Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Ni kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba ushauri wapendwa.
Wazazi wenyewe ndio Hawa kina Lucas Mwamshamba kutwa kusifia wanaume wenzao unafikir Kuna nini hapoMzazi kweli unaulizaje swali rahisi kama hili
Hata sio mzazi, ni muhusika anaota ndoto kapata kazi hizo sehem alizosema, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzazi kweli unaulizaje swali rahisi kama hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazazi wenyewe ndio Hawa kina Lucas Mwamshamba kutwa kusifia wanaume wenzao unafikir Kuna nini hapo
Kumekuchaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko Shinyanga, hakuna ajira zilizotoka
[emoji16][emoji16][emoji16]Aende Halmashauri akale mshahara wa bure na pesa ya wizi.... huko kwa wazungu ataenda vuja jasho.
Hehehehehe daaKama Halmashauri ni Mkataba wa muda mrefu aende Halmashauri kwasababu Good Neighbours wa kawaida sana...ingekua Mashirika makubwa angeacha hiyo ya Halmashauri...Halafu huyo Jamaa yako anasali kwa Mungu yupi anaempa kazi mbili mbili wakati watu wameoga na mafuta ya manabii hawapati hata Kibarua ??