Ukweli najitahidi sn kumpatia vyakula vya aina nyingi.Acha kumshindilia ma wanga Kila siku .Asubuhi unamshindilia wali uliobaki Jana(wanga) mchana ugali(wanga) na usiki wali(wanga) hakuna Cha matunda Wala maziwa hapo lazima mtoto aone kula ni kama adhabu.kama anampa makundi yote ya chakula na Hali basi mpeleke hospitali akapimwe
Nna uhakika asilimia 80 ukienda mpima damu utaambiwa iko chini..em jaribu kwa wiki moja tu kumpa vyakula vya kuongeza damu utaona mabadiliko, naongea kutokana na experience ya wanangu mwenyewe.Kweli hata huyu wa kwangu kwenye chips atakula sana na kuongeza, njoo kwenye ugali au wali anakula kwa shida mpk anasinzia.
Sijaona code Zako kule kwenye jamvi letu la kuwekeza ... Kanjibai atoe hela ya kuwalisha wenetu Chip na mayai ya boi yai
Asante kwa hili dokezoNna uhakika asilimia 80 ukienda mpima damu utaambiwa iko chini..em jaribu kwa wiki moja tu kumpa vyakula vya kuongeza damu utaona mabadiliko, naongea kutokana na experience ya wanangu mwenyewe.
ushakosea way back mtoto kutokula sio issue ya kumchapa ni issue ya kitabibu sasa kama ulianza kumchapa ushazingua.Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..π
Akiweka chakula mdomoni hamezi mtie migumi ya shingoHabari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..π
Muonee huruma huyo dogo yaani unadiriki kumtandika Ili Hali hakuna juhudi yeyote uliyofanya kujua dogo ana tatizo Gani? Kwann hukumpeleka hospital upate ushauri wa kitaalam?Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..π
Hahaππ,. Chamsingi amepata muongozoHahaha, Leejay49 sina hata idea ya how to raise a kid
Sijawahi kukaa na mtoto hata kwa nusu saa π ,hata huyu wa miaka mitano sina nachokijua
Labda asome huu uzi anaweza kupata moja na mbili
Njia 5 za kumfanya mtoto apende kula
Kuwa mzazi ni jambo jema, ila kulea mtoto si kitu rahisi, haswa akiwa ndio mtoto wa kwanza. Wengi wetu tunalea watoto kutokana na maelekezo ya watu wenye uzoefu na malezi kwa muda mrefu. Tatizo linakuja pale ambapo mbinu wanazotumia zinapoleta madhara makubwa kuliko faida. Mie nasisitiza kuwa...www.jamiiforums.com
Mimi wangu hapendi kula ila sio fimbo mzee unaenda mbali sana.Umenena Kaka,,Huwezi Kumchampa Mtoto Kisa Kakataa Kula,,Hapo Ndio Anamvuruga Kabisa,Mtoto anahitaji Akili Kubwa Mnoo ili uwezekung'amua Shida Zake
Mpe therapy ya vitamin ile yenye mchanganyiko wa strawberry atapata hamu ya kula.Habari za leo wana Jf. Naombeni msaada wa mawazo ya kumfanya mtoto wangu apende kula.
Mtoto wangu ni wakike anaumri wa miaka 5 sasa. Afya yake sio mbaya ila tatizo lake HAPENDI KULA.
Kila siku lazima nimshikie fimbo wakati wa kula. Nikulazimishana ni vilio mwanzo mwisho mpaka chakula kinaisha.
Na usipomshikia kiboko hicho chakula hakitaisha yuko radhi akae hapo akiangalie tu muda wote.
Na anatabia yakuweka chakula mdomoni halafu hamezi. Kuna wakati najiuliza sijui anashida kwenye koo?
Kwa sasa namuonea huruma mana namchapa sana wakati wakula ila habadiliki ingawa akisikia njaa huwa anasema.
Naomba ushauri nitumie mbinu gani ili nimshawish apende kula ama kama kuna dawa zinazoweza kumpelekea kupata hamu ya kula mara kwa mara ningeomba nizifaham.
Je tatizo hili ni kwa watoto wengine pia ama ni kwa mtoto wangu tu?
Natanguliza shukrani..π
Pole yake sana...
Nmeshaazimia kuacha hyo njia. Ningependa kujua hizo supplements mtaalam.ushakosea way back mtoto kutokula sio issue ya kumchapa ni issue ya kitabibu sasa kama ulianza kumchapa ushazingua.
badili na ujaribu vyakula tofaut tofaut utapata tu favourite yake alafu pia kuna supplements zipo za kuongeza hamu ya kula.
Alaf uache kudekeza dekeza mtoto utamfanya awe Boya
Hana shida yoyote kiafya naamini hivyo. Ila ntajitahidi nimtafute mtaalam wa watoto hospMuonee huruma huyo dogo yaani unadiriki kumtandika Ili Hali hakuna juhudi yeyote uliyofanya kujua dogo ana tatizo Gani? Kwann hukumpeleka hospital upate ushauri wa kitaalam?
Wahenga walisema kuzaa sio shida Bali kulea kwahiyo jifunze kulea mkuu.
Asante sana imekaa vyema hiiMimi wangu hapendi kula ila sio fimbo mzee unaenda mbali sana.
1. Nilichokuja kugungua ni kuepuka kuwaonyesha watoto wenu kwa watu. Watu ni wachawi mno. Wapeleke watoto wakacheze mbali na home, home binaadam wabaya sana.
2. Epuka kumpa mtoto vyakula vya viwandani, epuka biscuits japo mara moja moja mpe, pipi, vitu vyenye sukari humpotezea mtoto hamu.
3. Epuka ugali, wali, ndizi kila mara. Changanya radha mbalimbali, mpe mayai, maboga, viazi batata, changanya na mchuzi wa samaki, wkt mwingine nyama ngommbe kuku nk.
4. Epuka vyakula vyenye harufu. Kwa mfano viungo, epuka, mfano jaribu hii mrenda na kaugali. Hapa hakuna harufu atakula, mpimie kipimo cha umri wake, usimpe ari mradi.
5. Uji. Epuka hii wanaita lishe. Kama ni uji wa mahindi mpe wa mahindi tuu, kama ni mama mpe huo tu, kama ninwa muhogo mpe huo tu. Na isiwe kila siku badili badili radha tofauti. Ubwabwa weka na kipande cha samaki, weka jani la maboga changanya.
6. Matunda siku 7 za wiki ale matumda sita au saba mfano. Embe J3, Chungwa J4, Parachichi Jumatano, Papai Alhamisi, Nanasi Ijumaa, Apple Jumamosi na Topetope Jumapili. Topetope liwe mwisho wa wiki maana kulipata ni kwa shida. Juisi wazoeshe za kutengeneza kwa usafi.
Mwisho mpe mtoto mayai ya kukaanga na kuchemsha, mpe nyama maana IQ inapatikana kwenye nyama, mayai, maziwa, ndizi, wanga kwa mbaaali nk nk
Hii ni kwa experience yangu.
I am done here
Asante sanaNenda kampime minyoo
Mtafutie watoto wengine wa kula naye
Mpe vitamini na matunda anayopenda.
Badilisha badilisha chakula uwe na variety mbali mbali.
Mpe juisi ya chungwa au limau.
Usimpe chakula cha aina moja muda mrefu