Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!

Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!🙌
It works 👍😇
 
Inauma sana....imagine unamfata pm mrembo "hello mambo dear" anajibu ni aje aje mzeiya 🥹
Yaaani wee acha now nimekua matured sifati mtu mpaka nihakikishe kwa kupitia nyuzi zake hata 5..

Kuna mmoja hivo hivo katika story mbili tatu kumbe ni fundi mafriji.

Nikawa najiuliza kweli fundi + mafriji alafu awe wa kike...
Nikajiongeza tu nikasema mwamba tupambane bana pesa haipatikan simple hivo kaka 😂😂😂😂😂😂
 
Yaaani wee acha now nimekua matured sifati mtu mpaka nihakikishe kwa kupitia nyuzi zake hata 5..

Kuna mmoja hivo hivo katika story mbili tatu kumbe ni fundi mafriji.

Nikawa najiuliza kweli fundi + mafriji alafu awe wa kike...
Nikajiongeza tu nikasema mwamba tupambane bana pesa haipatikan simple hivo kaka 😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo ulimtongoza fundi 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom