wa vifaa vya officen hard copy machines,printers,
Upanda wa hospital pia Kuna vifaa vingi mno.
Spare za Magari Mpya na used,Magari pia,Mashine za ndogo na kubwa za kujenzi wa barabara nk
Baharini pia kuna boat,Engine za boat vifaa vya uvuvi vitu ni vingi sana tatizo ni hizo changamoto nilizozibainisha hapo.
Hutakiwi kulipa Kodi kama ni vitu vyako na hapo uwe unarudi home. Kwenye biashara hilo halipoYani mkuu huko kwenye nchi nzuri sana ya kutuma mazagazaga kuliko China. Tatizo ukiritimba na urasimu bongo. Yani kuna sheria hii ukileta container nyumbani kwa mara ya kwanza kutoka nje hutakiwi kulipa kodi lakini mibongo mienzako TRA bandarini hayakubali.
Asante kwa ushauri bro!JIFUNZE KWA JAMAA ANAITWA CHRIS LUKOSI (AKA DUNGU MASTER) YUPO FACEBOOK MBONA YEYE KAWEZA NA ANAISHI UK ANAOFISI BONGO....UNACHO TAKA KUKIFANYA NDIO ANACHOFANYA YEYE SASA HIVI NA KAWIN SANA
Shida sio usafirishaji shida ni wateja kufunga boat na kuzileta hapo bongo bila oder ningumu sana.Soko la Engine za boti ni kubwa sana. Na boti za fiber sema ndio hivyo uletaji ndio shida
HakikaTatizo hukuwa chawa. Unadhani Chris Lukosi anaipenda CCM kutoka moyoni? Jamaa anaisifia kuvuka mpaka kwasababu ya iyo biashara.
Elli
Karibu sanaNakuja pm
Huyu bwana nimenfatilia kapiga hatua kubwa sana tayari anawateja wengi,sasa hii biashara ndio inavyotakiwa.JIFUNZE KWA JAMAA ANAITWA CHRIS LUKOSI (AKA DUNGU MASTER) YUPO FACEBOOK MBONA YEYE KAWEZA NA ANAISHI UK ANAOFISI BONGO....UNACHO TAKA KUKIFANYA NDIO ANACHOFANYA YEYE SASA HIVI NA KAWIN SANA
KWA BONGO YEYE KAWIN KWA SASA UKIONGEZEKA NA WEWE MTAKUWA WAWILI MAANA HII BIASHARA KWA BONGO HAINA WATU WENGI YUPO YEYE TU KWA SASA!?Huyu bwana nimenfatilia kapiga hatua kubwa sana tayari anawateja wengi,sasa hii biashara ndio inavyotakiwa.