username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #161
Asante mkuuHongera Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuHongera Sana.
Asante sana.Mkuu nitafika kukupa sapoti na nitaleta mrejesho hapa, hongera sana
Karibu sana.Poa man, me uhakika weekend. Maana natokea Ubungo nitaenda lazima
Uliza Ikupa bakery ,mnadani ni rahisi zaidi kufikaWengine tupo kazurambimba,sasa tunajuaje njia panda nane za goms na bar gani sijui?
Hapana kaka .Boss ile super market ya ikupa pale kinyerezi ni yako?
Kama ndio BIDHAA za trufood zimeingia (ZESTA)
Ndio mkuu .Nitakuja Mkuu
Hapo Huwa Ukitoka Kule Kwenye Mitambo Ya Gas Kuna Kona Kali Halafu Mbele Unakuta Kibao Cha Mahakamani
Vumilia tu ndiyo wateja wajibu vizuriHapana hatutaki kuuza huo uchafu.
Watu wanataka picha ya pub wathaminishe kama ni hadhi yao. Hizo za wahudumu kaa nazo tutawakuta huko huko na miti tutawapiga kama wazuri.Tafadhari mambo ya picha siyahitaji labda ujipige wewe mwenyewe ujiposti na sio kuwapiga watu.
Mtanisamehe kwa hilo.
Siwezi.
Huyu inaonekana si mmiliki, ila ni mtu wa publicityDuh kwa majibu haya unatangazia watu kuja au unawafukuza watu wasije ?
You might be doing more harm than good...., A customer especially a potential one is always right bora uache kujibu kuliko kujibu wa kejeli...
Ana hasira mnoDuh kwa majibu haya unatangazia watu kuja au unawafukuza watu wasije ?
You might be doing more harm than good...., A customer especially a potential one is always right bora uache kujibu kuliko kujibu wa kejeli...
Anasema kipo,Cha kuchoma by j4 ya next week kitaanza.Kitimoto inapatikana hapo mkuu
Ahaa pamoja chief tutapita hata kununua soda hapo kakaHapana kaka .
Ni jirani zangu.
Kitimoto, kitimoto, kitimotoNilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchangwanyiko naona moderators wameondoa huenda SI jukwaa sahihi .
Pub yangu bado ni mpya ipo kinyerezi mnadani (mahakamani)
Ninaomba ushirikiano wenu maana bado ni changa.
Huduma zipatikanazo ni kama vile chakula, vinywaji, shisha , pia burudani za ziada haswa kwa weekend mfano karaoke, performance kutoka kwa wasanii mbalimbali nk.
Namba zangu ni hizi 0757720362 kwa Mawasiliano na ushauri.
Pub inaitwa Run Way.
Karibuni sana.
Kaka kwa Osama hakuna bar hio Dar Safari ipo wacha wacha karibu na hospital ya buza.🤣🤣🤣🤣
Kuna Bar moja niliingia kula chakula maeneo ya Buza kwa Osama aisee ilikuwa na Watoto wakali made in Singapore nimekula nikaagiza bia, salio likakata mpaka nikampigia Mwana nipo safari natokea Iringa nimeachwa na basi hapa Mikese nilishuka kuchimba dawa tumbo linazingua sana na vitu vyangu vipo kwenye gari nisaidie hata 30k nichukue boda nilifukizie Mwana akatuma 50k nikaendelea kula vitu huku......
Bar ikiwa na Wahudumu wazuri na wacheshi waliochangamka utapata sana wateja.
Karibu sanaCount me in!