Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia ipi mkuu, unamanisha zote au moja,Lea familia zako
.....mzee hyo DP Yako ....badilishaEndelea sasa robo saa ishapita, au bado akili haijakaa sawa?
Ni rahisi hivyo kupiga chini na kubeba kulicho chako?Mzee malizana na bi mkubwa Kiri kosa, leta watoto wako hao wawili kwa bi mkubwa, bi mdogo piga chini, beba kila kilicho chako!!
Mkuu stori ni tamu ila ina vituo vingi sana. Hebu jaribu kumwaga ya kutosha.Naendelea kule mbao na bati,
Sasa pesa 5M haitoshi kupiga bati lakini sina mpango tena wa kuongezea kiasi kilichobaki kama hicho kwa siku za karibuni maana sasa madeni yapo mpaka shingoni, naogopa hata familia sasa itanishinda, hasa karo za shule, lakini sasa kuna uwezekano wa mke mkubwa kuona mambo hapa hayapo sawa labda huyu mwanaume ana kitu sio cha kawaida...
Ila watoto bwana,Oya maliza
Bora Dada nashukuru,Ila watoto bwana,
Hivyo hii kauli umeiona ni sahihi kabisa kuitoa kwa mtu alosema ana miaka 50 seriously..?
Sasa mil 5 ndio imepotea kinachofuatiani nini, Kuna mtu anaweza kunijibu hapo kabla sijaendeleaNaendelea kule mbao na bati,
Sasa pesa 5M haitoshi kupiga bati lakini sina mpango tena wa kuongezea kiasi kilichobaki kama hicho kwa siku za karibuni maana sasa madeni yapo mpaka shingoni, naogopa hata familia sasa itanishinda, hasa karo za shule, lakini sasa kuna uwezekano wa mke mkubwa kuona mambo hapa hayapo sawa labda huyu mwanaume ana kitu sio cha kawaida
Kinachofuatia hapo ni wewe kulazimisha kupaua kwa kukopa zaidi.Sasa mil 5 ndio imepotea kinachofuatiani nini,
Kuna mtu anaweza kunijibu hapo kabla sijaendelea
Mke mdogo kukushauri uuze nyumbaa mnayotaka kupauwaSasa mil 5 ndio imepotea kinachofuatiani nini,
Kuna mtu anaweza kunijibu hapo kabla sijaendelea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yaani wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika, kwanza hapo huenda hata hao watoto wa bi mdogo siyo wake, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji848] namuwazia tu mwanaume mwenzangu!
Asichanganyikiwe kawaida SANA!
Wanaume kusaidiana!
Nitangulize tu POLE.
Everyday is Saturday................................😎
Baba hivi unavyotusimulia ndio unapata unafuu fulani toa nyongo zote usiogope kuchambwa hakujui mtu humuBaada ya ujenzi kusimama na matumizi kuwa makubwa, nikamgusia bi mdogo kuhusu kupiga bei kila kiwanja cha pili, kusema kweli kile cha pili kilikuwa kinafahamika kwa bi mkubwa, kiujumla kilikuwa cha kwake, lakini kwa sababu naye ujenzi wa nyumba yake ulikuwa umesisimama nilimshawishi mpaka akakubali tukiuze, nikimwambia mikopo kazini imebizidi kimo, kwa hiyo nusu, nimpigie plasta na mambo mengine kama umeme na maji, akakubali
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Baada ya ujenzi kusimama na matumizi kuwa makubwa, nikamgusia bi mdogo kuhusu kupiga bei kila kiwanja cha pili, kusema kweli kile cha pili kilikuwa kinafahamika kwa bi mkubwa, kiujumla kilikuwa cha kwake, lakini kwa sababu naye ujenzi wa nyumba yake ulikuwa umesisimama nilimshawishi mpaka akakubali tukiuze, nikimwambia mikopo kazini imebizidi kimo, kwa hiyo nusu, nimpigie plasta na mambo mengine kama umeme na maji