Naomba ushauri wa biashara ya malori

Ahsante kwa ushauri wako. Nimeshanunua horse
Umenunua horse aina gani, na vipi perfomance yake?tupe feedback ya changamoto au new lessons yeyote uliyopata.

Mimi pia nataka kununua horse, nawaza kati ya benzi mp3 au daf xf 106 manual gear, au zote kwa pamoja, nichanganye brand mbili
 
Umenunua horse aina gani, na vipi perfomance yake?tupe feedback ya changamoto au new lessons yeyote uliyopata.

Mimi pia nataka kununua horse, nawaza kati ya benzi mp3 au daf xf 106 manual gear, au zote kwa pamoja, nichanganye brand mbili
Kachumbari kwenye biashara ya magari haishauriwi sana !!
Kuwa na brand moja , ili mambo yakiwa magumu uweze kutumia gari moja kama spare .
Manual gear ?? Sikushauri kabisa!!
 
Umenunua horse aina gani, na vipi perfomance yake?tupe feedback ya changamoto au new lessons yeyote uliyopata.

Mimi pia nataka kununua horse, nawaza kati ya benzi mp3 au daf xf 106 manual gear, au zote kwa pamoja, nichanganye brand mbili
Gari ndio iko bandarini inafanyiwa clearance.
Kutokana na changamoto za meli kutoka ulaya kwa kipindi hiki imenichukua muda sana gari kufika maana nimeagiza in mid June.
 
Uliyoyasema ni kweli. Kuna ule udereva wa kizamani wa.kung'ang'ania manual gear trucks, ama kuendesha gari ngumu 113, 114 huu kweli umepitwa na wakati katika dunia ya sasa.
 
Umenunua horse aina gani, na vipi perfomance yake?tupe feedback ya changamoto au new lessons yeyote uliyopata.

Mimi pia nataka kununua horse, nawaza kati ya benzi mp3 au daf xf 106 manual gear, au zote kwa pamoja, nichanganye brand mbili
Soma update kwenye uzi utajua nimenunua gari aina gani.
 
Nimeamua kununua iwe yangu kabisa maana hii ya kukodi ningekuwa nampa mtu kama Milioni kwa mwezi.
Za kukodi naweza pata nifanye route za mikoa?


Inaaeza fika ngapi kukodi horse? Na trailer?

Msaada
 
Hivi hadi hizi tipper/dumper ambazo ni auto zipo kweli bongo hii kwa hizi brands pendwa za Mitsubishi?
 
Umefanya vzr sna mkuu mm nitakiwa manager wako mnk ni.ekuwepo ktk kampuni fln hv so hayo magari nazijua a to z

113,114c,124_420 nazo pia ninazimudu kuanzia spare na kila kitu

Ila nikutonye kama upo dsm basi nenda pale fire mwanza spare karbu na kfc mgahawa kanunue spare zako kwa bei resonable kbsa
 
Kaka nimerejea Tena kuuliza swali.

Kuna hizi scania 114 380 nimekutana na Euro 2 ambayo ni ya mwaka 2001 pamoja na 114 380 Euro 3 ya mwaka 2003. Je, hizi zote ni Cummins engine? Je, nikikutana na neno PDE ndio ishara ya hiyo gari Ina Cummins engine kwenye scania? Je, kinachotofautisha hasa kati ya Cummins engine na engine ya unit injector kwenye performance ni kitu gani hasa. Ahsante Kwa ufafanuzi

Hapo chini nimeweka trucks mbili zote ni 114 380. Yenye maandishi ya PDE ni ya mwaka 2003 na ni Euro 3. Isiyokuwa na maandishi ni Euro 2 ya mwaka 2001. Kati ya hizi Ipi ni nzuri?
Nashindwa kujua Ipi ni Bora na Ipi ni Cummins maana Kuna mdau huko juu alisema tununue ya mwaka 1997 hadi 2001. Lakini hii Miaka sidhani Cummins engine zilikuwa zimeanza.

Ahsante Kwa ushauri wako.
View attachment 2560958View attachment 2560959
Cc
t blj
cannulla
mlima wa mizeituni
 
Neno Pde ni trademark ya ufaransa, ikiwa ni abbreviation ya neno "pompe duce ellemente" au unit injector kwa English. Wakati euro three inakuwa mandatory europe , Peugeot france ndo walikuwa na pde tech na ni moja ya tech ambayo ilionesha kufaulu euro 3 emissions regulations. Kwa gharama nafuu. Scania na Cummins walinunua hii tech kutoka france , na wote wakaenda kutengenewa nozzle ( unit injector) kwa bosh diesel( USA, branch) Cummins imekuwa popula kwa sababu bosch walitengeneza nozzle hizi USA ndo akawa wa kwanza kuzipata , scania yeye alipata baadaye..
114 kabla ya 2001 zilikuwa ni mechanical pump, kuna ambazo zilitengenezwa na kampuni ya zexel, zipo za bosch pia , to the best of my knowledge gari zenye mechanical pump hazijawahi kuwa na maisha marefu kama gari ya unit injector, ni mafundi walikuwa wanogopa gari za umeme ,ila siku hizi wameshazizoea, nakushauri nunua gari ya pde ,
 
You have said it all. Ahsante sana mkuu
 
Gari za EU au Scandinavia huwa ziko well spec'd na zinakuwa hazijatembea sana, tatizo ni LHD.
Mind set tu ya dereva! Nimesha endesha LHS shacman H3000 nilijisikia raha sana! Wabongo waaribifu kuzibadili mfumo
 
Mind set tu ya dereva! Nimesha endesha LHS shacman H3000 nilijisikia raha sana! Wabongo waaribifu kuzibadili mfumo
Mkuu, kwahyo unachoshauri ni kutozibadili kuwa RHS? Je, hazitowasumbua madereva hususani kwenye suala zima la kuovertake?

Kuna mdau huko juu alisema ni muhimu dereva wa RHS kupata somo jinsi ya kuendesha LHS. Je, wewe ulipata hilo somo? Je, ni kweli Kuna huo umuhimu?

Raha uliyojisikia ni Ipi hasa, unaweza kuelezea japo kidogo?
 


Raha sana nilikua najisikia tofauti sana! Wewe unamuonaje dereva anaeshuka kwenye gari ya LHS
 
Raha sana nilikua najisikia tofauti sana! Wewe unamuonaje dereva anaeshuka kwenye gari ya LHS
Ahsante sana Kwa mchango wako kaka.
Kuhusu Mafundi wa Kibongo ni kweli aiseeee. Yaani gari ikienda garage Kwa ajili ya Corrective maintenance ni ngumu kurudi kwenye Hali yake ya mwanzo. Nimeshaexperience hili jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…