Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii hapanaNi ajabu la dunia, sijawahi isikia
Nahisi huyo mdada ana shida ya akili na anahitaji msaada wa haraka sanaHiii hapana
Kuna wasichana wenye pesa lkn wamenyimwa kila kitu sura shape lips tsko nk huwa hawajiamini sijui kwanini..Nahisi huyo mdada ana shida ya akili na anahitaji msaada wa haraka sana
Hiyo elimu uliyokuwa nayo sijui inakusaidia vpHello JF, nina miaka 27, sijaolewa bado ila nina mchumba na kashajitambulisha kwetu. Mimi nafanya kazi kwenye NGO ya kimataifa (ni daktari kitaaluma) nina kipato kizuri tu, huyu kaka yeye hana kazi, nimejaribu kumpa mtaji kila mara anakula mpaka sasa hivi nimechoka. Tuko kwenye mahusaino huu ni mwaka wa nne sasa. Mimi ndiyo namhudumia kwa kila kitu tunaishi kwangu lakini Kaka nalazimika kuigiza kuwa naishi kwake ili tu kumlindia heshima yake.
Hii nichai kama chai zingine za chai Bora,chai kavu hakuna anaeweza kuvumilia huo ujinga
Una utani na mleta mada au 😅😅, mimi nadhani ana stress maana umri wake bado mdogo sijui kwa nini anajiingiza kwenye majukumu ya kuwa mlezi wa jibaba zima lenye ndevu zakeKuna wasichana wenye pesa lkn wamenyimwa kila kitu sura shape lips tsko nk huwa hawajiamini sijui kwanini..
Nisamehe lkn jmn
Tembea sasa mbona umekaa mbususu itachacha😎Ya kutembelea
Huyu mraxy anatuenjoy,hata kwa akili za kushikiwa huwezi kufanya huu upumbafuHakunaga utumbafu wa kiwango hiki hata kama wewe ni zezeta, yaani eti ulipie safari ya Zenji halafu aje na mwanamke wake wewe uishie kupiga picha!?. Unatuonaje lakini kutupiga fix za kitaahira 'namuna' hii??[emoji24]
Nimeandika hayo ninajiamini huyu hapana.Una utani na mleta mada au [emoji28][emoji28], mimi nadhani ana stress maana umri wake bado mdogo sijui kwa nini anajiingiza kwenye majukumu ya kuwa mlezi wa jibaba zima lenye ndevu zake
Atulize akili, no matter what bado atatokea anaempenda kwa dhati
Kuambiwa huna akili sio kutukanwa ndio uhalisia wenyeweUsinitukane dear. Mapenzi yanaweza kukufanya ukafanya vitu hadi ukaonekana mjinga kabisa.
Hana akili huyu dada, heri hichi kipande cha kwenda Zanzibar asingekielezea kidooogo tungemwelewa lkn baada ya kuingiza story sijui za mchepuko wa jamaa kwenda nao Zanzibar [emoji706][emoji706][emoji706][emoji52]Hivi wewe ni mwanamke kweli au unaigiza?
Una aura mbovu na unang'ang'ania handsome?
Unaweza kulipia mchrpuko wa mumeo msafiri wote...inaingia akilini?
Hii ni stori fake
Unaudhi sanaHana akili huyu dada,heri hichi kipande cha kwenda Zanzibar asingekielezea kidooogo tungemwelewa lkn baada ya kuingiza story sijui za mchepuko wa jamaa kwenda nao Zanzibar [emoji706][emoji706][emoji706][emoji52]
Kwahiyo na ww umeamini kabisa hayo ni mahaba?Mahaba niue niponde ponde kama nyanya[emoji177][emoji177]
Jinga sana hili kama ni kweliUnaudhi sana
🤣🤣🤣🤣Wee jamaaa wat are u insinuatingKuna wasichana wenye pesa lkn wamenyimwa kila kitu sura shape lips tsko nk huwa hawajiamini sijui kwanini..
Nisamehe lkn jmn
Nimeongea uzoefu mkuu niache...huyu ni mbovu bro wala usitake mengi[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee jamaaa wat are u insinuating