username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #121
Kaka kwa hilo mkuu siwezi, ninaomba unisamehePicha ya mhudumu wakike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kwa hilo mkuu siwezi, ninaomba unisamehePicha ya mhudumu wakike
sehem gan wengine ndo kwetuNilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchangwanyiko naona moderators wameondoa huenda SI jukwaa sahihi .
Pub yangu bado ni mpya ipo kinyerezi mnadani (mahakamani)
Ninaomba ushirikiano wenu maana bado ni changa.
Huduma zipatikanazo ni kama vile chakula, vinywaji, shisha , pia burudani za ziada haswa kwa weekend mfano karaoke, performance kutoka kwa wasanii mbalimbali nk.
Namba zangu ni hizi 0757720362 kwa Mawasiliano na ushauri.
Pub inaitwa Run Way.
Karibuni sana.
Nyama nyama zipo mkuumambo hayo😊😊😊kuna nyamanyama au ni pombe tu
Karibu sana mkuuHakuna shido
View attachment 3086216
Wacha wee kumbe umo?mambo hayo😊😊😊kuna nyamanyama au ni pombe tu
Kinyerezi mnadani (mahakamani)sehem gan wengine ndo kwetu
Weka pichaNilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchangwanyiko naona moderators wameondoa huenda SI jukwaa sahihi .
Pub yangu bado ni mpya ipo kinyerezi mnadani (mahakamani)
Ninaomba ushirikiano wenu maana bado ni changa.
Huduma zipatikanazo ni kama vile chakula, vinywaji, shisha , pia burudani za ziada haswa kwa weekend mfano karaoke, performance kutoka kwa wasanii mbalimbali nk.
Namba zangu ni hizi 0757720362 kwa Mawasiliano na ushauri.
Pub inaitwa Run Way.
Karibuni sana.
Ni kinyerezi mahakamani (mnadani).Picha
Location vizuri
Pombe haikopeshwiUnakopesha?
Ndio kaka.Hutaki kuweka picha?
Umeamua sasa kuuleta jukwaa la mahusiano na mapenziNilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchangwanyiko naona moderators wameondoa huenda SI jukwaa sahihi .
Oooh ni ile njia ya vumbi kama una pandisha kwa juu hiviNi njia ya ya kinyerezi park imeingia kwa ndani kidogo