Naombeni sapoti yenu, nimefungua Pub yangu Kinyerezi

Naombeni sapoti yenu, nimefungua Pub yangu Kinyerezi

Nilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchangwanyiko naona moderators wameondoa huenda SI jukwaa sahihi .


Pub yangu bado ni mpya ipo kinyerezi mnadani (mahakamani)

Ninaomba ushirikiano wenu maana bado ni changa.


Huduma zipatikanazo ni kama vile chakula, vinywaji, shisha , pia burudani za ziada haswa kwa weekend mfano karaoke, performance kutoka kwa wasanii mbalimbali nk.

Namba zangu ni hizi 0757720362 kwa Mawasiliano na ushauri.

Pub inaitwa Run Way.
Karibuni sana.
sehem gan wengine ndo kwetu
 
Nilipost kwenye jukwaa la habari na hoja mchangwanyiko naona moderators wameondoa huenda SI jukwaa sahihi .


Pub yangu bado ni mpya ipo kinyerezi mnadani (mahakamani)

Ninaomba ushirikiano wenu maana bado ni changa.


Huduma zipatikanazo ni kama vile chakula, vinywaji, shisha , pia burudani za ziada haswa kwa weekend mfano karaoke, performance kutoka kwa wasanii mbalimbali nk.

Namba zangu ni hizi 0757720362 kwa Mawasiliano na ushauri.

Pub inaitwa Run Way.
Karibuni sana.
Weka picha
 
Back
Top Bottom