Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

Je, upi uamuzi wako kwenye ndoa?


  • Total voters
    53
Kabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.

Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.

Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.

Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.

Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.

Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
Mfukuze haraka
 
Kuna watu wanaishi kwa buku mbili per day na wako na family na wanaishi safi tu.
Ni standard tu ulizojiwekea kua kila siku unaacha 10k na mke huenda kaukuta huo utaratibu na anauendeleza huku hizo buku 7 7 anacheza upatu.

Eti kwa maisha ya dar unaacha 10k, huku sometimes ni kujiendekeza tu. Hiyo hela kwa hicho kipato chako ni kubwa. Kama kila kitu kipo ndani hiyo 10k ananunua nini hasa??
 
Kuna watu wanaishi kwa buku mbili per day na wako na family na wanaishi safi tu.
Ni standard tu ulizojiwekea kua kila siku unaacha 10k na mke huenda kaukuta huo utaratibu na anauendeleza huku hizo buku 7 7 anacheza upatu.

Eti kwa maisha ya dar unaacha 10k, huku sometimes ni kujiendekeza tu. Hiyo hela kwa hicho kipato chako ni kubwa. Kama kila kitu kipo ndani hiyo 10k ananunua nini hasa??
Mke ndo anasema iachwe ten bila hivo atashindwa kuunga vizuri chakula
 
Kabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.

Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.

Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.

Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.

Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.

Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
Mpige mnada huyo manzi urejeshe vyako
 
Hadithi za wewe oa tu mambo yatakuwa poa ukiwa na mwanamke ndani hata kama hujimudu kimaisha sijawahi kushawishika hata siku moja kwa zama hizi za leo.Mkuu hukupaswa kufanya uamuzi wa kuoa kabla hujajitafuta vizuri.Mimi nimeajiliwa,nimeshajenga na hapa nafikiria kununua gari ila sijawahi kufikiria kuoa aisee.
 
Debe Moja ya Michele 60,000/=
Debe mbili za unga 50,000/=
Debe la maharage 50,000/=
Mafuta Lita Tano 20,000/=
Dagaa sado mbili 20,000/=

Viungo vya mboga na mboga au wakitaka kubadilisha mlo 7000/={per day } total 220,000/= Kwa mwezi

Sukari kilo nane 24,000/= mwezi mzima

Mkaa gunia 15000/=

Gesi 25000/=

Chumvi 3000/=

Unga wa ngano 15000/=

Viazi 15000/=


Total 517,000 /=

Kiufupi hapo kama mke Hana kazi mtafutie kazi akusaidie kama unaona hutaki afanye kazi komaa uongeze kipato



Hiyo Budget nimejaribu kupiga ni ya familia Ya watoto wanne pamoja na Baba na Mama na Bado Kuna vingi sijaviweka[emoji1787][emoji1787]

Usikimbilie ndoa kama hujajipangaa.

Bajeti yangu mke, mtoto 1, ni 300k tu kwa mwezi hiyo hesabu kama unafamilia kubwa ni sawa
 
Hadithi za wewe oa tu mambo yatakuwa poa ukiwa na mwanamke ndani hata kama hujimudu kimaisha sijawahi kushawishika hata siku moja kwa zama hizi za leo.Mkuu hukupaswa kufanya uamuzi wa kuoa kabla hujajitafuta vizuri.Mimi nimeajiliwa,nimeshajenga na hapa nafikiria kununua gari ila sijawahi kufikiria kuoa aisee.
Malizia na gari kwanza mkuu ukamilike kwanza ili hata kama mtashindwana anaondoka wewe bado mali ipo, mm nlkurupuka
 
punguza mihemko, maisha bila ndoa yanawezekana!!
Yanawezekana kama mama yako alivyoweza kukuzaa pamoja na kukulea bila ndoa siyo?

Ukitaka kuelewa ulichoandika hapo ni utumbo kama wewe umetokana na ndoa iliyosimamiwa na Sheikh au Padre nenda leo kamwambie baba yako maneno haya atakachokujibu uje uandike kwenye post utakayoni-quote nayo hapa.

Kijana yeyote anayesema ndoa ni scum huyo amelelewa na singo mama that's it!
 
Hana mke kaamua tu kupiga vita ndoa ki tafsida.
watu wanaojitambua na waliooa maisha yao yamekua yana mwanga kuliko walivyokua mabachela
kwanza ukiwa na mke gharama ya vyakula inakua ndogo kwasababu utanunua mahitaji atakua anapika nyumbani.

kwa sisi mabachela tunaokula migahawani tunajua ni jinsi gan ilivyo gharama kununua vyakula tena havieleweki alaf unakula Milo miwili tu kwa siku.
Saana ubachela ni ghali mno..hapo kwenye vyakula vya migahawani ndio kabisa majanga matupu.

vyakula low quality kabisa lakin bei juu.
 
Back
Top Bottom