Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
- Thread starter
-
- #81
Ahahahahah...sio tamthiria kaka mkubwa. Ni mshtuko tu kinyume na mategemeo.Tamthilia zinatuharibu,watoto watano tu mnalia na kununiana,mwenzio nina watoto saba,kwetu tulizaliwa kumi na maisha yanasonga,relax
Ukiwa kwenye ndoa na hujafunga kizazi tegemea loloteAhahahahah...sio tamthiria kaka mkubwa. Ni mshtuko tu kinyume na mategemeo.
Ahahahah..na wamepishana vizur kabisa chief..13yrs, 8yrs, 5yrs 2yrs.Ata that age mna utitiri huo wa watoto?
Nashkuru chief, ni kwel sikutaka kuandika kilankitu kuepusha kuwachosha watu na mambo mengi ila nitazingatia ushauri wakoJapo hujasema ila inaoneka kuna kitu zaidi ya uliyoyasema kwenye uzazi wenu kwasababu sioni sababu ya nyie kuwa frustrated na suala la mimba wakati mmeshapitia hiyo stage mara nne kwahiyo mna uzoefu wa kutosha.
Tafuta siku nzuri mkae na mkeo mzungumze mkishawekana sawa ombeni toba kwa Mungu kwasababu mmekosea kunun'gunika kwa kiwango hicho. Then jiandaeni kumpokea mtoto wenu mzuri mtakaempata na tafuteni jina litalokuwa na ushuhuda kumhusu.
Kila la heri
Nilijionaga mastwr sana kwenye kutumia calendar mpaka hiv ambapo imenisalitiNb: njia za uzazi wa mpango ni muhimu ile ya kalenda ni bahati nasibu.
JfSasa ushauri gani unahitaji?
Haya hiyo mimba sio yako
Haijakusaliti mkuu sema kuna mahali mlijichnganyaNilijionaga mastwr sana kwenye kutumia calendar mpaka hiv ambapo imenisaliti
Hayupo yeyote mwenye changamoto mkuu, kwa hili namshukuru MunguKati ya watoto 4 kuna ambaye ni kilema? Au mkeo huwa anapata changamoto za mimba?
Kama siyo, why mnakuwa frustrated?
Haya mambo haya mimi kalenda ilinisaliti mpaka mr akaanza kusema au umenibambikizia,kwanza mtoto alikuwa bado mdogo sana jamaa alipanic akasema tuitoe,mi nikamwambia sina mpango huo hata sir God hawezi kunielewa,badae akarudi kwenye mstari mambo yakawa sawa tu.Ilinitokea mm pia, miaka kadhaa iliyopita, kidogo tuitoe ile Mimba ila baada ya kuwaza tena na wife tukaona hii zambi itatutafuna miaka yote ya maisha yetu hapa duniani, hakuna namna ilibidi kukubaliana na hali tu, mtoto kuzaliwa kafanana na mm kuliko wote waliopita, dogo now yuko shule afu kana akili sana, M/Mungu amjalie sana, Leo namtazama nafsi inanisuta kiaina.
Nikupe moyo, ni mipango ya Mungu, huwezi jua,
Nb: njia za uzazi wa mpango ni muhimu ile ya kalenda ni bahati nasibu.
Nakazia hapa.We nawe! Unajipa stress za bure tu
Watoto ni wako wewe!!?
Mungu Alisha plan sura za viumbe vyake vijavyo kabla ya misingi ya ulimwengu kuwekwa!refer Yeremia alipoambiwa na Mungu kuhusu yeye kuwa alimjua kabla hajaiumba Dunia!!!!
Na huyo aloemo tumboni ni WA Mungu sio wako wewe ni chombo tu Cha kufyatua tofali!!
Halafu mwanamme unaogopaje Mimba!!?
Sasa nakwambia huyo atakae zaliwa ndio Game changer yaani ataondoa vizuizi vyote mnavyopitia maishani huyo ndio Designated survivor was familia yako!!
Nenda kamshukuru Mungu mkuu Kwa yote yale kumhusu!!!!
Watu tunawaza kuongeza wake ili tuzae nyie mnaogopa mimba!
So sad!
Nikajua ww ndio umeoaKondom hapana, nafikiri nitafunga mimi uzazi.
SWali moja. Ukifunga uzazi unakua hushushi mzigo ule kwenye mambo yetu yale au inakuaje yan?? Na haina atharinyoyote kwa mwanaume ku enjoy sex akifunga uzazi??
Sijakuelewa. Inawezekana pia hujanielewaNikajua ww ndio umeoa