Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Naomba ushauri juu ya kupambana na mke wangu anayeninyanyasa kwa sababu anataka kutumia sheria kunifilisi

Kisa chako kimenikumbusha mbali sana. Hasira zimefufuka upya kabisa

Wanawake wengine ni Kvma/mikvndu tu aisee..

Kuna mmoja alimfanyia visa mtu wangu wa karibu kisa tu jamaa alijaa akamuweka ndani kwa kama mwaka hivi, kisha akayakanyaga zaidi wakazaa. Sasa baada ya kuzaa tu mtoto ana miezi hata mwaka haujafika mwanamke akaanza visa. Hataki ndugu wa mwanaume aje nyumbani, hata sisi marafiki zake hataki tuje. Akawa kama kichwa kwenye hio familia.

Jamaa alifanyiwa visa hadi akakonda, mtu amehangaika na biashara miaka na miaka kajenga nyumba yake lakini hana amani.

Huyo mwanamke akawa anampa vitishio hivohivo eti kisheria yeye ni mke wake na mali hizo ni zao wote, na anasema hadi hadharani mbele ya mfanyakazi wa ndani wakigombana humo.

Ilikua noma ikabidi tutumie sheria na kuipindisha kweli kweli hadi yule malaya akaondolewa pale na visenti kadhaa tu, na mtoto baadae ilifanyika mbinu akarudi kwa baba ake. Ila hadi hapo tulikaa jopo la wahuni na ma-mafia kuhakikisha mwanetu hayumbishwi, trust me hakuna battle ngumu kama battle ya kisheria dhidi ya mwanamke ambae hujamuoa kihalali lakini umekaa nae ndani na kumzalishia humohumo ndani. Aisee tuwe makini sana na hilo
Mwanamke akikupanda kichwani muache. We kapambane na maisha mengine.
 
Je kwa haya yote aliyonifanyia kisheria ni nini nifanye ila hata tukienda mbele basi yeye aondoke kapa.Mtoto Yuko darasa la nne na anamiaka 9
Mkuu kama upo kwenye haki fanya namna ataondoka mwenyewe bila hata kuaga, huko kwenye Sheria unaenda kupoteza muda tu
 
Itakuwa ulilelewa na Mama pekee bila malezi ya baba au baba yako alikuwa irresponsible. Udhaifu huo unaoonyesha unamuaibisha baba yako kuwa hakukufundisha kuwa mwanaume.
1.Yani mwanamke anakufungia nje ya nyumba uliyo jenga mwenyewe sababu tu haujampa hela na wewe upo tu kama sio ujinga ni nini.
2. Yani mwanamke anaondoka na laptop yako yenye vitu vya muhimu harafu unachekacheka tu.
3. Mwanamke hata sio mke wako, hata mahari hujatoa na unaona kabisa ni wa hovyo na anakuwinda unakaa nae wa nini?
 
Yaani we jamaa inaonekana umesoma ila by nature tu huna akili (kumradhi kama nimekukera kwenye hili); yaani mwanamke hujaoa na wala haujapelekwa mahali anakutesa kwasababu gani? Unachaniwa nguo na kufungiwa nje na kimada tena kwenye nyumba yako mwenyewe?
Afu...... Huoni aibu kuja kuuliza maswali ya kipuuzi kama haya kwenye hadhira ya wanaume wenzako?
Yani hata mi nimeshangaa, jamaa itakuwa anashida kwenye malezi yake ya kiume.
 
Tafuta mwanasheria wa gharama ndogo tu akuandikie mikataba ya mauziano kisha muuzie mama yako nyumba na kila kitu , pesa Hamishia kwa mama kisha lianzishe akimbilie mahakamani.
 
Vita ya kisheria na mwanamke ni ngumu sana kwa sababu mwanamke anapewa upendeleo. Cha kufanya kwanza kabisa umiliki wa mali zako zote andika jina la mama au ndugu wa karibu unaemuamini
 
Na huku umo? [emoji23]

Kwahiyo Kama hujaolewa ndo uvunje vioo na upige wembe nguo za mwenzio?! [emoji2] ukaweke bond mali za ndani kisa hela?! Sasa hapo ndo utamshawishi akuoe au akuone mwehu?! [emoji2][emoji2][emoji2]

Nilisema kule hamna akili.., Ukasema natumia nguvu kuandika

Haya [emoji18]
Kiukweli ushauri na maoni ya huyu dada, nakuunga mkono
 
Wadau, nina mke niliyeanza naue mapenzi mwaka 2010 baadaye akaenda kusoma certificate na akamaliza Diploma mwaka 2015.

Wakati huo aliniomba nimusaidie karo na matumizi shuleni na wakati walikizo alikjwa anakuja kwako anakaa kiasi na kuondoka. Mnamo mwaka 2016 alipata mtoto akaka kwa shemeji yake. Nami niliendelea kugaramia Kila kitu kama baba.

Mwaka 2020, niliamua kukaa naye na akahamia rasmi kwenye nyumba niliyokuwa nomejenga baada ya kufabya kazi kwa zaidi ya miaka 8kutokana na mishahara etc.

Sasa tangia amekanyaga kwangu kwanza anachukia hata watoto wandugu wanaopita kwetu kwenda masomoni.

Pili anaomba hera labda laki 3 ghafla nje ya bajet na ukiwa huna anakufungia nje ya nyumba au atapasua vioo vya nyumba au atachana nguo zangu kwa wembe.

Katika utafiti wangu nimesikia kunafygu wamemushauri anifanyie vituko ili ni overact harafu anipeleke polisi na mahakamani, nifungwe harafu nyumba na baathi ya pesa zilizoko benka amabzo sijamwabia zilizo basi zitafishwe kwa kisingizo za haki kupewa mwanamke kutunza yeye na mtoto.

Juzijuzi aliondoka na laptop yangu ikiwa na critical information na sijui Iko wapi inagea kakili kusema kaweka bond apate laki 5 alikuwa nazo, nimemuuliza aliiweka bond Kwa nani hataki kabisa kusema.

Huyu mwanamke sijatoa mahari sababu tangia kufika niliona vituko hadi nikashangaa hivyo sijapata moyo wakutoa mahari na hataki kuachika.

Wadau naombeni njia ipi Bora yakufanya ili likitokea la kupelekana polisi na mahakamani basi nia yake yakunidhurumu mali chache nilizonazo isifanikiwe na tuachane salama.

Nawashukuru sana
Mtu ulimkaribisha kwako unashindwaje kumuondoa na nyumba n vitu vyote vyako...endelee kuvumilia ujinga utapigwa kiau cha koromeo ufee ...kua mwanaume fukuza bila kuomba ushauri
 
Vita ya kisheria na mwanamke ni ngumu sana kwa sababu mwanamke anapewa upendeleo. Cha kufanya kwanza kabisa umiliki wa mali zako zote andika jina la mama au ndugu wa karibu unaemuamini
Nyumba ni yake huyo mwanamke hana lake ni yeye awe mwanaume na kumfukuza sio kufuga ugonjwa
 
Hamisha hela kwenye acc yako
nyumba iunze kwa mama yako
Mwambie mama aende bank akakope hela
hiyo hela tumia kujenga nyumba nyumba nyingine bila yeye kujua
Bank watakuja kuitaifisha kwa kushindwa kulipa den lao.
Hapo atakuacha nenda kapnge miezi3
Nenda kwako ukiwa umezamilia kumuacha halafu oa mwwanamke mwingine
Nyumna haachiwi na kumpiga matukio ili akimbilie court huko ndio unammaliza chap ...nyumba haimuhusu maana kaikuta
 
Je kwa haya yote aliyonifanyia kisheria ni nini nifanye ila hata tukienda mbele basi yeye aondoke kapa.Mtoto Yuko darasa la nne na anamiaka 9
Uwe una mrekodi tena video akifanya fujona hizo kauli ili uwe na clip za ushahidi
 
Hyo nyumba mlIjenga wote au ameikuta?
Sheria ni kama game if chess, wewe tafura legal expert atakupa technicalities za kuwa favourable upande wako,
Lakini kwanini na wewe ukubali ahamie wako hata kama umemzalisha?
Kuna jamaa yangu alimpa mimba binti, na alimuuliza kama yuko safe au danger, alimjibu safe kabla ya shoo
Baada ya miezi nane, binti anamwamvia ana mimba.
Jamaa anauliza mbona ulisema huko safe na nilisema sitaki mtoto, demu anaumama tu maneno.
Alikuja kuzaa, alafu akaletwa na mama zake wadogo ofisini kwa jamaa, wao hawamtaki hawawezi kumlea achukue mzigo wake, ile familia walikuwa wapare.
Uzuri mwamba alikuwa chuma, alimwambia nitatuma matumizi huyu siende nae popote.
Behind the scene, pale kwa ofisi ya mwamba kumbe kuna jamaa alikuwa mpare ndio alikuwa anauzaa cd kwa demu, na mipango yote
Mwisho siku chuma kilikaza
 
I
Hata wakati wa mapenzi alikiwa na hali yakulipuka ovyo ila kwa sasa ndo naona ukatili WA Hali ya juu.Nianwezafanya maguvu nikaingia ndani nikalala lakini naona hatari kubwa kati yetu ndo maana anulizia njia Bora yakupambana
Ila Mkuu....
Kuteseka nayo umeteseka na bado unateseka....halafu unaruhusu Binadamu unayemmudu akutese...

Wewe ni Mwanaume....hebu chukua maamuzi magumu....
 
Back
Top Bottom