Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

dah kwakweli mkuu,,kwenye ishu ya nyeto naona ni tatizo kubwa sana maana nagonga miaka 31 haimalizi wiki lazima nizame kwenye site za porn then baadae najichua kwakweli huu utumwa umeniathiri sana nashindwa kuukimbia
Tafuta asali mbichi, mdalasini wa unga na karafuu ya unga.

Chukua changanya vyote kwa pamoja mpaka upate uji mzito.

Ikishakamilika lamba kijiko kidogo kila ukiamka na usiku kabla hujalala kwa siku 30 yani kama dozi vile, itakusaidia kukata huo mchezo kwa kiasi kikubwa na kukurudishia uwezo wa mashine..

Kumbuka: asali inatakiwa iwe mbichi.. kama sio mbichi usitumie kabisa..
 
Hao Malaya ataishia kupata magonjwa tu na mikosi akae Kwa kukutulia atafutute mwanamke apo mtaani wapo kibao tu omba namba kama unaogopa kuongea nao anakwa ana
Akitomba na kondom hatopata magonjwa
 
Pole ndugu jitahid usiwe unakaa peke yakojumuika na watu
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ikiwa unataka kutongoz, punguza userious kijana..Mambo mengine hayahitaji kuwa serious..it's all about techniques and good approach!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Pole ndugu jitahid usiwe unakaa peke yakojumuika na watu
Nashukuru ndugu.
Tangu nitume thread hii ya kuomba ushauri ni miezi sita Sasa imepita, Cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Tatizo Langu lilipata jibu na nika solve nikapata solution, mpaka ninapo ongea hapa ni miezi mitano tangu niachane na Masterbation, ule Uoga wa Mademu uliniisha nilitafuta demu nikapata Yani kiufupi maisha yangu kwa kiasi Fulani yalibadilika sana kupitia hii threads.

Shukurani zangu ziwaendee Hawa watu Lovie Lady huyu alinikaribisha Hadi DM akanipa ushauri ulionijenga pamoja na successiful dreamer
Moja watu walio nipa ushauri mzuri mpaka nikaamua Kuachana kabisa na Masterbation na nikamua kuanzisha safari Mpya ya Maisha bila masterbation, bila Wivu bila Uoga Kwa kweli Mungu awabariki sana.
#ukiamuaunaweza.
 
Mleta mada hayupo sawa kisaikolojia
Kati yangu Mimi na wewe na hayupo sawa kisaikolojia? Wewe ndiyo mwenye shida unapata wapi mda ku'search thread ya 2 years ago? Hii inaonyesha ni namna gani akili yako umeathirika. Pole sana. Na nadhani bila shaka kabsa wewe ni SINGLE MOTHER . Nakupa pole juu ya hilo.

Ukipenda shauri, usipo penda pita. Na ulisoma ukaona litakuathiri it's better kuachana nalo na kuangalia mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ