Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Situmii kilevi my loveMbona hujamuulizia jini smart?
Poa man, me uhakika weekend. Maana natokea Ubungo nitaenda lazimaUkitaka kwenda ni TAG
Unakunywaga ?😁😁😁Hongera Sana.
Wengine tupo kazurambimba,sasa tunajuaje njia panda nane za goms na bar gani sijui?Kuna watu wagumu kuelekeza
Naonja onja 🥴🥴Unakunywaga ?😁😁😁
Wine & Beer 😋😋Wine
Beer
Spirit ???
😃😃😃
Wengine tupo kazurambimba,sasa tunajuaje njia panda nane za goms na bar gani sijui?
OiSitumii kilevi my love
Mah-raya na wahudumu wazuri wapo?Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Boss ile super market ya ikupa pale kinyerezi ni yako?Ikupa bakery.
Nitakuja MkuuKaribu sana kaka Kennedy.
Utuambie na mwisho wa siku ilikuwaje🤣🤣🤣🤣
Kuna Bar moja niliingia kula chakula maeneo ya Buza kwa Osama aisee ilikuwa na Watoto wakali made in Singapore nimekula nikaagiza bia, salio likakata mpaka nikampigia Mwana nipo safari natokea Iringa nimeachwa na basi hapa Mikese nilishuka kuchimba dawa tumbo linazingua sana na vitu vyangu vipo kwenye gari nisaidie hata 30k nichukue boda nilifukizie Mwana akatuma 50k nikaendelea kula vitu huku......
Bar ikiwa na Wahudumu wazuri na wacheshi waliochangamka utapata sana wateja.
🤣 nakazia hukumuMisambwanda ipo
Hapana , haipo mkuu.Kitimoto ipo?
Nilitapika mnoooo 🤣🤣🤣Utuambie na mwisho wa siku ilikuwaje