hapana hakukufanyi kuwa mwizi unless kuwe na ushaidi unaonyesha fika uwe unajua fika unachonunua ni cha wizi
mahakama haitakukuta na hatia ikiwa itathibitisha alokuuzia alikutaperi kwa kukuaminisha kuwa mari yake ni halali na mkaandikishiana au kukukabidhi na mashaidi
hvyo VITISHO vya polisi VIKOME sasa nia ni kukupiga ELA
una HATIA ni mpk mahakama ikukute na HATIA kazi ya POLISI ni kupeleleza kupeleka ushaidi mahakamani
POLISI ndio wahujumu UCHUMI namba 1 kwa kukupakazia kesi isiyohusiana na makosa yako na kujikuta unashindwa kufanya SHUGURI za ulipaji KODI Hvyo uchumi wa nchi na wako kiumjura unaanguka
hvyo unavyokuwa POLISI BONGO kwa kesi yoyote jua maisha yako yapo hatarini eidha KIUCHUMI au KIAFYA hvyo inapaswa kusimamia UKWELI daima bila kuyumba ili kunusuri eidha UCHUMI wako AU Afya yako au vyote kwa pamoja Ukiona unazidiwa hata UCHAWI tumia tu ili kukomoana km wao wanavyokukomoa MBWAI MBWAI tu
kuna Afande mmoja yupo GOBA mpelelezi maarufu tu kwenye kesi za wizi wa TV na ana tamaa ya ELA balaa akikukamata TV ya wizi dau lake linaanzia laki 5
huwa anajihami mwenyewe eti ooh mimi hata MKINIROGA silogeki nipo vizuri kudadeki kumbe wanaogopa kulogwa wanajua hawatendi haki