Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Yes, bia na kitimoto vinaenda haswaaNimependa ilo neno amini kwamba limetumika ipasavyo 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, bia na kitimoto vinaenda haswaaNimependa ilo neno amini kwamba limetumika ipasavyo 😊
Nguruwe ni haramu? Lakini pombe sio haramu?Hapana kaka.
Kwa hilo siwezi
Bora nikose pesa ila sio kuuza nguruwe.
Kwenye uchumi wanasemaga perfectly elastic demandYes, bia na kitimoto vinaenda haswaa
Unapenda hii michezo michezo ya kifirauni WeweBaga zipo?View attachment 3086169
Wewe ni mdau wetu Inshallah tutafika kukuungishaNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Wewe kila Dume humu unamuita my loveSitumii kilevi my love
Utanishtua mzee.Nielekeze nawaonea wapi kwa hapa singidani.
Karibu sana.Wewe ni mdau wetu Inshallah tutafika kukuungisha
Wengine hawapendi harufu ya nguruwe.Nguruwe ni haramu? Lakini pombe sio haramu?
Kukataa kuuza nguruwe alafu hapo hapo unauza pombe inashangaza sana
Nguruwe ana kisehemu chake huwa panatengwa kwa pembeni.Wengine hawapendi harufu ya nguruwe.
Imagine umekaa unakula , jirani yako kakaa anakula nguruwe ,kwa ambao sio watumiaji wanaelewa
Ndio my love... hutaki auWewe kila Dume humu unamuita my love
Michezo ya kifirauni ndo michezo Gani sweetheart...Unapenda hii michezo michezo ya kifirauni Wewe
antenna wanazoKalete wahudumu kutoka SINGIDA uttakuja nishukuru..
Picha ??? Utatuvutia vp ambao hatuijui?Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Samahani mkuu Mimi sio msemaji wao 😊antenna wanazo