Tafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
Mwisho wa siku umri ukisonga mnaanza kumsumbua mbabu wa watu mwamposa .sidanganyiki ng'ooo π kwenye huo mtego umenikosa,,ndege tunduni mieππΎπππ
Bonge la ushauri aiseeTafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
haina shda wakat utakua umefikaπMwisho wa siku umri ukisongo mnaanza kumsumbua mbabu wa watu mwamposa .
Jidanganye πhaina shda wakat utakua umefikaπ
wacha kunitishia bwan πJidanganye π
Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
Hauoni mzee wa kutoa miongozo na bibie wanavyo kula maisha humu?wacha kunitishia bwan π
Toa code kamili bwan habari za mafumbo achia mhogo mchungu πHauoni mzee wa kutoa miongozo na bibie wanavyo kula maisha humu?
Mhogo mchungu ndio kitu gan?π€Toa code kamili bwan habari za mafumbo achia mhogo mchungu π
acha kupotezea mada,,ebu turud bwanMhogo mchungu ndio kitu gan?π€
Nmewaona bwan ππππππΎ wazee waHauoni mzee wa kutoa miongozo na bibie wanavyo kula maisha humu?