Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

Je, upi uamuzi wako kwenye ndoa?


  • Total voters
    53
Kabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.

Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.

Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.

Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.

Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.

Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
Ukiona hayo yanakukuta hukujioanga mzee usilaumu watu kwa uzembe wako. Nani alikuambia uoe goli kipa wakati una maisha duni yaani hela ya kula unaipigia hesabu hadi kwa mwaka asee hebu tafuta uhuru wa kifedha dogo alafu kama huwezi kukaa na mwanamke sio lazima ishi kama ulivyozoea ila muda ukishakutupa mkono utafute libibi ulioe muanze maisha
 
Ila hata picha ulioweka kwenye profile yako inanitia mashaka sana inaonekana kuna mengi huyawezi sio kukaa tu na mwanamke
 
Ukiona hayo yanakukuta hukujioanga mzee usilaumu watu kwa uzembe wako. Nani alikuambia uoe goli kipa wakati una maisha duni yaani hela ya kula unaipigia hesabu hadi kwa mwaka asee hebu tafuta uhuru wa kifedha dogo alafu kama huwezi kukaa na mwanamke sio lazima ishi kama ulivyozoea ila muda ukishakutupa mkono utafute libibi ulioe muanze maisha
Labda hujaoa ukaona jinsi pesa zinavyopotea kwenye mambo ya kifamilia, Bill Gates yupo single kwani kakosa pesa?
 
Labda hujaoa ukaona jinsi pesa zinavyopotea kwenye mambo ya kifamilia, Bill Gates yupo single kwani kakosa pesa?
Na ww kuwa biligeti sasa. Ukijua kwamba maisha ni ww na yanaanza na ww swala la kulalamika hela kutumika kwenye familia Utaacha gate ana familia na anagawa kwa maskini sasa ww familia tu unalia je utaweza kuwapa wenye uhitaji. Muda mwingine tusiendekeze roho mbaya
 
Na ww kuwa biligeti sasa. Ukijua kwamba maisha ni ww na yanaanza na ww swala la kulalamika hela kutumika kwenye familia Utaacha gate ana familia na anagawa kwa maskini sasa ww familia tu unalia je utaweza kuwapa wenye uhitaji. Muda mwingine tusiendekeze roho mbaya
Sio roho mbaya tunapoteza sana hela kwenye familia tena mambo ya kijinga kumbe pesa hizo tungepanua kazi zetu
 
Sio roho mbaya tunapoteza sana hela kwenye familia tena mambo ya kijinga kumbe pesa hizo tungepanua kazi zetu
Kwa nini hukufanya hayo mambo ya maendeleo kabla hujaoa? Au ulilazimishwa kuoa? Kuna watu wameoa na bado wanafanya mambo ya maendeleo. Jitafakari wapi unakosea.
 
Kwa nini hukufanya hayo mambo ya maendeleo kabla hujaoa? Au ulilazimishwa kuoa? Kuna watu wameoa na bado wanafanya mambo ya maendeleo. Jitafakari wapi unakosea.
Niliingia cha kike mkuu
 
Mkeo ana baraka zake, wengine ni misala tu
Seeee...!

1. Love is inversely proportional to distance.

Let love be "L" and distance be "D"

So L ≈ C/D where C is proportionality constant.

But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r

Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.

Hence L = C/D

The more the distance the less the love

Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.

Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"

2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja

Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.

Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...

Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.

Hapa napo panahitaji darasa lake.

Credits to JBourne59

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Seeee...!

1. Love is inversely proportional to distance.

Let love be "L" and distance be "D"

So L ≈ C/D where C is proportionality constant.

But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r

Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.

Hence L = C/D

The more the distance the less the love

Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.

Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"

2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja

Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.

Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...

Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.

Hapa napo panahitaji darasa lake.

Credits to JBourne59

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umefafanua vizuri sana
 
Back
Top Bottom