Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 675
Trailer ya mtumba ndio nyepesi lakini ukichukua hizi za kutengeneza ni nzito hata ikiwa singleNimedadisi sana kuhusu hili, super single kwa maana ya trailer nimeambiwa inabeba mzigo mwingi kwa sababu trailer inakuwa nyepesi kulinganisha na trailer yenye double tires
Hesabu zako ziko sahihi kwako ila kwa mifumo ya biashara limekufa kabisaAchana na hiyo biashara!
Kama utaziweza hizi changamoto try!
1-Ale dereva!
2-Ale msaidizi!
3-Ile gari!
4-Ile serekali!
5-Ale dalali!
6-Ale Trafic
Kitakacho fika kwako sound!....
Wekeza kwenye kilimo cha Kitaalamu!
Tuelimishe! ila kwa sasa walahi siwezi kuacha kuchezea Ardhi, Ardhi...[emoji8][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]Hesabu zako ziko sahihi kwako ila kwa mifumo ya biashara limekufa kabisa
Unajua wengi tunawekeza tulicho Fanya utafitiTuelimishe! ila kwa sasa walahi siwezi kuacha kuchezea Ardhi, Ardhi...[emoji8][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]
Sasa sote tuwe wakulima tena?Achana na hiyo biashara!
Kama utaziweza hizi changamoto try!
1-Ale dereva!
2-Ale msaidizi!
3-Ile gari!
4-Ile serekali!
5-Ale dalali!
6-Ale Trafic
Kitakacho fika kwako sound!....
Wekeza kwenye kilimo cha Kitaalamu!
Ndivyo nilivyo shauri??!Sasa sote tuwe wakulima tena?
Sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua wengi tunawekeza tulicho Fanya utafiti
Mi sijawahi kumiliki roli ila nimeendesha pamoja na kusimamia
Ukiwa umepata gari nzuri Dereva mtunzani Fundi anae jua wajibu wake
Hii biashara utaipenda
Ili uweze kuifanya kwa Uhuru lazima kila Dereva awe na mkataba wa kazi utakao ondoa changamoto zisizo na ulazima kuwepo
Lazima uwe na msimamizi anae jua magari vizr
Hapo lazima utoboe
Hicho kicheko sijakielewaSawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninajicheka mwenyewe kupambana na mavyumaHicho kicheko sijakielewa
Sawa mkuuNinajicheka mwenyewe kupambana na mavyuma
Mkuu hayo uliyotaja kwa ujumla mara aina ya gari, utofauti wa biashara kati ya eneo na eneo, sijui madereva n.k ndiyo mleta mada anahitaji ufafanuzi wa kina..Hapa naona ushauri wa aina 3. Kwanza ni wa madereva.. wanavutia kwao. Pili. Wakusikia.. hawajawahi kufanya hii biashara ya usafirishaji wa malori na kwa mbaali ... wenye malori wenyewe ambao wengi hawamo humu.
Mimi ni mmiliki wa malori na nimefanya zaidi ya miaka 20. Ushauri wangu... connect na wafanya biashara wenyewe... watafute mji ulipo uongee nao. Ukiwa dar au moshi au mwanza au mbeya kuna utofauti mkubwa sana wa kufanya biashara. Ushauri unategemea unaaanzia mkoa gani. Ipo miundo na mbinu nyingi na aina za magari, madereva, mafundi, Tra nk. Maombo ni mengi ila inalipa ukiipatia.
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
kwa hiyo kwenye kilimo hauliwi?Achana na hiyo biashara!
Kama utaziweza hizi changamoto try!
1-Ale dereva!
2-Ale msaidizi!
3-Ile gari!
4-Ile serekali!
5-Ale dalali!
6-Ale Trafic
Kitakacho fika kwako sound!....
Wekeza kwenye kilimo cha Kitaalamu!
Ulaji wa kupe na mbu ni tofauti kamandakwa hiyo kwenye kilimo hauliwi?
Mkuu nakushukuru sana kwa ushauri wako. Bafo yote nakusanya kama maoni. Ahsanteni sana nyoteHapana mkuu, super single haibebi mzigo zaidi ya double Tyre. Nimekuwekea hapa sheria ya mizigo ya east Africa ambayo ndo sheria mama hapa Tanzania linapoluja suala la weight.
Kuhusu budget na aina ya gari unayotaka kununua Upo sahihi na karibu kwa game.
Mende ya mchanga haiwezi kukaa meza moja na semi kwenye kurudisha pesa .Mimi binafsi ninge kushauri ungepata scania mende ya mchaga inarudisha pesa haraka ya na used ni 80-90m kwa Dar zipo, kwa wiki inaleta 1.8m, kuhusu mkopo kama kunawezekano wa kununua mwenyewe subiri upate hiyo pesa au muelewane na mwenye gari umtangulizie tu, ila benki za hapa hazisaidie ila zinafilisi ndo zinapo pata faida yao, biashara ya gari sio ya kuchukulia mkopo benki risk analysis yake is above 50% don't risk mkopo
Nimechelewa kuuona huu uzi ila nina imani.kuna mawili matatu naweza kukushauri....Wakuu nawasalimu kwa Jina la JMT.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Nimekuja humu ndani kupata ushauri wa Biashara ya Malori haya ya kubeba mizigo iwe ya Local ama Transit.
Kutokana na Connection nilizonazo nadhani suala zima la kupata Mizigo ya Kusafirisha halitokuwa la kuumiza kichwa.
Changamoto inayonikabili ni funding pamoja na aina ya truck ambayo inapaswa ni nunue.
Kabla ya kuja humu ndani nilishaomba ushauri kwa watu kadhaa ambao wapo kwenye hii industry na wamenijuza truck nzuri ya kununua ni Mtumba SCANIA 124 420 iliyotumika Europe. Hawakunishauri kabisa kununua Truck Mpya ama Refurbished za Mchina, DAF na Volvo wakaniambia zitanitesa maana ndio kwanza naingia kwenye game. Hata nilipouliza SCANIA zilizotumika south Africa wakaniambia ni bora nichukue za europe zinakuwa bado zipo Bora na hazijatembea sana kwenye rough road kwa hizo za SOUTH japo hizo za south walikiri kwa gharama ya manunuzi zipo chini kiasi.
FUNDING
Kama nilivyoeleza awali mimi ni new comer kwenye hii industry hivyo nategemea kujichanga kama 50-60Mil then the rest nichukue mkopo maana nakopesheka vizuri sana. Baada ya kufanya window shopping nimegundua horse scania mtumba inaweza kunicost kati ya 75Mil - 85Mil hapa nitapata gari nzuri tu, Trailer nimeshauri kununua ya Mkononi ambayo imetumika hapa nchini ambapo zina range 25Mil - 30Mil kutokana na hali yake. Nimejaribu kuulizia. Mpya lakini naona bei imechangamka sana USD 28,500.00 flatbed Double tire
TECHNICAL
Nimeshauriwa hapo kwenye trailer kununua super single kwa maana inabeba Mzigo Mkubwa kulinganisha na trailer yenye double tire.
Kwenye Horse kama nilivyoeleza awali nimeshauriwa SCANIA 6x2 124L 420 Mtumba kutoka EUROPE
BUDGET
Ukiangalia makisio ya gharama zote Horse na Trailer budget yake inacheka kati ya 100Mil - 115Mil. 60% Nategemea kuitoa Mfukoni na 40% nichukue Mkopo. Nategemea kulipa Mkopo kwa kutumia Mshahara wangu pamoja na Mapato yatakayokuwa yanapatikana baada ya Truck kuanza kuoperate. Nimekuja kuomba ushauri kwa yeyote mwenye kuielewa biashara hii kwa undani, nimeweka mchanganuo wote hapa ili niweze kupata ushauri mzuri kulingana na information nilizopokea pamoja na uwezo wangu wa kifedha. Nategemea kuna wajuzi wengi humu na nitambulia ushauri mzuri katika kukamilisha hili. Ahsanteni na niwakaribishe kwa Ushauri. Kejeli na dharau hapa si mahala pake.