Naomba ushauri wa namna ya kupata haki kuhusu hii simu ya wizi iliyopo polisi

Naomba ushauri wa namna ya kupata haki kuhusu hii simu ya wizi iliyopo polisi

Nikituo gani nione namna ya kukusaidia?
AAss
hakuna hicho haiwezi toka dhamana bila maelezo pande zote mbili inamaana km kashapata dhamana maelezo yashatoka iliobaki ni kesi iende mahakamani au lah wamalizane na mlalamikaji
inabidi now RAIA tuamke kuna mambo mengine UOGA wetu ndio unatupeleka pabaya milioni 2 ishaenda mtuhumiwa kashapatikana Ushaidi wa mali ilioibiwa upo polisi mlungula washakura nini tena wanataka
ni TAMAA za mabwana PGO ambazo zinatakiwa zikomeshwe kwa namna yoyote ile
POLISI ni watu wabaya ila sometime km unaona HAKI ipo upande wako KOMAA tu na UNACHOAMINI
Asante mkuu
 
Serikali inakosa pesa ya kuripa per diem zao?
 
dunia ya sasa ni hatari sana kununua vitu mkononi.
 
Hiyo yote michongo,na police wamo kwenye hiyo michongo.
 
Habari Wana jukwaa...

Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2

Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.

MAONI YENU PLEASE.
Mwambie rafiki yako na wewe muache ujinga. Ukitaka simu nenda dukani, nunua simu upewe na risiti. Jf haishauri wezi.
 
mmmh jaman maduka ya simu tele bado watu mnanunua za magendo
 
Ndo mjifunze sasa yeye dukani apajui hio laki nane aliyowapa police still bado zitamtoka si angepata iphone
 
Aliyemuuzia wanae sa kwann bado WANATAKA alipe Hela za vitu vilivyopotea na ajajua atma ya Hela yake mkuu
Atalipa kwa zamu yake Acha wamfilisi kwanza huyo rafiki yako.
Hakuna msaada wa kisheria hapo mwambie akubali tu kulala na chupi.
Muuzaji na mnunuzi wote kesi moja ya umiliki wa mali ya wizi.
 
Wewe na rafiki yako wote wapuuzi

Mnanunuaje simu yenye thamani Kama hyo kwa mtu Tena bila risiti

Mpigwe TU labda mtabadirika kiakili

Mil 2 n nyingi Sana kununulia simu Tena mkononi hamkujar usalama wenu kabisa
Na tena kama ni simu ya bei police wanajua pesa ipo
 
Wanakulaga kotekote, kwa aliyeibiwa simu, kwa aliyeiba na kwa aliyenunua. Wataendelea na kamchezo hako wala hawamwambii aliyeibiwa kuwa imepatikana
Pia ipo michezo unauziwa simu kisha muuzaji anaenda ripoti police unapatikana unaliwa kotekote kwa kupigwa kesi ya wizi au mauaji kupitia simu uliyonunua.
So ukifikiria miaka 30 au maisha jela lazima uuze nyumba Ili washinde bar.
Hadi wakufilisi
 
Uwezo wa kulipa simu 2M upo cha ajabu mnashindwa kupata wakili wa 500,000 tafuteni mwanasheria aende kuongea na mkuu wa kituo.
Wabongo tunapenda sana sifa, yaani mtu anataka kumiliki simu ya million 2 kilazima hata kama uwezo wake ni wa chini.
 
Habari Wana jukwaa...

Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2

Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.

MAONI YENU PLEASE.
Police wa kitengo cha syber ni wezi sana
 
Wanakulaga kotekote, kwa aliyeibiwa simu, kwa aliyeiba na kwa aliyenunua. Wataendelea na kamchezo hako wala hawamwambii aliyeibiwa kuwa imepatikana
Hahahaaa..na alieibiwa watamuuzia na sio kumrudishia!
 
Pia ipo michezo unauziwa simu kisha muuzaji anaenda ripoti police unapatikana unaliwa kotekote kwa kupigwa kesi ya wizi au mauaji kupitia simu uliyonunua.
So ukifikiria miaka 30 au maisha jela lazima uuze nyumba Ili washinde bar.
Hadi wakufilisi
Sipendi kbs ukaribu na urafiki wa polisi mimi. Wajinga mno maisha yao ni kudhulumu tu wenzao.
 
Habari Wana jukwaa...

Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2

Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.

MAONI YENU PLEASE.
Watanzania wengi ni wapumbavu sana.


Una milioni 2 unaenda kununua simu ya mkononi??????



ACHA ALIWE ILI APATE AKILI TIMAMU.
 
Ohooo,hapo huyo aliyepeleka malalamiko,aliyemuuzia jamaa na polish wote lao moja amini nakuambia wanajuana hao kama vipi we angalia mlango mwingine tu
Ni kweli, Kwa simu za iPhone mlalamikaji, muuzaji na hao Polisi ni kitu kimoja kwenye huo mchezo, hao wote ni matapeli.
 
Habari Wana jukwaa...

Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.

Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara ila shida inakuja kwa huyu rafiki yangu Polisi wameshamtoza tena hela za kwenda kumfatilia huyo mtuhumiwa number moja wakati yule aliyemuuzia wamemkamata ndio angetakiwa kuwajibika sio huyu rafiki yangu tena

Maana yeye kanunua tu na kingine WANATAKA tena laki Tano eti naye alipe ili kulipa vitu vilivyopotea na hiyo simu wakati huo kashawapa laki 3 za kumfuata huyo mtuhumiwa huko Mtwara na simu alinunua milioni 2

Je, wadau afanyaje kuipata haki yake maana mimi naona wanamlia hela wakati kesi ahusiki tena.

MAONI YENU PLEASE.
Haya ndio madhara ya kutaka kumalizana polisi.
Huyo ndugu yako awatake wapeleke kesi mahakamani vinginevyo ataliwa pesa sana na kesi iko pale pale.
Na pia aache tamaa. Amenunua IPhone ila mpaka mwisho atatoa pesa ya simu ingine nawisho atakuwa hana simu bado.
 
Angeachana nayo tu, polisi watamla mpaka wamle yeye mwenyewe
 
Back
Top Bottom