steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Naona unadandia treni kwa mbeleKufanya kitu ni kupenda sio sababu mtu fulani amekushawishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unadandia treni kwa mbeleKufanya kitu ni kupenda sio sababu mtu fulani amekushawishi.
Good neighbours kwa mshahara gani, wana mishahara ya kijinga. Mwache mtoto aende halmashauri kwenye ajira ya kudumuNi kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba ushauri wapendwa.
MUNGU wetu soteKama Halmashauri ni Mkataba wa muda mrefu aende Halmashauri kwasababu Good Neighbours wa kawaida sana...ingekua Mashirika makubwa angeacha hiyo ya Halmashauri...Halafu huyo Jamaa yako anasali kwa Mungu yupi anaempa kazi mbili mbili wakati watu wameoga na mafuta ya manabii hawapati hata Kibarua ??
inauma sanaKuna watu hadi mna pata option za kuchagua kazi [emoji81][emoji81][emoji81] jobless hii feelings mna ionaje