Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #81
Mkuu ananipenda kiasi kwamba kama nikisema nuache gafula anaweza kuja niaribia kila kituUshauri wenyewe ndo huo usioupenda lakini kama na yeye anakupenda inampasa akuelewe hutaki pombe.
Inakuaje unafundishwa kunywa pombe na Malaya? Unajua yeye alifundishwa na nani? Kuna siku atakuamisha mlango na utakuja kutuomba tena ushauri.Wee jamaa kama ndo unatoaga ushauri hvo basi umepoteza vijana wengi wallah
Daaah mi kunywa siwezi na kuacha siwezi mkuuHapo huna namna ya kumshawishi aache,. Kama unampenda endana nae tu lakini mnywe kwa kiasi😃😃
Hapana kanikuta situmiiMlikutana kwenye pombe achaneni kwenye pombe
Dada ulipona?Hapo huna namna ya kumshawishi aache,. Kama unampenda endana nae tu lakini mnywe kwa kiasi😃😃
Astakfillah astakfillah wee jamaa naomba ishia hapa usichangie kitu kingine..Inakuaje unafundishwa kunywa pombe na Malaya? Unajua yeye alifundishwa na nani? Kuna siku atakuamisha mlango na utakuja kutuomba tena ushauri.
Afu pombe sio issue kubwa kuliko uzinzi mbona.
Dini yako inakataza pombe sawa ...je onaruhusu kuzagamuana bila ndoa!?? Mbona unampa mbususu!??Wakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Haya pole na kwaheli.Astakfillah astakfillah wee jamaa naomba ishia hapa usichangie kitu kingine..
Inatosha mkuu samahani sana
😃😀😀😀😀 Wiki hii sigusi pombeMkuu ulikua TUNGI...
Alafu wewe naonaga mara nyingi wanakuonya uache pombe..
Wewe utaendana na D kumbe
Yaani nyapu unakamua afu pombe singizia dini anyway kosa lako nikuanza kutumia kiasi ungebaki na msimamo wakuto kunywa hata kidogo ingekuwa rahisi kumshawishi maana angejua wewe sio mtu wapombe only sasa ulisha jaribu nakumuonyesha kuwa ina wezekana kukufanya mnywaji mwenzie hapo kazi unayoWakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Basi ukipenda boga penda na ua lake. Otherwise mtengenezee mazingira ambayo itakuwa ngumu kwa yeye kupata pombe. Mfano mfungulie biashara ambayo pombe haipatikani au muweke kwenye kazi ambapo wewe upo ili Kila wakati mnaonana na utaendelea kumkataza anaweza akazoea mazingira ya kutokunywa.Hapana kanikuta situmii
Wewe jamaa mimi ndo napewa mbususu khaaaDini yako inakataza pombe sawa ...je onaruhusu kuzagamuana bila ndoa!?? Mbona unampa mbususu!??
Asante mkuu
Mkuu ni mfanyakazi wa serikali huko ubarozi ujue sio kwamba hana kazi..Basi ukipenda boga penda na ua lake. Otherwise mtengenezee mazingira ambayo itakuwa ngumu kwa yeye kupata pombe. Mfano mfungulie biashara ambayo pombe haipatikani au muweke kwenye kazi ambapo wewe upo ili Kila wakati mnaonana na utaendelea kumkataza anaweza akazoea mazingira ya kutokunywa.
Pombe ni kama sigara huwezi mlazimisha mtu aache..ataacha mwenyewe kwa matakwa yake.Wakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda