Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,064
- 2,076
Analo tena we unakaa kabisaAna wowo?
Mimi mwanamke kunipa na kuwa na Mimi apambane kwelikweli wanawake wananiomba Mimi namba wananitongoza wao na sitoi namba kijinga wengine wanalia
😅😅😅😅 raha sana kuwa handsome boy hata ukose pesa unakula muda wowote.Mimi mwanamke kunipa na kuwa na Mimi apambane kwelikweli wanawake wananiomba Mimi namba wananitongoza wao na sitoi namba kijinga wengine wanalia
Eti beautiful and bright. Unajuaje kama ni brightSalaam!
Imani yangu inaniambia Jf wengi wao ni watu mordenized ones......kwa heshima hii nawapa.
Sasa naomba wakaka wa kisasa tubuni namna ya kuomba namba kwa hawa wadada.
Hizi ni tabia za kijinga kwa wakaka washamba na limbukeni.
1. Kila demu anayepita unajeuza shingo au kumtolea mimacho, utatolea macho wangapi kama wewe siyo limbukeni.
2. Kila demu unapiga miluzi mingi na kupispis....limbukeni.
3. Kila demu unayekaa naye seat moja kwenye daladala au sokoni au bar au wapi wataka kuchukua namba huu ni uzuzu na utahira.
4. Kila demu ni pisi kali kwako ushamba huu.
Nimewaona wanaume modernized ni mara chache sana wanaduwaa kwa kina dada na kuwashobokea.
Option yangu mimi nikimuelewa demu tena kwa matamanio kadhaa kwamba she is beutifull and bright huwa ananipatia simu yake, mimi ndiyo niandike namba yangu anitafute, asiponitafuta atajua yeye mwenyewe wala siwazi.
Wengine jifunzen kuwapa hata mademu business cards zenu.
Sio kukariri kila siku kuchukua namba tu afu inakuwa hewa unakuja kulia lia mapenzi magumu.
Bado nasema hivi pisi kali kunipata lazima itoe jasho.
Hapa umenena kabisa na huu ndiyo uhalisia girls are plenty but we men should reason to ourselves.....kwa nini kila mwanamke umuombe namba.Siku hizi hata sio kazi kumpata mwanamke, wanawake wengi wamekuwa wepesi na wengi huliwa kimasihara tu, tho Mimi binafsi siwezi endelea na manzi nitakayemtongoza alafu anikubaki chini ya massa 2 (wako wengi mno)
Miluzi ya mambo ya kugeukageuka ni ushamba kwa Karne hii, ukimtaka mtu muapproach tu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unajidanganya[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] raha sana kuwa handsome boy hata ukose pesa unakula muda wowote.
Nakuambia ukweli ninao ujua mimi mpaka leo wala usibishe ndugu, mwanaume ukijua kujiweka fresh totoz lazima zikuzimikie, wewe kataa ila huo ndiyo ukweli.Unajidanganya
Jinsi ulivyoandika, title na contents wala havihusiani..!!! Yaani ni kama gazeti flani hivi la udakuSalaam!
Imani yangu inaniambia Jf wengi wao ni watu mordenized ones......kwa heshima hii nawapa.
Sasa naomba wakaka wa kisasa tubuni namna ya kuomba namba kwa hawa wadada.
Hizi ni tabia za kijinga kwa wakaka washamba na limbukeni.
1. Kila demu anayepita unajeuza shingo au kumtolea mimacho, utatolea macho wangapi kama wewe siyo limbukeni.
2. Kila demu unapiga miluzi mingi na kupispis....limbukeni.
3. Kila demu unayekaa naye seat moja kwenye daladala au sokoni au bar au wapi wataka kuchukua namba huu ni uzuzu na utahira.
4. Kila demu ni pisi kali kwako ushamba huu.
Nimewaona wanaume modernized ni mara chache sana wanaduwaa kwa kina dada na kuwashobokea.
Option yangu mimi nikimuelewa demu tena kwa matamanio kadhaa kwamba she is beutifull and bright huwa ananipatia simu yake, mimi ndiyo niandike namba yangu anitafute, asiponitafuta atajua yeye mwenyewe wala siwazi.
Wengine jifunzen kuwapa hata mademu business cards zenu.
Sio kukariri kila siku kuchukua namba tu afu inakuwa hewa unakuja kulia lia mapenzi magumu.
Bado nasema hivi pisi kali kunipata lazima itoe jasho.
Handsome uendane na hela bila hela majangaNakuambia ukweli ninao ujua mimi mpaka leo wala usibishe ndugu, mwanaume ukijua kujiweka fresh totoz lazima zikuzimikie, wewe kataa ila huo ndiyo ukweli.
Muhuni unatoa ten tu ya guest unakula pisi kali au yenyewe inalipa bills zote kisa imekuelewa ila mjuba mwingine anaenyeka kuhonga laki.