Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
HeheheheLeo maajabu zinasifiwa ajira za Halmashauri, kweli mtaani hali mbaya.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheheLeo maajabu zinasifiwa ajira za Halmashauri, kweli mtaani hali mbaya.
Aingie serikaliniNi kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba ushauri wapendwa.
Heri nusu Shari kuliko Shari kamiliLeo maajabu zinasifiwa ajira za Halmashauri, kweli mtaani hali mbaya.
aende halmashauri kuna fursa ya upigajiNi kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba ushauri wapendwa.
Maandiko yanasema mwenye nacho ataongezewa na asiye nacho ata kile kidogo alichonacho atanyang'anywa Mkuu.Kama Halmashauri ni Mkataba wa muda mrefu aende Halmashauri kwasababu Good Neighbours wa kawaida sana...ingekua Mashirika makubwa angeacha hiyo ya Halmashauri...Halafu huyo Jamaa yako anasali kwa Mungu yupi anaempa kazi mbili mbili wakati watu wameoga na mafuta ya manabii hawapati hata Kibarua ??
kwa upande mwingine muache achague nini anatakaNi kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba ushauri wapendwa.
Unafikiri hajuiNatamani Mama Samia Aje achungulie huku, ajionee jinsi watu wanvyoona ajira za serikali ni shamba la bibi
Basi Kuna ubaguzi kwa maskini mpaka huko juuMaandiko yanasema mwenye nacho ataongezewa na asiye nacho ata kile kidogo alichonacho atanyang'anywa Mkuu.
Kabisa Mkuu.Basi Kuna ubaguzi kwa maskini mpaka huko juu
Aione Lucas MwashambwaWazazi wenyewe ndio Hawa kina Lucas Mwamshamba kutwa kusifia wanaume wenzao unafikir Kuna nini hapo
Ha!! Unajiuliza.Aende Halmashauri maana kama kweli mishahara inalingana ujue Halmashauri utazidi...usiulize sana.Ni kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba ushauri wapendwa.