Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Yaan hauna misabwanda, mzee fanya mpango ulete hivo ni vivutio, na ukienda unyanturuni unawazoa balaaHaipo.
Kikubwa ninachoomba ni sapoti yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hauna misabwanda, mzee fanya mpango ulete hivo ni vivutio, na ukienda unyanturuni unawazoa balaaHaipo.
Kikubwa ninachoomba ni sapoti yako.
Hapana kaka.Kitimoto inapatikana hapo mkuu
Sawa kaka , nimelipokea.Yaan hauna misabwanda, mzee fanya mpango ulete hivo ni vivutio, na ukienda unyanturuni unawazoa balaa
NAKAZIAUzi bila picha, ni chai!!
Karibu sana mkuuAhaa pamoja chief tutapita hata kununua soda hapo kaka
Hapana.
Ni wewe tu na maongezi yako private .
Wakikuelewa sawa ,wasipokuelewa pia ni sawa.
Siwezi kuingilia privacy yenu mkuu
Karibu sana mkuu.Good. Very good.
Sawa mkuu, nimelipokea 🙏🙏🙏asante sana.Mimi ushauri wangu hakikisha huduma yq choo imekaa vzr.
Hukuwa hiviiSoda huwa zinaleta nyuki Bar
🦟🦟🦟🦟🦟Hukuwa hivii
Hii ni moja ya changamoto za wajasiriamali wetu.
Kwa hiyo sasa nikifika hapo Mnadani direction inakuwaje?
Kibosi au siyo!😄Anataka apigiwe simu, maana nimeona kaweka nambari za simu 😂
Weee twende tukaenjoy hapomambo hayo😊😊😊kuna nyamanyama au ni pombe tu
HUJAWAI kuwaona hao vin'gasti ndio kazi zao yaan ni professional kabisa kwa kuzaliwa..Vipi kwani ni wazuri? Chura wanayo?
Nimependa ilo neno amini kwamba limetumika ipasavyo 😊Hilo ni tobo aisee
Weka kitimoto fasta, na unaweza kuja kushangaa kitimoto ikaenda zaidi kuliko hivyo vinywaji. Amini kwamba
Aisee sasa mbona nilipita majuzi hapo singidani na sikuona warembo au wanajificha wapiHUJAWAI kuwaona hao vin'gasti ndio kazi zao yaan ni professional kabisa kwa kuzaliwa..
Wajuvi watajazia NYAMA NYAMA
Tupe sababuHapana kaka.
Kwa hilo siwezi
Bora nikose pesa ila sio kuuza nguruwe.
Wapo mkuu in my opinion ndio mkoa unao ongoza TZ 🇹🇿 kuipeperusha vyema bendera ya TzAisee sasa mbona nilipita majuzi hapo singidani na sikuona warembo au wanajificha wapi