Naomba wanaume tuje tubuni mbinu mpya za kuomba namba za simu.

Naomba wanaume tuje tubuni mbinu mpya za kuomba namba za simu.

I'll tell you mbinu yangu moja tu kati ya nyingi
Ukikutana nae kama unadrive utampgia honi akismama utamfata
Utamwambia samahani mimi siendi uelekeo huu ila nlkua nafuata gari yako nmependezwa na wewe
Nmekufuata parefu kiasi naona ntapotea zaidi NAOMBA NAMBA ZAKO ZA SIMU KAMA HAUTAJALI


Kama upo kwa miguu mbinu ni Ile ile
Samahani nmekufuata nyuma tangu msimbazi huku unapoenda spajui zaidi nmeona nigeuzie hapa naomba namba yako ya simu
 
Mimi mwanamke kunipa na kuwa na Mimi apambane kwelikweli wanawake wananiomba Mimi namba wananitongoza wao na sitoi namba kijinga wengine wanalia
Mimi mwanamke kunipa na kuwa na Mimi apambane kwelikweli wanawake wananiomba Mimi namba wananitongoza wao na sitoi namba kijinga wengine wanalia
😅😅😅😅 raha sana kuwa handsome boy hata ukose pesa unakula muda wowote.
 
Huku MTU hauwezi andika kila kitu...tuna julikana 😉
 
Salaam!
Imani yangu inaniambia Jf wengi wao ni watu mordenized ones......kwa heshima hii nawapa.

Sasa naomba wakaka wa kisasa tubuni namna ya kuomba namba kwa hawa wadada.

Hizi ni tabia za kijinga kwa wakaka washamba na limbukeni.

1. Kila demu anayepita unajeuza shingo au kumtolea mimacho, utatolea macho wangapi kama wewe siyo limbukeni.

2. Kila demu unapiga miluzi mingi na kupispis....limbukeni.

3. Kila demu unayekaa naye seat moja kwenye daladala au sokoni au bar au wapi wataka kuchukua namba huu ni uzuzu na utahira.

4. Kila demu ni pisi kali kwako ushamba huu.

Nimewaona wanaume modernized ni mara chache sana wanaduwaa kwa kina dada na kuwashobokea.

Option yangu mimi nikimuelewa demu tena kwa matamanio kadhaa kwamba she is beutifull and bright huwa ananipatia simu yake, mimi ndiyo niandike namba yangu anitafute, asiponitafuta atajua yeye mwenyewe wala siwazi.

Wengine jifunzen kuwapa hata mademu business cards zenu.

Sio kukariri kila siku kuchukua namba tu afu inakuwa hewa unakuja kulia lia mapenzi magumu.

Bado nasema hivi pisi kali kunipata lazima itoe jasho.
Eti beautiful and bright. Unajuaje kama ni bright
 
Siku hizi hata sio kazi kumpata mwanamke, wanawake wengi wamekuwa wepesi na wengi huliwa kimasihara tu, tho Mimi binafsi siwezi endelea na manzi nitakayemtongoza alafu anikubaki chini ya massa 2 (wako wengi mno)

Miluzi ya mambo ya kugeukageuka ni ushamba kwa Karne hii, ukimtaka mtu muapproach tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi hata sio kazi kumpata mwanamke, wanawake wengi wamekuwa wepesi na wengi huliwa kimasihara tu, tho Mimi binafsi siwezi endelea na manzi nitakayemtongoza alafu anikubaki chini ya massa 2 (wako wengi mno)

Miluzi ya mambo ya kugeukageuka ni ushamba kwa Karne hii, ukimtaka mtu muapproach tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapa umenena kabisa na huu ndiyo uhalisia girls are plenty but we men should reason to ourselves.....kwa nini kila mwanamke umuombe namba.
 
Unajidanganya
Nakuambia ukweli ninao ujua mimi mpaka leo wala usibishe ndugu, mwanaume ukijua kujiweka fresh totoz lazima zikuzimikie, wewe kataa ila huo ndiyo ukweli.

Muhuni unatoa ten tu ya guest unakula pisi kali au yenyewe inalipa bills zote kisa imekuelewa ila mjuba mwingine anaenyeka kuhonga laki.
 
Salaam!
Imani yangu inaniambia Jf wengi wao ni watu mordenized ones......kwa heshima hii nawapa.

Sasa naomba wakaka wa kisasa tubuni namna ya kuomba namba kwa hawa wadada.

Hizi ni tabia za kijinga kwa wakaka washamba na limbukeni.

1. Kila demu anayepita unajeuza shingo au kumtolea mimacho, utatolea macho wangapi kama wewe siyo limbukeni.

2. Kila demu unapiga miluzi mingi na kupispis....limbukeni.

3. Kila demu unayekaa naye seat moja kwenye daladala au sokoni au bar au wapi wataka kuchukua namba huu ni uzuzu na utahira.

4. Kila demu ni pisi kali kwako ushamba huu.

Nimewaona wanaume modernized ni mara chache sana wanaduwaa kwa kina dada na kuwashobokea.

Option yangu mimi nikimuelewa demu tena kwa matamanio kadhaa kwamba she is beutifull and bright huwa ananipatia simu yake, mimi ndiyo niandike namba yangu anitafute, asiponitafuta atajua yeye mwenyewe wala siwazi.

Wengine jifunzen kuwapa hata mademu business cards zenu.

Sio kukariri kila siku kuchukua namba tu afu inakuwa hewa unakuja kulia lia mapenzi magumu.

Bado nasema hivi pisi kali kunipata lazima itoe jasho.
Jinsi ulivyoandika, title na contents wala havihusiani..!!! Yaani ni kama gazeti flani hivi la udaku
 
Nakuambia ukweli ninao ujua mimi mpaka leo wala usibishe ndugu, mwanaume ukijua kujiweka fresh totoz lazima zikuzimikie, wewe kataa ila huo ndiyo ukweli.

Muhuni unatoa ten tu ya guest unakula pisi kali au yenyewe inalipa bills zote kisa imekuelewa ila mjuba mwingine anaenyeka kuhonga laki.
Handsome uendane na hela bila hela majanga
 
Back
Top Bottom