chagga_daddy
Member
- Dec 14, 2019
- 16
- 9
Habari Wana jukwaa...
Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.
Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena
Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2
Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.
MAONI YENU PLEASE.
Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.
Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena
Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2
Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.
MAONI YENU PLEASE.