Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 675
Hapa naona ushauri wa aina 3. Kwanza ni wa madereva.. wanavutia kwao. Pili. Wakusikia.. hawajawahi kufanya hii biashara ya usafirishaji wa malori na kwa mbaali ... wenye malori wenyewe ambao wengi hawamo humu.
Mimi ni mmiliki wa malori na nimefanya zaidi ya miaka 20. Ushauri wangu... connect na wafanya biashara wenyewe... watafute mji ulipo uongee nao. Ukiwa dar au moshi au mwanza au mbeya kuna utofauti mkubwa sana wa kufanya biashara. Ushauri unategemea unaaanzia mkoa gani. Ipo miundo na mbinu nyingi na aina za magari, madereva, mafundi, Tra nk. Maombo ni mengi ila inalipa ukiipatia.
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Mimi ni mmiliki wa malori na nimefanya zaidi ya miaka 20. Ushauri wangu... connect na wafanya biashara wenyewe... watafute mji ulipo uongee nao. Ukiwa dar au moshi au mwanza au mbeya kuna utofauti mkubwa sana wa kufanya biashara. Ushauri unategemea unaaanzia mkoa gani. Ipo miundo na mbinu nyingi na aina za magari, madereva, mafundi, Tra nk. Maombo ni mengi ila inalipa ukiipatia.
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app