username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #301
Ndio mkuuZinalewesha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuZinalewesha?
Standard ,weupe shepu ya kuitia wateja ipo.Wana tako? Kutumia lugha nzuri kwa mlevi ni kumshawishi kuongeza bia wakati kabla ya kuja pub hakuweka budget hiyo
Nawakaribisha sana.
Tunapeana sapoti Wana jfNashindwa kielewa huu uzi imekuwaje ukakimbia hv
Napenda wadada wafupi,ntakuja,unitag ukifikaWeekend hii tupo hapo
Ukiona wadada watatu wafup
Ndo sisi
This is Afrika!....Wewe ni mganga?
Zindiko ni kuwa na huduma nzuri na bei rafiki.
Acheni kutukuza tunguli na uongo wa kindezi kwenye biashara.
Daah nimekumbuka uli-comment una penda dog style.Baga zipo?View attachment 3086169
As a messi fan, hii ni moja kati ya username ninazozikubali sana hapa JFMah-raya na wahudumu wazuri wapo?
😂😂😂🙌Karibu sana, nipo mpaka kwenye group lako la KV.
binti kiziwi twende tukamuunge mkono mwana jamii forums mwenzetu kwa hatua aliyoifikia. Na tukifika hapo pub, ni full kujitambulisha. Gharama zote na mambo ya keep change; ni juu yangu. 😎Hongera, all the best.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾As a messi fan, hii ni moja kati ya username ninazozikubali sana hapa JF
Siwezi kuugomea na leo ni ijumaa, Sweetpipi asubiri siku yake itafika.binti kiziwi twende tukamuunge mkono mwana jamii forums mwenzetu kwa hatua aliyoifikia. Na tukifika hapo pub, ni full kujitambulisha. Gharama zote na mambo ya keep change; ni juu yangu. 😎
Kumbuka tu ukiugomea huu mtoko wangu, nammchuku mtoto mwingine mkare kwa jina la sweety candy. 😩
See you thereKaribu sana.
Jumamosi hii kutakuwa na nyama choma bureeee
Karibu sana mkuu.See you there
Pub ipo kinyerezi mahakamani , karibu na Ikupa bakeryHivi umegoma kutuwekea picha tuione au mi ndo sijaziona.?
Warrraaaaaapp