ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Wewe ni KE/ME?Kinyerezi ipo mbele ya segerea kama unaenda mbezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni KE/ME?Kinyerezi ipo mbele ya segerea kama unaenda mbezi.
KEWewe ni KE/ME?
Ok,Hapo Tutakuja Kutalii hayo maeneo.Kuna Vivutio Gani vingine hapo.Unaweza Share Location hapa?
Kinyerezi mahakamani, uliza ulipo Ikupa bakery, ukifika ikupa bakery utaona pub ndio hiyo hiyo.Ok,Hapo Tutakuja Kutalii hayo maeneo.Kuna Vivutio Gani vingine hapo.Unaweza Share Location hapa?
Sawa mkuu ,nimelipokea.pamoja mkuu,Anza kupika na supu yakuku
Nakupongeza kwa kunadi biashara yako japokuwa inawezekana watakao liona bandiko hili katu hawawezi kuwa wateja wako swali fikirishi je umejiridhisha pasina shaka humu kuna wateja wa bidhaa yako?Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Ni wazuri , wana lugha nzuriMsichana wako wa counter ni no E? Body na cheses ipo kwenye condition?
Wapo waliokuja .Nakupongeza kwa kunadi biashara yako japokuwa inawezekana watakao liona bandiko hili katu hawawezi kuwa wateja wako swali fikirishi je umejiridhisha pasina shaka humu kuna wateja wa bidhaa yako?
Zinalewesha?Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Wana tako? Kutumia lugha nzuri kwa mlevi ni kumshawishi kuongeza bia wakati kabla ya kuja pub hakuweka budget hiyoNi wazuri , wana lugha nzuri
Hongera sana kwa maana inatakiwa uwambie watu unafanya niniWapo waliokuja .
Wengine nategemea kuanzia kesho na kesho kutwa.
Unakosea sana kuwaita wateja ni wahuni, hata kama hupendi kuhudumia watu wa low classes basi jaribu sana kutumia polite language .Hapa pombe ambazo hatuuzi ni smart gin(kisungura) , double kick ,Cuca nk tumefanya hivi ili angalau kupunguza wahuni .
Karibu sana, nipo mpaka kwenye group lako la KV.Weekend hii tupo hapo
Ukiona wadada watatu wafup
Ndo sisi
Nimekuelewa mkuu.Unakosea sana kuwaita wateja ni wahuni, hata kama hupendi kuhudumia watu wa low classes basi jaribu sana kutumia polite language .
NB : Siyo wote wanaotumia hivyo vinywaji ni wahuni, wapo wanaotumia wine lakini bado ni wahuni. Fahamu hilo