Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea nini?!Inategemea .
Naaam kaka.Inatakiwa wachangamke na watoe huduma nzuri Mkuu, wewe ni mwenzetu ukiwa unapata hata wateja 50 kutokq humu ni sapoti kjbwa sana
Hapana kaka.
Kwa hilo siwezi
Bora nikose pesa ila sio kuuza nguruwe.
Wala usijali kaka.mi sitajitambulisha kwanza maana nitaona aibu ila nikishalewa sasa ukikataa mimi sio member nakudunda hivyo uwe fit sinaga masihara nikilewa!
Nimemkumbusha alikua kajisahau....😁Mbona kwangu zipo naziona 😃
Tuna TV mbili kaka, ila tutaongeza kama ulazima utawepo.Ndio maana yangu hiyo mi napenda portable
Aya mechi ya Man U na Soton nitaichekia hapo king'amuzi si unacho
username required weka location google map hapo wamikoani tukija tusipoteee.Ukisema tu ni member wa JF inatosha, sio lazima useme username yako.
Hapo sasa.Mkuu hapa atoe ufafanuzi wa kina.
Kwamba pombe wanakunywa ila kitimoto ndo haramu?
Sawa mkuu.Hilo ndio la msingi.... username required zingatia hili maana tunataka mishangazi yenye TTT
Vipi kwani ni wazuri? Chura wanayo?Kalete wahudumu kutoka SINGIDA uttakuja nishukuru..
Thanks a lot bro.Nakuja chapu nipo hapa alle bush segerea stnd
Huuzi nguruwe bali nyama ya nguruweHapana kaka.
Kwa hilo siwezi
Bora nikose pesa ila sio kuuza nguruwe.