Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tengeneza ukaribu ujue kwanza ni aina gani ya mtu unaetaka kuwa nae kabla ya tongozo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme hvooo 😂😂😂😂😂sidanganyiki ng'ooo 😂 kwenye huo mtego umenikosa,,ndege tunduni mie🙌🏾😂😂😂
umemhudumia mshangaz wako chap,,af utasema ulkua unapika😄😄😄🤣🤣🤣🤣Usiseme hvooo 😂😂😂😂😂
Na kusubiri mimi
Jamani weeeh 😂😂😂😂😂😂😂umemhudumia mshangaz wako chap,,af utasema ulkua unapika😄😄😄🤣🤣🤣🤣
yan ntakuandama na mashangaz ad ukae kwenye line😂😂😂😂😂Jamani weeeh 😂😂😂😂😂😂😂
Ebu kwanza tuache habari za mashangazi let talk about ......
Nipe mbinu... Sasa nianze na wewe basi 😂😂😂😂yan ntakuandama na mashangaz ad ukae kwenye line😂😂😂😂😂
Weh sichezei biblia ila najua jinsi yakumfanya mtu aingie kingi chapuKwa hiyo wewe ni kuwadi mkuu😂
HasemaNiliwakataza kunisumbua
😂😂😂😂😂kua na adabu basiNipe mbinu... Sasa nianze na wewe basi 😂😂😂😂
Adabu gani tena ..😂😂😂😂😂kua na adabu basi
sjawah ata fkiria kufanya ivo 😥Adabu gani tena ..
🥺🥺🥺🥺 Unanitenga
🤣Mpigie.
Honey pot 😂😂Mkuu njo pm sema unamtaka yupi mi ntakupa namba chap...
Nacheka lakini naogopa 😂😂😂🙌sjawah ata fkiria kufanya ivo 😥
na uogope ivo ivo totoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nacheka lakini naogopa 😂😂😂🙌
Natania tu mwenzakoBaba bulubendi ulitongoza dume? 🤣🤣🤣
Weeeeeh weeeeh weeeeeh hatareee hiyo 😂😂😂
Mnunulie lunch kilasiku ndan ya mwezi m,mojaKatika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.
Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.