Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
ushanikwaza tayar,,umetaja shangaz nkajua umebadilikaπ«π«πΆπΎββοΈMi mbona siku zote nipo hivo ms....
Sema mara moja moja shangazi atakagi niwe naamka na simu.
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushanikwaza tayar,,umetaja shangaz nkajua umebadilikaπ«π«πΆπΎββοΈMi mbona siku zote nipo hivo ms....
Sema mara moja moja shangazi atakagi niwe naamka na simu.
ππππππ
Tigo wanaudhi sana π€£π€£π€£Sasa Tsh 64 unafanyia nini et ππππ
Hahahaha πππππππππππYaaani wee acha now nimekua matured sifati mtu mpaka nihakikishe kwa kupitia nyuzi zake hata 5..
Kuna mmoja hivo hivo katika story mbili tatu kumbe ni fundi mafriji.
Nikawa najiuliza kweli fundi + mafriji alafu awe wa kike...
Nikajiongeza tu nikasema mwamba tupambane bana pesa haipatikan simple hivo kaka ππππππ
πDaah shukran sanaπTafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
ππππππ Wabaki na gawio lao tuuu .Tigo wanaudhi sana π€£π€£π€£
Weeeh hii achana nayo....Hahahaha πππππππππππ
Shida ni pale utatongozza shemeji yako ama dada yako.Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.
Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.
Naachaje na imenitekenyaπππππWeeeh hii achana nayo....
Mbona unacheka kwa sauti hivo π π π π π π
ππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί Kama tunachekana takua sitoi visa humu ndani ujueNaachaje na imenitekenyaπππππ
roho mbaya ata haikupendez mbon pua bureiniππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί Kama tunachekana takua sitoi visa humu ndani ujue
Nipe mwongozo mkuu, fafanua zaidi hii mbinu nimeijaribu sana hata kama kaandika pumba nalike tuπ€£Sikiliza kwa makini mbinu zitolewazo na k, kama ni pepa limevuja hilo.....
Kuna likes za watu ni sumakuπ
Upo katika hatua nzuri ya kutongoza jitahidi kijana.....Nipe mwongozo mkuu, fafanua zaidi hii mbinu nimeijaribu sana hata kama kaandika pumba nalike tuπ€£
Kwaiyo niendelee kushusha like tu nikisubiri miujiza?Upo katika hatua nzuri ya kutongoza jitahidi kijana.....
Likes, zoea....zama pm.Kwaiyo niendelee kushusha like tu nikisubiri miujiza?
Et niambie mahi ππUshapewa mbinu.....mie nakupa nyongeza tu ukishapata chance ya kufika pm ingia na miguu miwili salimia, jitambulishe sema nia yako.
Sio unaenda pm vipi my niambie, sa uambiwe nini?? Kakuambia anataka kukwambia kitu?? We mwenye nacho ndio useme.
Au salamu nyiiiiingi, mambo, unajibiwa poa, za huko.....huku wapi???!!!
Ww shangazi usinizooee nilikua nakupima tu jf hakuna pisi ya maana π€£Likes, zoea....zama pm.
Ukichoka lete jina nkutongozee
Nakupa jina sasa hivi maana hii imezidi sasa ππ₯ΊππππLikes, zoea....zama pm.
Ukichoka lete jina nkutongozee
Daaaah nimelia sana kwahiyo pisi za humu ni ng'ombe tuWw shangazi usinizooee nilikua nakupima tu jf hakuna pisi ya maana π€£