Naomba ushauri wa namna ya kupata haki kuhusu hii simu ya wizi iliyopo polisi

Naomba ushauri wa namna ya kupata haki kuhusu hii simu ya wizi iliyopo polisi

Habari Wana jukwaa...


Kuna rafiki yangu kauziwa cm ya wizi yeye alinunua uko makumbusho police wameitrak wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo. Mtwara Ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu polisi wameshamtoza Tena ela za kwenda kumfatilia uyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio uyu rafiki yangu Tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti nae alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati uo kashawapa laki 3 za kumfuata uyo mtuhumiwa uko mtwara na simu alinunua million 2

Je wadau afanyaje kuipata aki yake maan me naona wanamlia ela wakati kesi ausiki tena...

MAON YENU PLEASE...
Nikituo gani nione namna ya kukusaidia?
 
Habari Wana jukwaa...


Kuna rafiki yangu kauziwa cm ya wizi yeye alinunua uko makumbusho police wameitrak wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo. Mtwara Ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu polisi wameshamtoza Tena ela za kwenda kumfatilia uyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio uyu rafiki yangu Tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti nae alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati uo kashawapa laki 3 za kumfuata uyo mtuhumiwa uko mtwara na simu alinunua million 2

Je wadau afanyaje kuipata aki yake maan me naona wanamlia ela wakati kesi ausiki tena...

MAON YENU PLEASE...
Anahusika sana.Ana risti ya EFD,ana boksi la simu?ana uthibitisho wa umiliki wa simu?Kama hana basi ni sehemu ya mtandao kawasaliti wenzake.Inshort ni kwamba kununua mali ya wizi kunakufanya uwe mwizi.
 
Uwezo wa kulipa simu 2M upo cha ajabu mnashindwa kupata wakili wa 500,000 tafuteni mwanasheria aende kuongea na mkuu wa kituo.
 
Tatizo la wabongo wengi ni kupuuzia mambo
Kila siku tunasema usinunue simu kwa mtu hata awe mkeo/mumeo na endapo ukinunua jiandae kwa lolote.
 
Huo ni mchezo wa polis na muuza cm chief. Hapo alitakiwa kujiongeza. Mi iliwah kumtokea hivyo dogo wangu wa dukan wakat anaitwa polis nikampigia Chagonja akampigia yule Afande alikuwa anaitwa Doto. Ule mchezo ukaisha.

Kwanza ucpende kununua vitu vya mkononi. Polis wana cm nyingi za wiz wamekamata nazo wezi so wanachofanya wanawapa mateja wakauze halafu wanatrac halafu unaitwa polis unapigwa hela. Unapewa mikwara cm iliibiwa mtu kauwawa nk unaogopa.
 
Poleni sana. Lakini ndugu mkiingia JF muwe mnapita kwenye majukwaa yote na kusoma habari muhimu. Huu utapeli ulishaelezewa sana hapa kwenye hili jukwaa na watu wengi sana wakasisitiza kuwa usinunue simu sehemu isiyoeleweka kwa vile tu eti bei rahisi.

Kukaletwa shuhuda kibao hapa kuwa watu wengi aidha wao wenyewe, marafiki, ndugu na jamaa zao wameshatapeliwa kwa mtindo huo na wakati mwingine hata kuishia kupata kesi.

Na wakati mwingine unakuta hata sio utapeli lakini ni kweli mtu kauwawa kaibiwa vitu vyake pamoja na simu uliyokuja kuuziwa wewe. Sasa mpaka askari wathibitishe kuwa wewe huhusiki na hayo mauaji utakuta umeshataabika sana wewe na ndugu zako.

Kuna vitu sio vya kununua hovyo hovyo na kimojawapo ni simu tena hasa hizi za kisasa maana ni rahisi mtu kuzifuatilia. Maana wengine wahuni tu wanakuuzia halafu baada ya siku mbili tatu wanakuja wenzake wanakubananisha.

Na hii mbinu kuna mdada alilizwa akalipa hela na kujikuta kawa rafiki wa hiyari na mmojawapo wa wahusika bila kujua mchezo aliochezewa.
 
Ndo walivyo hivyo hivyo.

Yaani hapo na aliyeibiwa anatoa hela vile vile kama nyinyi.
 
Habari Wana jukwaa...

Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2

Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.

MAONI YENU PLEASE.
Acha apate akili,huwezi kuwa na M2 ukaenda kununua simu ya mkononi.
 
Aliyemuuzia wanae sa kwann bado WANATAKA alipe Hela za vitu vilivyopotea na ajajua atma ya Hela yake mkuu
Usilazimishe mambo kwa uelewa wako mdogo. Hiyo ni kesi mbaya na omba iishe wala usione kutoa hela anapoteza....anatetea Uhuru wake. Ikiambatana na robbery ndio utajua.
 
Habari Wana jukwaa...

Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2

Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.

MAONI YENU PLEASE.
Wengine ndio tutamuelewa bw. Hamza. Polisi nchini ni maharamia kabisa
 
Alipe laki tano hizo kwa sababu hilo ndilo Taifa alilolichagua kwa kuwaweka malaghai,wezi,vibaka pamoja na walanguzi madarakani🐒🐒🐒
 
Risit tulipewa mkuu na box lake ila BOKSI walifoji

Hapo kwenye kifoji box ilibidi mshtuke haraka na kisha muachane na hiyo biashara!
Jamaa wa makumbusho wanatabia ya kuwadanganya watu eti simu haina box kwa sababu sijui wanasumbuliwa na TRA plus porojo kibao, ukisikia hivyo ujue utapigwa na kitu kizito!
 
Rafiki yako kaangushiwa jumba bovu...

Hiyo simu huenda hata sio ya wizi bali ni mchongo tu baina ya manjagu na muuzaji...
 
Mkuu Asante ila huyu ndugu yangu hela yake ataipataje sasa

Asante mkuu
ela ulonunulia SIMU labda huyo alokuuzia umfungulie kesi ya utaperi akutwe na hatia then umfungulie kesi ya MADAI ama la ukubali tu pesa ishapotea
kununua SIMU bila risiti kwa mtu usiemjua ni RISK kubwa

Ila ukinunua SIMU ya mkononi kwa hata kama hana RISITI mnaweza kuandikishiana jambo la kwanza verify IMEI namba kwa kutuma kwenda 15090 kuhakikisha kwanza hiyo SIMU haijavuliwa IMEI namba
kisha simple andikishianeni kwa kitamburisho chake cha URAIA na uhakikishe namba zake ndizo zilizosajiliwa na hicho kitamburisho alichokuonesha na shaidi wake pia hivyohvyo
ikikupendeza MRECORD akitamka maneno
" MIMI FULANI NINAKUUZIA SIMU YANGU AINA FULANI KWA KIASI FULANI NI MARI YANGU HALALI NA SI YA WIZI"

hiyo statement urorecord na kuandika katika maandishi itakusaidia sana siku ukikutana na wale mabwana PGO ili wasikupune mapesa yako wakidai simu mi ya wizi

mana wauzaji wengine wa SIMU hoyo ndio michezo yao kula deal ma mabwana PGO
 
Hakuna Haki police! Next time anunue simu Mpya! Police wanaweza kusema lolote na you have absolutely nothing to do' yeye a negotiate bei basi!

Anaweza kufa kimasihara, au kuunganishwa kwenye Kesi tata!
hakuna hicho haiwezi toka dhamana bila maelezo pande zote mbili inamaana km kashapata dhamana maelezo yashatoka iliobaki ni kesi iende mahakamani au lah wamalizane na mlalamikaji
inabidi now RAIA tuamke kuna mambo mengine UOGA wetu ndio unatupeleka pabaya milioni 2 ishaenda mtuhumiwa kashapatikana Ushaidi wa mali ilioibiwa upo polisi mlungula washakura nini tena wanataka
ni TAMAA za mabwana PGO ambazo zinatakiwa zikomeshwe kwa namna yoyote ile
POLISI ni watu wabaya ila sometime km unaona HAKI ipo upande wako KOMAA tu na UNACHOAMINI
 
Ohooo,hapo huyo aliyepeleka malalamiko,aliyemuuzia jamaa na polish wote lao moja amini nakuambia wanajuana hao kama vipi we angalia mlango mwingine tu
 
Anahusika sana.Ana risti ya EFD,ana boksi la simu?ana uthibitisho wa umiliki wa simu?Kama hana basi ni sehemu ya mtandao kawasaliti wenzake.Inshort ni kwamba kununua mali ya wizi kunakufanya uwe mwizi.
hapana hakukufanyi kuwa mwizi unless kuwe na ushaidi unaonyesha fika uwe unajua fika unachonunua ni cha wizi
mahakama haitakukuta na hatia ikiwa itathibitisha alokuuzia alikutaperi kwa kukuaminisha kuwa mari yake ni halali na mkaandikishiana au kukukabidhi na mashaidi
hvyo VITISHO vya polisi VIKOME sasa nia ni kukupiga ELA
una HATIA ni mpk mahakama ikukute na HATIA kazi ya POLISI ni kupeleleza kupeleka ushaidi mahakamani

POLISI ndio wahujumu UCHUMI namba 1 kwa kukupakazia kesi isiyohusiana na makosa yako na kujikuta unashindwa kufanya SHUGURI za ulipaji KODI Hvyo uchumi wa nchi na wako kiumjura unaanguka
hvyo unavyokuwa POLISI BONGO kwa kesi yoyote jua maisha yako yapo hatarini eidha KIUCHUMI au KIAFYA hvyo inapaswa kusimamia UKWELI daima bila kuyumba ili kunusuri eidha UCHUMI wako AU Afya yako au vyote kwa pamoja Ukiona unazidiwa hata UCHAWI tumia tu ili kukomoana km wao wanavyokukomoa MBWAI MBWAI tu
kuna Afande mmoja yupo GOBA mpelelezi maarufu tu kwenye kesi za wizi wa TV na ana tamaa ya ELA balaa akikukamata TV ya wizi dau lake linaanzia laki 5
huwa anajihami mwenyewe eti ooh mimi hata MKINIROGA silogeki nipo vizuri kudadeki kumbe wanaogopa kulogwa wanajua hawatendi haki
 
Back
Top Bottom