Seeee...!
1. Love is inversely proportional to distance.
Let love be "L" and distance be "D"
So L ≈ C/D where C is proportionality constant.
But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r
Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.
Hence L = C/D
The more the distance the less the love
Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.
Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"
2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja
Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.
Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...
Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.
Hapa napo panahitaji darasa lake.
Credits to
JBourne59
Sent using
Jamii Forums mobile app