Kaka yangu alioa mke kutoka kisini alikuwa na magari mengi lakini baada ya mke kufunga tu ndoa akawa anauza yale magari akidai yeye ni mke wa ndoa hapaswi kuulizwa kwanini anafanya hivyoApo kutoboa ni ngumu aisee, mke wa namna gani huyo ulieoa.
Nyie ndo huwa mnaoa matako na sio mtu
Ukiona hayo yanakukuta hukujioanga mzee usilaumu watu kwa uzembe wako. Nani alikuambia uoe goli kipa wakati una maisha duni yaani hela ya kula unaipigia hesabu hadi kwa mwaka asee hebu tafuta uhuru wa kifedha dogo alafu kama huwezi kukaa na mwanamke sio lazima ishi kama ulivyozoea ila muda ukishakutupa mkono utafute libibi ulioe muanze maishaKabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.
Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.
Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.
Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.
Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.
Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
Labda hujaoa ukaona jinsi pesa zinavyopotea kwenye mambo ya kifamilia, Bill Gates yupo single kwani kakosa pesa?Ukiona hayo yanakukuta hukujioanga mzee usilaumu watu kwa uzembe wako. Nani alikuambia uoe goli kipa wakati una maisha duni yaani hela ya kula unaipigia hesabu hadi kwa mwaka asee hebu tafuta uhuru wa kifedha dogo alafu kama huwezi kukaa na mwanamke sio lazima ishi kama ulivyozoea ila muda ukishakutupa mkono utafute libibi ulioe muanze maisha
Na ww kuwa biligeti sasa. Ukijua kwamba maisha ni ww na yanaanza na ww swala la kulalamika hela kutumika kwenye familia Utaacha gate ana familia na anagawa kwa maskini sasa ww familia tu unalia je utaweza kuwapa wenye uhitaji. Muda mwingine tusiendekeze roho mbayaLabda hujaoa ukaona jinsi pesa zinavyopotea kwenye mambo ya kifamilia, Bill Gates yupo single kwani kakosa pesa?
Unapomuachia hiyo buku 10 je ndani kunakuwa na vitu kama mchele, unga, sukari ,maharage n.k au unaacha 10 ndan hata chumvi tu hakuna?Mke ndo anasema iachwe ten bila hivo atashindwa kuunga vizuri chakula
Sio roho mbaya tunapoteza sana hela kwenye familia tena mambo ya kijinga kumbe pesa hizo tungepanua kazi zetuNa ww kuwa biligeti sasa. Ukijua kwamba maisha ni ww na yanaanza na ww swala la kulalamika hela kutumika kwenye familia Utaacha gate ana familia na anagawa kwa maskini sasa ww familia tu unalia je utaweza kuwapa wenye uhitaji. Muda mwingine tusiendekeze roho mbaya
Kaa na mkeo pangeni vizuri bajeti.Pia mtafutie mkeo shughuli ya kufanya vitu vidogo vidogo awe anamaliza mwenyewe. Na wewe pambana uongeze kipato malalamiko yapungue.Vinakuwepo boss wangu
Kwa nini hukufanya hayo mambo ya maendeleo kabla hujaoa? Au ulilazimishwa kuoa? Kuna watu wameoa na bado wanafanya mambo ya maendeleo. Jitafakari wapi unakosea.Sio roho mbaya tunapoteza sana hela kwenye familia tena mambo ya kijinga kumbe pesa hizo tungepanua kazi zetu
Muhun sana we jamaaMrudishe kwao kisha ww uanze kua UPINDE.
Seeee...!Mkeo ana baraka zake, wengine ni misala tu
Mkuu umefafanua vizuri sanaSeeee...!
1. Love is inversely proportional to distance.
Let love be "L" and distance be "D"
So L ≈ C/D where C is proportionality constant.
But C = a,b,c,d,e,f,t,w,r
Where a = age, b = beauty, c = characteristics, d = diseases, e = education (intelligence), f = family background, t = tribe, w = wealth.
Hence L = C/D
The more the distance the less the love
Ila C "result" ikiwa kubwa huongeza L kuwa kubwa.
Hii ni topic muhimu kwa vijana wanaotaka kuoa ama kuolewa hususani kwenye kuchambua hiyo "C"
2. Kwa waislamu, sisi wanaume tumeusiwa kuoa wanawake wawili, watatu hadi wanne, lakini 'tukishindwa' (kwa sababu mbalimbali' basi tuoe mmoja
Lakini pia tumeusiwa sisi kuwaoa kwa sababu za:-
(i) Uzuri wao
(ii) Ukwasi wao
(iii) Nasaba zao
(iv) Ucha Mungu wao.
Msisitizo ukawekwa kwenye ucha Mungu na kupuuza hayo matatu ya juu maana tutaongezewa...
Lakini atakaye chagua kuoa kwa sababu tatu za juu bila kuzingatia ucha Mungu 'huenda' akaangukia pabaya baada ya sababu hizo zilizomfanya aoe kuondoka.
Hapa napo panahitaji darasa lake.
Credits to JBourne59
Sent using Jamii Forums mobile app