Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nipo kwenye process ya kupata eneo...Kama banda ni la ndani sawa maana siku hizi vifaa vyote unapata Dar au Nairobi bila kuhangaika kuagiza nje
Kwanza nakushauri uende mwenyewe mguu kwa mguu mpaka kwa wafugaji wa aina zote ukajifunze na hata kuangalia tu
Unahitaji mganga na vijana wa kazi ambao watakuwa hapo kila wakati
Ni kazi ngumu lakini ina faida kama utawaangalia vizuri
Umuhimu ni usafi tu wa hali ya juu tena unakuwa mkali haswa
Weka cages zako na kila miezi kadhaa unawauza kufidia gharama usiwe na tamaa ya kuwafikisha 1000 mpaka uwe na mtaji wa kutosha
Tafuta eneo hata ekari 5 au 10 utanikumbuka kwa hiliNipo kwenye process ya kupata eneo...
Duuh Mungu asaidie jamania nataman sana ifike hii hatua. Hua natimiza ahadi nikifanikisha hili nitakuita kwetu kijijini huku.Tafuta eneo hata ekari 5 au 10 utanikumbuka kwa hili
Kwani ukifanikisha mradi wa kuku hautaishia kwenye kuku tu bali utaanza na mbuzi wa nyama na hata ng'ombe wa maziwa na hapo utahitaji lishe
Hautahangaika maana utalima mazao yako mwenyewe na kuwalisha
Kama eneo zuri na lina maji unajiongeza na kujenga bwawa la samaki why not
Miradi minne pamoja mbona utaniita tule nyama choma 😄 🤣
Sio mbaya anza na chochote kwanza mkuu, kila kitu ni mipango na kuomba afyaDuuh Mungu asaidie jamania nataman sana ifike hii hatua. Hua natimiza ahadi nikifanikisha hili nitakuita kwetu kijijini huku.
Ila nilitaka nianza na Eka 2
AmiinNaam daah yaani ikifanikiwa hiii nami nitauaga ufukara.
Mungu muweza atie rehema zake
Kabisa mkuu nataka ningie front mwenyewe shughuli zangu zingine nitaachia watu ila hiiya ufugaji nitashiriki kikamilifu. Kuna bwana huko YouTube ananipa hasira sana daah. Mungu asaidieAmiin
Nakuombea kila la kheri ufanikiwe
Mafanikio ni kupambana mwenyewe tu kwa nguvu zote
Usiamini mtu, piga kambi maana waswahili hata umsaidiaje bado anakupiga tu
Thanks ma'am.Huwa natamani kufuga ng'ombe hata wawili ninywe maziwa
Kuku wa kienyeji pia napenda
Mtu ukiwa na eneo kubwa sio mbaya ukafanya kilimo cha small scale inasaidia
I wish you All the best...!
Ukiangalia Wakenya na waganda walivyotajirika huwezi amini mkuuKabisa mkuu nataka ningie front mwenyewe shughuli zangu zingine nitaachia watu ila hiiya ufugaji nitashiriki kikamilifu. Kuna bwana huko YouTube ananipa hasira sana daah. Mungu asaidie
Napenda nyumba iwe ina vitu vya kuwafundishia watoto kazi mfano mifugo, bustani za mbogamboga na mahindi etcThanks ma'am.
Nikuoe kabisa ili tufanye ufugaji pamoja... Ila wewe mwanamke wa dar uta Endure maisha ya kilimo na ufugaji uachane na make up
You're a potential wife material... Eleweka twende site tukapige jembe na watoto wetuNapenda nyumba iwe ina vitu vya kuwafundishia watoto kazi mfano mifugo, bustani za mbogamboga na mahindi etc
Huwa nawaza weekend mtoto wangu wa kiume anachukua dumu kwenda kuuza maziwa, wa kike anachukua mboga anaenda kuuza mtaani huko😎
Jamaa ni mganda daktari wa binaadamu kaacha kazi yupo bize na ufugaji. Kuku wake anawaita Egg laying machines... Ukimuangalia hadi unatamani aisee. Nataka nidedicate maiaha yangu huko kwakweli. Habari za kuajiriwa au kutafuta ajira niachane nazo.Ukiangalia Wakenya na waganda walivyotajirika huwezi amini mkuu
Ila wao wako kimkakati haswa na hawana utani
Watu wamerudi kutoka majuu na wameamua kukaa shamba
Hata waghana pia
Yaani ukiangalia YouTube utaona mambo mkuu
Achana na kuajiriwa mkuu ni utumwaJamaa ni mganda daktari wa binaadamu kaacha kazi yupo bize na ufugaji. Kuku wake anawaita Egg laying machines... Ukimuangalia hadi unatamani aisee. Nataka nidedicate maiaha yangu huko kwakweli. Habari za kuajiriwa au kutafuta ajira niachane nazo.
Duuh hili jipya kwangu kumbe nijiandae na swala la competition. Hivi unashauri eneo liwe kando ya barabara au ndani kidogo nje ya mji?Achana na kuajiriwa mkuu ni utumwa
Wewe ni kutafuta kijana msomi unamlipa vizuri anakuangalizia tiba zote na kuwatunza na wewe unajifunza mdogo mdogo
Nimewaangalia sana hao
Kuna jamaa mmoja kaondoka 🇺🇸 baada ya miaka 15 anajiita Value farm yupo na mdada
Huyo jamaa kachukua eneo kubwa maili 70 toka Kampala mjini na sasa yuko mbali sana
Alianza na kuku tu ila sasa daa
Ila anasema ukitaka ajiri mganga wa kumlipa maana ukileta wa nje wengine wanahongwa ili wawape sumu mifugo yako kukudhoofisha kwenye soko
Bora kuwa na wa kwako unamlipa
Popote unapoona usafiri unafika maana utahitaji kubeba vitu vyako na maandalizi piaDuuh hili jipya kwangu kumbe nijiandae na swala la competition. Hivi unashauri eneo liwe kando ya barabara au ndani kidogo nje ya mji?
Asante kwa credit...You're a potential wife material... Eleweka twende site tukapige jembe na watoto wetu