Naomba ushauri wa namna ya kupata haki kuhusu hii simu ya wizi iliyopo polisi

Naomba ushauri wa namna ya kupata haki kuhusu hii simu ya wizi iliyopo polisi

yani inakua kama iko mnadani atakaepanda dau anachukua.
wanunuzi kama walala hoi hela hawana Mwenye simu anaambiwa simu imepatikana ila iko NAMPULA
emoji2.png
sehemu unayoenda kilometa kwanzia 1000 unaambiwa ulipe nauli wakaifate

hio nauli ni kubwa kuliko simu ulopoteza! mwisho wa siku unaamua kupotezea, wanamkaba kaba mtuhumiwa wanamtoa basi, au unapigwa nauli unapewa simu

Hawa watu ndo mana Hamza alilala nao mb

Kwa hyo mliuziwa simu iliyotumika ikiwa ndani ya boksi na imefungwa sealed?
Aliyemuuzia alisema ni used from UK kumbe box alifoji ila risit alitupa ya ofcn KWAKE ye ni dalali
 
yani inakua kama iko mnadani atakaepanda dau anachukua.
wanunuzi kama walala hoi hela hawana Mwenye simu anaambiwa simu imepatikana ila iko NAMPULA [emoji2] sehemu unayoenda kilometa kwanzia 1000 unaambiwa ulipe nauli wakaifate

hio nauli ni kubwa kuliko simu ulopoteza! mwisho wa siku unaamua kupotezea, wanamkaba kaba mtuhumiwa wanamtoa basi, au unapigwa nauli unapewa simu

Hawa watu ndo mana Hamza alilala nao mbele
Wanakera Sana mkuu
 
Risit tulipewa mkuu na box lake ila BOKSI walifoji
kama wamekupa RISITI ya EFD na umenunua DUKANI kwa huyo jamaa
na yeye yupo ameshakamatwa
Omba kesi iende mahakamani
hata wakuambie kauliwa mtu wewe uwaambie kesi iende mahakamani
ishatokea kwa ndugu yangu
ila sasa nilivyoona dau wanalotaka kubwa
nikamuambia ndugu yangu kesi iende mahakamani 7bu kesi yake inadhamimika na alomuuzia ameshakili yeye ndo alomuuzia basi kesi iende mahakamani

wakatutisha atafungwa ndugu yako
mm nikamuambia labda ubadilishe maelezo hayo tuloeleza lkn km maelezo ni hayo aloandika na kutia sahini na mimi kutia sahini DHAMANA kesi ipo wazi na sisi tutafungua kesi ya kutapeliwa kuuziwa kitu amabcho muuzaji alikuwa anajua kabisa ni cha wizi

baada kuona ugumu tumekataa kutoa zaidi pesa hapo nishamdhamini na tushalipa kam laki 2 na nusu tukaambiwa tufike asubuhi saa 1 tukakutanishwa na mwenye simu tuongee tumalizane nae
mm nikawaambia simu iletwe nikamkabidhi alotuuzia mkononi

nikamuambia simu yako hii hapa ya WIZI uloiba ukamuuzia ndugu yangu sasa wewe malizana na ulomuibia simu yako kisha sisi wewe tutakufungia kesi ya UTAPERI na MADAI utulipe pesa yetu tukakaa pembeni
haikuwa kazi nyepesi ila.mwisho wa siku wakata ela ya kufuta kesi laki 3
tukaawambia afande hapa tumebakiwa na elf 50 tu hatun pesa nyingine
wakachukua hiyohiyo
basi bana simu ikaenda ilikuwa SAMSUNG tu ya laki 2 na laki 3 zikaenda kiboya

So mkuu wewe komaa nao tu hao kikubwa hakikisha kila mnachoongea wewe warecord tu ili wasikubadilishie maelezo
ila hapo ukitoa pesa zaidi watakuonea

hao mabwana PGO ukiwa falafala watakupiga ela sana

we fikilia kufuta kesi ni BURE kabisa lakini wajomba wakataka laki 3 eti umechafua JALADA la POLISI
na POLISI kufuta kesi kisheria ni UFAHARI kwao sana kuliko kesi kwenda mahakamani
Yaani kwa lugha nyepesi POLISI wanapenda kesi ziishie kwenye DAWATI la POLISI zaidi kuliko kwenda mahakamani
na kipengele cha kumalizana kipo kisheria SIO kwamba polisi anafanya fea
kubwa na muhimu tu mlalamikaji aridhie
 
Milion mbili hata Mliman city unapata i phone kwa authorised dealer na warranty na risiti yan kuna watu wa hela had unajiuliuza hela walipataje ka akili ndogo ka hyo inawashinda
 
Nenda ofisini kwa rpc wa kanda maalum uongee nae atakusaidia
 
kama wamekupa RISITI ya EFD na umenunua DUKANI kwa huyo jamaa
na yeye yupo ameshakamatwa
Omba kesi iende mahakamani
hata wakuambie kauliwa mtu wewe uwaambie kesi iende mahakamani
ishatokea kwa ndugu yangu
ila sasa nilivyoona dau wanalotaka kubwa
nikamuambia ndugu yangu kesi iende mahakamani 7bu kesi yake inadhamimika na alomuuzia ameshakili yeye ndo alomuuzia basi kesi iende mahakamani

wakatutisha atafungwa ndugu yako
mm nikamuambia labda ubadilishe maelezo hayo tuloeleza lkn km maelezo ni hayo aloandika na kutia sahini na mimi kutia sahini DHAMANA kesi ipo wazi na sisi tutafungua kesi ya kutapeliwa kuuziwa kitu amabcho muuzaji alikuwa anajua kabisa ni cha wizi

baada kuona ugumu tumekataa kutoa zaidi pesa hapo nishamdhamini na tushalipa kam laki 2 na nusu tukaambiwa tufike asubuhi saa 1 tukakutanishwa na mwenye simu tuongee tumalizane nae
mm nikawaambia simu iletwe nikamkabidhi alotuuzia mkononi

nikamuambia simu yako hii hapa ya WIZI uloiba ukamuuzia ndugu yangu sasa wewe malizana na ulomuibia simu yako kisha sisi wewe tutakufungia kesi ya UTAPERI na MADAI utulipe pesa yetu tukakaa pembeni
haikuwa kazi nyepesi ila.mwisho wa siku wakata ela ya kufuta kesi laki 3
tukaawambia afande hapa tumebakiwa na elf 50 tu hatun pesa nyingine
wakachukua hiyohiyo
basi bana simu ikaenda ilikuwa SAMSUNG tu ya laki 2 na laki 3 zikaenda kiboya

So mkuu wewe komaa nao tu hao kikubwa hakikisha kila mnachoongea wewe warecord tu ili wasikubadilishie maelezo
ila hapo ukitoa pesa zaidi watakuonea

hao mabwana PGO ukiwa falafala watakupiga ela sana

we fikilia kufuta kesi ni BURE kabisa lakini wajomba wakataka laki 3 eti umechafua JALADA la POLISI
na POLISI kufuta kesi kisheria ni UFAHARI kwao sana kuliko kesi kwenda mahakamani
Yaani kwa lugha nyepesi POLISI wanapenda kesi ziishie kwenye DAWATI la POLISI zaidi kuliko kwenda mahakamani
na kipengele cha kumalizana kipo kisheria SIO kwamba polisi anafanya fea
kubwa na muhimu tu mlalamikaji aridhie
Mkuu Asante ila huyu ndugu yangu hela yake ataipataje sasa
kama wamekupa RISITI ya EFD na umenunua DUKANI kwa huyo jamaa
na yeye yupo ameshakamatwa
Omba kesi iende mahakamani
hata wakuambie kauliwa mtu wewe uwaambie kesi iende mahakamani
ishatokea kwa ndugu yangu
ila sasa nilivyoona dau wanalotaka kubwa
nikamuambia ndugu yangu kesi iende mahakamani 7bu kesi yake inadhamimika na alomuuzia ameshakili yeye ndo alomuuzia basi kesi iende mahakamani

wakatutisha atafungwa ndugu yako
mm nikamuambia labda ubadilishe maelezo hayo tuloeleza lkn km maelezo ni hayo aloandika na kutia sahini na mimi kutia sahini DHAMANA kesi ipo wazi na sisi tutafungua kesi ya kutapeliwa kuuziwa kitu amabcho muuzaji alikuwa anajua kabisa ni cha wizi

baada kuona ugumu tumekataa kutoa zaidi pesa hapo nishamdhamini na tushalipa kam laki 2 na nusu tukaambiwa tufike asubuhi saa 1 tukakutanishwa na mwenye simu tuongee tumalizane nae
mm nikawaambia simu iletwe nikamkabidhi alotuuzia mkononi

nikamuambia simu yako hii hapa ya WIZI uloiba ukamuuzia ndugu yangu sasa wewe malizana na ulomuibia simu yako kisha sisi wewe tutakufungia kesi ya UTAPERI na MADAI utulipe pesa yetu tukakaa pembeni
haikuwa kazi nyepesi ila.mwisho wa siku wakata ela ya kufuta kesi laki 3
tukaawambia afande hapa tumebakiwa na elf 50 tu hatun pesa nyingine
wakachukua hiyohiyo
basi bana simu ikaenda ilikuwa SAMSUNG tu ya laki 2 na laki 3 zikaenda kiboya

So mkuu wewe komaa nao tu hao kikubwa hakikisha kila mnachoongea wewe warecord tu ili wasikubadilishie maelezo
ila hapo ukitoa pesa zaidi watakuonea

hao mabwana PGO ukiwa falafala watakupiga ela sana

we fikilia kufuta kesi ni BURE kabisa lakini wajomba wakataka laki 3 eti umechafua JALADA la POLISI
na POLISI kufuta kesi kisheria ni UFAHARI kwao sana kuliko kesi kwenda mahakamani
Yaani kwa lugha nyepesi POLISI wanapenda kesi ziishie kwenye DAWATI la POLISI zaidi kuliko kwenda mahakamani
na kipengele cha kumalizana kipo kisheria SIO kwamba polisi anafanya fea
kubwa na muhimu tu mlalamikaji aridhie
Asante mkuu
 
kesi za namna hii zimekuwa nyingi sasa la msingi kuacha kununua simu used technolojia imekuwa mtapata kesi za mauaji bure. nunua simu mpya kulingana na hela yako.
 
Sifa kuu ya kuwa polisi ni kupata division 4 ya points 32 na kuendelea
kila ufala inapoangushiwa zigo elimu ndio mwanzo wa kufeli.

inatakiwa uwe na elimu ya ufaulu upi ili usipende kupiga piga watu pesa kimichongo??maana mafisadi wamevunja mpaka havard.
 
Habari Wana jukwaa...


Kuna rafiki yangu kauziwa cm ya wizi yeye alinunua uko makumbusho police wameitrak wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo. Mtwara Ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu polisi wameshamtoza Tena ela za kwenda kumfatilia uyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio uyu rafiki yangu Tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti nae alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati uo kashawapa laki 3 za kumfuata uyo mtuhumiwa uko mtwara na simu alinunua million 2

Je wadau afanyaje kuipata aki yake maan me naona wanamlia ela wakati kesi ausiki tena...

MAON YENU PLEASE...

Hakuna Haki police! Next time anunue simu Mpya! Police wanaweza kusema lolote na you have absolutely nothing to do' yeye a negotiate bei basi!

Anaweza kufa kimasihara, au kuunganishwa kwenye Kesi tata!
 
Poleni mkuu, Ila huyo nduguyo Ni mzembe kupitiliza asee huwezi nunua simu Bei hyo kwa mazingira yasoeleweka.

Kama unaweza pambana kuwauliza hao polisi kuwa mlalamikaji wa jalada Hilo Ni Nani, pili upate na Hilo faili la kesi upate mlinganisho wa maelezo na IMEI za hizo sim Yani ilopotea na simu ya huyo rafiki ako, unaweza kuta faili Ni la kesi nyingine akaja pewa kesi mtu mwingine kabisa.

Ila kwasababu huwa hatujui kuhoji Basi Hawa jamaa wanatupiga juu juu, Ila kwa kuhoji Sasa rafiki ako awe mvumilivu kukaa ndani Hadi ukweli halisi ujulikane, mkitaka njia ya mkato hela zitawatoka nyingi na zote wanachukua hao mbwa washenzi.
 
Siku hizi michongo kama hiyo inafanyika kinjama zaidi kwa ushirikiano wa polisi

Huyo aliyekuuzia kuna asilimia kubwa yeye ndiye aliyekuchomesha

Huku mtaani huo wizi mbona ume trend sana, yani mtu anakuwa na connection na mamwela halafu anakuja kukuuzia simu halafu baadaye anarudi kwa mamwela kuchonga nao dili

Unapewa kesi kua simu hiyo ilikuwa ni ya marehemu aliyeuwawa siku flani na sisi kama polisi tulikuwa tunai track kwa hiyo mpaka sasa uko chini ya ulinzi.

Wanajua tu ukishapewa taarifa hiyo hautakuwa na hamu na simu ile tena endapo wakiichukua, na pia uko tayari kutoa rushwa ili mradi uachiwe huru kwasababu unafahamu kesi za mauaji hukumu yake ikoje

Kwa hiyo mwisho wa siku unakita yule muuzaji amerudishiwa simu yake na ile cheda ambayo ulimpa kwa ajili ya kununua wamegawana na mapoti
 
Habari Wana jukwaa...


Kuna rafiki yangu kauziwa cm ya wizi yeye alinunua uko makumbusho police wameitrak wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo. Mtwara Ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu polisi wameshamtoza Tena ela za kwenda kumfatilia uyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio uyu rafiki yangu Tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti nae alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati uo kashawapa laki 3 za kumfuata uyo mtuhumiwa uko mtwara na simu alinunua million 2

Je wadau afanyaje kuipata aki yake maan me naona wanamlia ela wakati kesi ausiki tena...

MAON YENU PLEASE...
Dah

Hii ndio michezo ya polisi.
Hio simu ni ya kwao
 
Back
Top Bottom