Naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair

Kwa wanaume tu.
Sio lazima kila jambo la kulianika (kuliweka wazi kwa kila mtu) jifunzeni kuwa na SIRI ZA MAISHA.
Tuna ndoa na tuna watoto nje ya ndoa na wife hajui na maisha yanasonga kwa amani na familia zinaishi vizuri.
Zingatia tu mtoto aishi, avae, asome pia uhakika wa maisha nunua viwanja viwili vitatu andika majina yake, anzisha duka kwa jina lake pia.

Kwa ambao bado mnajitafuta kimaisha jitahidi sana usiwape mimba wanawake wengi na huna Hela na ukiwa nazo mkeo wa ndoa hawezi kukuacha sababu una mtoto nje ya ndoa.
 
Mpka anakubebea mimba we oa huyo na uleee mtoto wako maisha yaende hapo
 
Baki na unaempenda, mwingine mwambie hali halisi.
Demu nae anapataje mimba kindezi tu bila mipango bila shaka aliitaka hiyo na kaipata na ww utakiona cha moto. Kwa jinsi ulivyoandika wewe no kijana rojorojo lazima hizo pisi zikuendee kwa sangoma ww, utajuta.
 
Nashukuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…