Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

" NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu"

1.Hii hela (5,660,000) waliyokupigia hesabu kwamba utabaki nayo baada ya wao kukata madeni yao yote ikowapi?

2.Na kama walikupigia hesabu wao,kwenye fomu ya mkataba ni lazima iandikwe hivyo,Je IPO hivyo? Kama imeandikwa kwenye mkataba kosa ni lao hivyo hawapaswi kushikilia hela yako kabisa.

3. Makao makuu uliongea na nani?kama ni wale wa huduma kwa wateja wengi hawana uelewa wale,kwa ishu tata kama hizi utaishia kupewa majibu rahisi tu kama waliyokupa.

4."Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote"
Hapa kosa lako wewe ni nini?si uliambiwa utabaki na 5,660,000?

5."lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali)" hapa ulikubali nini mbona unajichanganya wewe mwenyewe?

Hitimisho:

Ukijibu hayo maswali tuyajua tatizo liko wapi,maana kuna vitu naona umejichangaya hatuelewi lakini nikushauri tu,

Andika barua kwa mwajiri(ambaye ndiye mdhamini wako) wako kuelezea tatizo lako ukiweka na uthibitisho wa bank statement,mkataba wa mkopo nk ili yeye aiandike bank rasmi.

Kingine piga huduma kwa wateja(ila usiwaeleze tatizo tena) waombe contact za Idara ya mikopo ya wafanyakazi,ongea na mkuu wa Idara kisha tuma malalamiko yako kwa email(yakiwa na ushahidi,pamoja na barua uliyopeleka kwa wajiri na benki) kopi iende kwa MD au CFO,maana naamini hio barua unayosema umendika umepeleka tawini,ambapo kama kosa ni lao hio inaishia kwa Meneja tu ili nao wawe salama,kwa hatua hizi utapata majibu ya Uhakika.

Kila la Heri.
Mkuu, ebu msome tenaa..

1. Hiyo 5.6M ndio ipo ndani ya ile 9. something Milion ambayo aliitoa bank.

5. Alikubali kuwa hiyo pesa iliyozidi, yaani 4.something Milion ni kweli ameitoa toka kwenye account yake.
 
Mkuu, ebu msome tenaa..

1. Hiyo 5.6M ndio ipo ndani ya ile 9. something Milion ambayo aliitoa bank.

5. Alikubali kuwa hiyo pesa iliyozidi, yaani 4.something Milion ni kweli ameitoa toka kwenye account yake.
Ndio ilivyo hasa,
Na lengo Mimi sio kukataa kuwa nadaiwa Bali , ni namna ya kulipa Hilo Deni pole pole bila kuathiri mshahara wote,

Kwasasa sioni tofauti kabisa ya makosa niliyofanya Mimi na haya makosa wanayofanya NMB
 
Mkuu, ebu msome tenaa..

1. Hiyo 5.6M ndio ipo ndani ya ile 9. something Milion ambayo aliitoa bank.

5. Alikubali kuwa hiyo pesa iliyozidi, yaani 4.something Milion ni kweli ameitoa toka kwenye account yake.
Kama ni hivyo alipe tu,maana kama hakuwa na hela inayobaki hakutakiwa kutumia hela ambayo hajui imetoka wapi,ina maana si yake
 
Thanks again, Mungu ni mwema nitatoka hapa
Mkuu mwandikie manager wa bank na mpe picha halisi na uombe mfanye amicable settlement kuliko kutumia nguvu, ungekua mwizi ungepiga mpunga na kuhama. Build your confidence ,andika kwa lugha very professional lakin pia very polite (not apologetic). Watakuelewa tu
 
Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.

Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!

Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.

Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.

Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje. NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
Nashindwa kukusaidia kwa vile hupendi kutoa ushirikiano kuhusu kwa nini uliamua kutumia pesa zote wakati ukijua si halali yako.
 
Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.

Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!

Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.

Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.

Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje. NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
Miezi 8 bado deni halijaisha million 4 mshahara gani uo acha kazi tafuta shuguli nyingine ila ujue hilo deni huwa halipotei la sivyo hutakopa katika benk yoyote wanaambiana pole sana yalinikuta ayo
 
Nashukuru Sana kwa ushauri wenu lakini Kuna Mambo ambayo wengine hawayaoini...
1. Kwanza matumizi ya iyo pesa nimeyaweka wazi,

2. Nimekubali kuwa nimefanya kosa na nilienda huko NMB na nimeandika pia kwa Manager kuomba "namna ya kulipa deni Hilo pole pole, na sikuona msaada,
3. Deni waliloweka kwenye akaunti yangu ni tofauti na Deni ninalodaiwa na bodi
 
Hata mie ningezitoa zote,

Wao kwanini hawakufanya transaction zao huko salio lako wakakuwekea,

Ila ndo kimeshakula kwako, miezi nane ya njaa ni mingi sana, ukisema uuze nyumba hata kupata mteja kwa miezi nane itakuwa bado.

Una gari uza, laptop uza pia kopa kopa uishi kwa kujibana, utafika tu.

Pole lakini
 
Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.

Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!

Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.

Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.

Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje. NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
😆😆😆 Ilo jumba bovu lime mwangukia loan officer aliye issue claims yako ...we mwachie liporomokeee kabisaaa yaan we waambie pesa umewekeza shambani
 
Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na uhitaji sana, kufupisha stori ni kuwa jumla ya mkopo wote walinipa 17,400,000, sasa walipoingiza mimi nikakuta jumla ya 9,456,000 kwenye akaunti yangu.

Kwa haraka nilijua kuwa hiki ndicho kiasi changu nikatoa baadhi ya pesa na kuendelea kumalizia kibanda changu na kumaliza pesa yote. Sasa baada ya siku 10 afisa mikopo wa NMB akanipigia kuwa nirudishe mpunga wote yaani ile 9,456,000 maana lile deni la Loan Board halijalipwa bado!

Nikamuuliza kwanini hajalipa akasema mimi niliwahi kutoa pesa kabla hawajakata! Nikawapigia makao makuu, (audio clip ninazo) wakadai kuna makosa pande zote kwanza wao walitakiwa washikilie hiyo pesa kwanza mpaka miamala yote ifanyike, lakini pia walitakiwa ndani ya saa 72 kuwasiliana na mteja maana kumuachia mtu pesa zaidi ya wiki moja na kipindi hiki tunakijua ni mtihani, lakini pia wakasema nilifanya kosa la kutoa pesa ambayo ilizidi (kitu ambacho nilikubali) sasa jambo la ajabu wameniwekea credit -4,234,000 kwenye mshahara wangu na hivyo mshahara wangu wamezuia kwa ajili ya deni hilo.

Nimefanya njia zote ikiwemo kwenda tawini na kuongea nao, kuandika maelezo n.k lakini mpaka sasa wamegoma na option wananipa ni kurudisha pesa.

Nisaidieni wakubwa maana nimewaomba walau wakate kidogo kidogo pia wanagoma na sasa wanashikilia mshahara wote mpaka deni liishe ni zaidi ya miezi 8 na wote tunajua maisha ya mfanyakazi bila salary. Nisaidieni nifanyeje. NB: Sipendi kuulizwa kwanini niliamua kutumia pesa zote.
Nenda kakope benki nyingine ulipe deni lote
 
Nenda ofisi yaUtumishi katika halmashauri unayofanyia kazi KABADILISHE ACCOUNT YA MSHAHARA ikiwezekana fungua account CRDB. Kwasababu wao hawana uwezo wa kukata mshahara kwa kiwango cha kuzidi 1/3 isipokua account yako ya NMB wanasubiri mshahara uingie ndio wakate yaani pesa ikiingia tu kwenye account yako inakatwa moja kwa moja. Hivyo fungua account katika benk nyingine.
Nadhani mwajiri ni mdhamini wake na kasaini documents zake na ndio anayepeleka huo mshahara huko alikokopa. Mwajiri akipeleka mshahara bank nyingine atashtakiwa na yeye ndo atatakiwa kulipa Hilo deni Kama hatapeleka huo mshahara.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa haraka haraka jamaa analamba 1.5 million we unasema aache hiyo kazi unajua kuna watu wanalamba 270,000/=
Hesabu za wapi mkuu hizo, maanake analamba kama laki tano na point, maana hapo analipa hiyo milion 4 na point aliyochukua siyo mkopo mzima.
 
Vumilia wamalize deni lao. Tafuta njia nyingine ya kuishi. Shukuru umepata mkopo umemaliza nyumba. Tamaa mbaya ungewasiliana nao kabla hujachukua hela maana ulijua amount uliyopaswa kuipata.
 
Back
Top Bottom