username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #81
Wapo ,ila ni medium sio misambwanda mkuu.Kumbe wapo mbona umesema hamna kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo ,ila ni medium sio misambwanda mkuu.Kumbe wapo mbona umesema hamna kiongozi
Hilo ni tobo aiseeHapana , haipo mkuu.
Pole,bila shaka sasa ni mzoefu na unaweza kumuunga mkono mdau bila shaka,kwa kijiwe chake kipya.Nilitapika mnoooo 🤣🤣🤣
Maana nilianza kuchanganya Hanson Choice na Coca baadae nikaanza kuchanga na castle lite wacha nitie aibu???
Si unajua ela ya kitongq ilinitia aibu mpaka nikatoa 5000 jamaq akapiga deki matapishi
Asante sana mkuu.Jumapili nipo hapo Mkuu
Inatakiwa wachangamke na watoe huduma nzuri Mkuu, wewe ni mwenzetu ukiwa unapata hata wateja 50 kutokq humu ni sapoti kjbwa sanaWapo ,ila ni medium sio misambwanda mkuu.
mi sitajitambulisha kwanza maana nitaona aibu ila nikishalewa sasa ukikataa mimi sio member nakudunda hivyo uwe fit sinaga masihara nikilewa!Ukisema tu ni member wa JF inatosha, sio lazima useme username yako.
Naishi Kinondoni MimiPole,bila shaka sasa ni mzoefu na unaweza kumuunga mkono mdau bila shaka,kwa kijiwe chake kipya.
Ndio maana yangu hiyo mi napenda portableWapo ,ila ni medium sio misambwanda mkuu.
Hilo ndio la msingi.... username required zingatia hili maana tunataka mishangazi yenye TTTaiseh hongera sana zingatia kuweka pisi kali hili tupate huduma safi na huduma safi
Nakuja chapu nipo hapa alle bush segerea stndNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Bado ipo kwenye maboresho kaka.Kumbe pako safu.
Ungeweka hata kapicha kwa mbele
Sawa kaka , nimelipokea.Kalete wahudumu kutoka SINGIDA uttakuja nishukuru..
Keshaona wahudumu wapo, na mmiliki kasema wana maumbo ya kuvutia ataacha kujitokeza unavodhaniKumbe,ukimya wote,hatimae leo kimeeleweka sasa🤣🤣🤣🤣🪂🪂🪂🪂🪂
Hii ni moja ya changamoto za wajasiriamali wetu.Mkuu unaweka tangazo la kijiwe cha pub na huwezi picha, google map location...
Soda huwa zinaleta nyuki BarSoda za Pepsi zipo?
Hapana kaka.Hilo ni tobo aisee
Weka kitimoto fasta, na unaweza kuja kushangaa kitimoto ikaenda zaidi kuliko hivyo vinywaji. Amini kwamba
Mbona kwangu zipo naziona 😃Upo bize unaulizia misambwanda hadi umesahau kumwaga likes.....
Mbona kwangu zipo naziona 😃Upo bize unaulizia misambwanda hadi umesahau kumwaga likes.....