Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

[emoji41]
giphy.gif
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu kumlindia heshima yake.

Namfanyia kila kitu ila ni mtu wa wanawake mpaka nachoka, anaweza kuongea na wanawake wengine mbele yangu bila kujali hisia zangu. Najaribu kuigiza kwenye mitandao, mpaka kufikia hatua nimefungua account Instagram kwa jina lake, najipost kwenye ukurasa wake ili watu wajue tu kuwa nina furaha. Ninajinunulia zawadi, nalipia tutoke out naye ili tu watu wajue ananijali lakini hakuna kitu, nimechoka na sijui nifanye nini.

Mwezi uliopita nilimpeleka kwetu, nikajilipia mahari, nikanunua pete na kugharamia kila kitu ili tu anioe kwani nyumbani kila siku wananipigia kelele kuhusu ndoa. Baada ya kuvalishana pete nikamuomba tuende Zanzibar, mimi nikalipia kila kitu lakini akagoma kwenda, kwakua nilishawaambia marafiki zangu nilimbembeleza sana akakubali ila kwa sharti aende na mwanamke wake.Nilikubaliana na sharti lake, nikamlipia hoteli yeye na mwanamke wake, akalala naye mimi nimelala mwenyewe yeye akaja kwangu kupiga picha tu.

Nimerudi niemchoka, najihisi kuchanganyikiwa kwani anataka kunioa ila sioni kama nitakua na furaha. Nilikua naamini kuwa labda atabadilika ila kila nikitafakari, akili inaniambia hakuna kitakachobadilika, ila moyo hautaki. Mama yangu anampenda, ndugu zangu wanampenda, wanajua amesoma kumbe ni darasa la saba, wanajua na kazi nzuri kumbe hata gari anayoendesha na kuzunguka wanawake zake ni yangu, nisaidieni ushauri nifanye nini? Niufuate moyo wangu au akili yangu?
We dada umesoma kweli au uliokota cheti cha udaktari

Otherwise ubongo wako umejaa tope, whats so special kwa huyo mwanaume mpaka anakuendesha namna hiyo, kwa nini unajishusha thamani kiasi hicho wakati bado umri wako mdogo

Usilazimishe mapenzi, ndoa ni hatua kubwa sana, unauthubutu wa kujilipia mahari, huyo mwanaume yeye role yake kwako ni ipi? Hata ningekua mimi huyo mwanaume ningekudharau maana anaona umekufa umeoza kwake kiasi kwamba unakubali under any conditions ilimradi uwe nae

Wake up from a deep sleep, zinduka, jitambue acha uzuzu, ungekua karibu yangu ningekuzibua kibao ili uzinduke

Tuliza akili utampata anaekupenda na anaekuthamini, huyo ni opportunist anakutumia hana mapenzi na wewe, tena ni mnyama kwa vitendo anavyokufanyia

Usithubutu kuingia mwenye hiyo ndoa maana utakua mtumwa wa ndoa, jiondoa kwenye hayo mahusiano na ufocus kwenye mambo ya msingi, wakati ukifika utampata wa hadhi yako
 
Daktari, ulipitaje medical school kwa akili hii? Unahitaji kuonwa na psychiatrist. Sidhani kama uko sawa mentally. Inanukia kama chai lakini.
Imagine daktari anaetibu watu mwenyewe ni mgonjwa mahututi wa akili
 
We dada umesoma kweli au uliokota cheti cha udaktari

Otherwise ubongo wako umejaa tope, whats so special kwa huyo mwanaume mpaka anakuendesha namna hiyo, kwa nini unajishusha thamani kiasi hicho wakati bado umri wako mdogo

Usilazimishe mapenzi, ndoa ni hatua kubwa sana, unauthubutu wa kujilipia mahari, huyo mwanaume yeye role yake kwako ni ipi? Hata ningekua mimi huyo mwanaume ningekudharau maana anaona umekufa umeoza kwake kiasi kwamba unakubali under any conditions ilimradi uwe nae

Wake up from a deep sleep, zinduka, jitambue acha uzuzu, ungekua karibu yangu ningekuzibua kibao ili uzinduke

Tuliza akili utampata anaekupenda na anaekuthamini, huyo ni opportunist anakutumia hana mapenzi na wewe, tena ni mnyama kwa vitendo anavyokufanyia

Usithubutu kuingia mwenye hiyo ndoa maana utakua mtumwa wa ndoa, jiondoa kwenye hayo mahusiano na ufocus kwenye mambo ya msingi, wakati ukifika utampata wa hadhi yako
Huyu kuna siku ataombwa tigo au threesome na jamaa na atakubali🤣🤣🤣🤣
 
Hivi wewe ni mwanamke kweli au unaigiza?

Una aura mbovu na unang'ang'ania handsome?

Unaweza kulipia mchrpuko wa mumeo msafiri wote...inaingia akilini?

Hii ni stori fake
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu kumlindia heshima yake.

Namfanyia kila kitu ila ni mtu wa wanawake mpaka nachoka, anaweza kuongea na wanawake wengine mbele yangu bila kujali hisia zangu. Najaribu kuigiza kwenye mitandao, mpaka kufikia hatua nimefungua account Instagram kwa jina lake, najipost kwenye ukurasa wake ili watu wajue tu kuwa nina furaha. Ninajinunulia zawadi, nalipia tutoke out naye ili tu watu wajue ananijali lakini hakuna kitu, nimechoka na sijui nifanye nini.

Mwezi uliopita nilimpeleka kwetu, nikajilipia mahari, nikanunua pete na kugharamia kila kitu ili tu anioe kwani nyumbani kila siku wananipigia kelele kuhusu ndoa. Baada ya kuvalishana pete nikamuomba tuende Zanzibar, mimi nikalipia kila kitu lakini akagoma kwenda, kwakua nilishawaambia marafiki zangu nilimbembeleza sana akakubali ila kwa sharti aende na mwanamke wake.Nilikubaliana na sharti lake, nikamlipia hoteli yeye na mwanamke wake, akalala naye mimi nimelala mwenyewe yeye akaja kwangu kupiga picha tu.

Nimerudi niemchoka, najihisi kuchanganyikiwa kwani anataka kunioa ila sioni kama nitakua na furaha. Nilikua naamini kuwa labda atabadilika ila kila nikitafakari, akili inaniambia hakuna kitakachobadilika, ila moyo hautaki. Mama yangu anampenda, ndugu zangu wanampenda, wanajua amesoma kumbe ni darasa la saba, wanajua na kazi nzuri kumbe hata gari anayoendesha na kuzunguka wanawake zake ni yangu, nisaidieni ushauri nifanye nini? Niufuate moyo wangu au akili yangu?
Ulilogwa ww kulikubali boya kama hilo likupande kila siku kwa miaka minne unamvulia nguo.....dada zangu madaktari mnakuwaga wajuaji sana ndio maana mnachotwa na mitapeli.....sasa huyo unamtambulisha nyumbani wa nn....kuharibu tu pesa..ungekuwa ndugu yangu ningewaachanisha kwa nguvu.....mm nilinyimwa ada ya chuo kwasababu ya wapumbavu kama hao
 
Tuone picha yako kwanza
Naweza shauri kumbe namuonea kidume mwenzangu
#mens for mens
 
Hello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu kumlindia heshima yake.

Namfanyia kila kitu ila ni mtu wa wanawake mpaka nachoka, anaweza kuongea na wanawake wengine mbele yangu bila kujali hisia zangu. Najaribu kuigiza kwenye mitandao, mpaka kufikia hatua nimefungua account Instagram kwa jina lake, najipost kwenye ukurasa wake ili watu wajue tu kuwa nina furaha. Ninajinunulia zawadi, nalipia tutoke out naye ili tu watu wajue ananijali lakini hakuna kitu, nimechoka na sijui nifanye nini.

Mwezi uliopita nilimpeleka kwetu, nikajilipia mahari, nikanunua pete na kugharamia kila kitu ili tu anioe kwani nyumbani kila siku wananipigia kelele kuhusu ndoa. Baada ya kuvalishana pete nikamuomba tuende Zanzibar, mimi nikalipia kila kitu lakini akagoma kwenda, kwakua nilishawaambia marafiki zangu nilimbembeleza sana akakubali ila kwa sharti aende na mwanamke wake.Nilikubaliana na sharti lake, nikamlipia hoteli yeye na mwanamke wake, akalala naye mimi nimelala mwenyewe yeye akaja kwangu kupiga picha tu.

Nimerudi niemchoka, najihisi kuchanganyikiwa kwani anataka kunioa ila sioni kama nitakua na furaha. Nilikua naamini kuwa labda atabadilika ila kila nikitafakari, akili inaniambia hakuna kitakachobadilika, ila moyo hautaki. Mama yangu anampenda, ndugu zangu wanampenda, wanajua amesoma kumbe ni darasa la saba, wanajua na kazi nzuri kumbe hata gari anayoendesha na kuzunguka wanawake zake ni yangu, nisaidieni ushauri nifanye nini? Niufuate moyo wangu au akili yangu?
Hivi ww una akili kweli mbona huu ni ujinga ngazi ya juu.... Unajilipia mahali, unajinunulia pete.... Me ni Bora nisiolewe kusema kweli....kama mtu awez kunilipia mahali siwez aiseh

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom