de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
Zinaringa mno na ukiona pisi inaringa ni red flag kubwa haina maajabu.Daaaah nimelia sana kwahiyo pisi za humu ni ng'ombe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaringa mno na ukiona pisi inaringa ni red flag kubwa haina maajabu.Daaaah nimelia sana kwahiyo pisi za humu ni ng'ombe tu
Mwanamke sharti aringe, au wewe unataka ukigusa tu imo??Zinaringa mno na ukiona pisi inaringa ni red flag kubwa haina maajabu.
[emoji75][emoji75][emoji75][emoji75]Daaaah nimelia sana kwahiyo pisi za humu ni ng'ombe tu
Mmmh sema mkipigwa pini mnakua na hasira....mixa kuanza kudissZinaringa mno na ukiona pisi inaringa ni red flag kubwa haina maajabu.
Yeye ndo hajui kujiweka kwa pisi humuMwanamke sharti aringe, au wewe unataka ukigusa tu imo??
Emb acheni kunatofauti kati ya kuwa na stara au kuonesha uko na hadhi na kuringa kusiko ma mashiko wadada wa jf ndo walivyo.Mwanamke sharti aringe, au wewe unataka ukigusa tu imo??
Hakika, kuna wenzake wanakula hadi wanazikimbia yeye sijui anakwama wapi.Yeye ndo hajui kujiweka kwa pisi humu
Hizo zinazoringa mbona wenzake wanazimiliki
KabisaaaHuyu hafai! Hawa ndo mkigombana kidogo tu unajikuta jukwaani upo uchi
de Gunner
Mbona unaniattack mimi nasema ukweli, najua tofauti, kingine mm sina hizo inshu mbona. Kumbe nimegusa kunako🤣🤣Mmmh sema mkipigwa pini mnakua na hasira....mixa kuanza kudiss
Relax babu sio lazma kukubali, akiringa endelea na mambo yako kiroho safi.
Relax....nothing is seriousMbona unaniattack mimi nasema ukweli, najua tofauti, kingine mm sina hizo inshu mbona. Kumbe nimegusa kunako🤣🤣
Wanaume wengi wana hii tabia. Wanasahau si kila unachokitaka lazima ukipate.Mmmh sema mkipigwa pini mnakua na hasira....mixa kuanza kudiss
Relax babu sio lazma kukubali, akiringa endelea na mambo yako kiroho safi.
Sasa mtu akiringa wewe inakupa shida gani eti rafiki? Si unaachana nae unaangalia mambo yako mbona ni vitu vidogo sana hivyo.Emb acheni kunatofauti kati ya kuwa na stara au kuonesha uko na hadhi na kuringa kusiko ma mashiko wadada wa jf ndo walivyo.
Am not serious either 🤣🤣Relax....nothing is serious
Kumeshapitwa na wakati huko matured men don't undulge na wanawake wa namna hioSasa mtu akiringa wewe inakupa shida gani eti rafiki? Si unaachana nae unaangalia mambo yako mbona ni vitu vidogo sana hivyo.
SawaUzi nikifunguliwa na mtu ninayemkubali nafurahi tofauti na hapo naupita kama sioni.
No one is taking things serious broo, ukiona mtu ka react jua ndo anachukulia seriouslyThis is jamii forum don't take things too serious. Unaoona wanaringa ukute ni midume na ndevu zao chafu lakini kuna wengine wa ID kama za kiume ila ni pisi kali kwelikweli. Kazi kwako
Ila wewe naamini kabisa sio madam,,,maana maandishi yako sio ya kimadam kbsJf ina wanawake 6 tu hadi kufikia march 2024 (za ndani kabisa hizi)