Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mwanamke akikuchoka always huwa anaona Kama malalamiko yako Ni kero kwake
 
Mimi mtoto 1 ananitosha Watoto wengi Kama nataka kuwa na serikali yangu was kazi gani ..

Yaani unakuwa unaanza kuteseka duniani hata Raha ya kuishi una mabao yako mwenyewe Yana kutesa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Imagine Mzee wetu hapa kasomesha Watoto mpaka level ya elimu ya juu kazi wamepata nzuri lakini wote wa2 wanewahi kumpa 120k tu [emoji16][emoji16] simaanishi Ni lazima kwao kumpa baba Yao lakini hii Ni picha mbaya Sana inayoonyesha kuwa upendo wao ume egemea upande 1 zaidi ..dahhh inauma Sana yaani [emoji26]
 
[emoji26][emoji26][emoji26] ulioa jini mkuu
 
Kabisa mkuu. Bi mdogo alikupenda. Siku hazilingani kaka mkubwa. Mabadiriko yametokea na ndio yamesababisha mfike hapo mlipofikia. Hakuna mtu anayekubali kuishi na mtu asiyempenda never ever. Hukumkamata mateka wala nini. Yupo nchini kwakwe, alikuwa na uhuru wa kukuacha long time ago kama angekuwa hakupendi. Wanawake wazuri hawawezi kumng'ang'ania mtu wasiompenda. They have a lot of choice.
 
Ujue nimehisi hata ukute mke mkubwa ameshajua ila amemute tuu. Yaan babangu anijali maisha yangu yote halafu nimpotezee? Kuna shida mahali.

Baba dai Mzee Abdul alisema kuzaa si kupata.
Nachoamini mzee wetu ni kwamba bado hajakubaliana na ukweli kwamba mchepuko haukuwahi kumpenda. Tunamwambia ukweli sisi kama wanawake. Aliona hapa ndo uhakika ndo maana akakazia hapohapo. Angeenda jiua basi. Huyo mchepuko na yeye aliwaza maumivu ya mke mkubwa? Its all about her. Kila kitu anawaza juu yake hawazii mke halali.

Haijawahi kutokea mchepuko akawa na upendo wa kweli angali anajua kbs jamaa ana mkewe halali. Lazima ajipooze. Na tumeona makandolando toka mwanzo anashinda kkoo na wafanyabiashara. Kuna mengine nadhan mzee wetu anamsitiri mchepuko.

Yaani natamani sana aweze pata ujasiri wa kumweleza mkewe kila kitu. Kama wewe ni mchagga njoo tuchukue ukoo mzima tukusindikize na masale[emoji23][emoji23] utasamehewa na utapata amani kabisa.

Mungu amsaidie maana namhurumia sana. Yaani nisivyopendaga stress zaman ningeshajipeleka kwa mke wangu nimweleze kinaga ubaga.

Mapenzi ya namna hii hayajawahi fika kabisa mbali. Hayadumugi. Fedha ikiisha na kila kitu kimeisha.
 
Bado unamuamini tu [emoji16][emoji16]

Aisee wewe ulikuwa mpofu wa kupenda ingekuwa Mimi ndiye wewe mahusiano yet yangeisha siku ile Ile aliyo peleka vitu kwao .. [emoji26][emoji26] [emoji174]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]sure Mzee alikuwa analeta MAPENZI ya tamthilia bongo ,[emoji16][emoji16]
 
Mpaka sasa familia ya Bi Mkubwa kutofahamu chochote..is beyond my imagination..

"Be Humble"
Heri huyo hajui chochote na hamjui bimdogo kama yupo, wengine wanakuletea hukohuko ndani.... mtoto anazaliwa na mnasaidiana kutunza kumbe mtoto wa mume wako mwenyewe😅😅😅
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hili nitatizo kweli ..Mzee ujanani inaonekana aliruka stage 4sure yaani
 
Roho ya huruma ya kazi gani kwenye situation Kama hiyo ..mtu unaona kabisa unajitumbukiza shimoni
 
Sure sure [emoji16][emoji16][emoji119]
 
Ahsante sana, ni kweli kabisa, na mimi sikutaka au kudhamilia kumharibia maisha mtoto wa watu, na Ahsante sana kutumia neno Shem, ubalikiwe sana, mimi binafsi sipendi kumtendea mtu ubaya tena kwa kudhamilia,
Narudia tena huyu binti kaharibiwA na wanawake wengine future yake,

Sasa ili nisije kukosa ushauri wako, naanza kuandika kwa ufupi matukio yote toka nilipoishia mpaka sasa hivi, kwa mtiririko wa namba na mwezi,
Halafu kila mmja atachangia namba ambayo yupo interested nayo,

Naandika kila kitu, atakayebeza haya, atakayetukana haya, atakaye toa ushauri mzuri nitashukuru.
 
Msimamo wa kuwashawishi watoe mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vaa ndom wewe usiwape misimamo isio eleweka
Condom hawataki [emoji16][emoji16][emoji16]

Tuwe wakweli mamanzi wengi condom hamtaki dadeki zenu ... Uongo Shunie ?
Halafu condom ya Nini wakati P2 zimejaa kibao pharmacy unataka nikose utamu halisi au sio ...acha roho mbaya [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…