username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
- #321
Karibu pubWarrraaaaaapp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu pubWarrraaaaaapp
karibu sana ,kinyerezi , Runway pub ,karibu na Ikupa bakeryFriday is here
Karibu sanabinti kiziwi twende tukamuunge mkono mwana jamii forums mwenzetu kwa hatua aliyoifikia. Na tukifika hapo pub, ni full kujitambulisha. Gharama zote na mambo ya keep change; ni juu yangu. 😎
Kumbuka tu ukiugomea huu mtoko wangu, nammchuku mtoto mwingine mkare kwa jina la sweety candy. 😩
YapKaribu pub
Karibu sanaYap
Wiki ijayo nitafika hapo
mashukia kituo ganNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Imekuwa pesa XUnakopesha?
HapochachaOk,Hapo Tutakuja Kutalii hayo maeneo.Kuna Vivutio Gani vingine hapo.Unaweza Share Location hapa?
Shukia kinyerezi shule, ni mwendo wa dakika tatu mpaka tano kwa kutembea . Kinyerezi mahakamani karibu na Ikupa bakery utaona pub imeandikwa Runway Pub and Grill.U
mashukia kituo gan
Nanhuko pombe mpaka saa tisa ama mda wowote
Je kuna mizigo ya maana
Kama haipo umejipangaje kupendezesha pub ili wawepo...
Congs mkuu
Ukikwama nipigie 0757720362Mungu akusaidie uongeze na Lodge utatupata wengi sana hadi wa mbagala tutakuja
Soon cya
Dk Pdidy
Dah! Mambo mazuri yote yapo huko haluuu hapo kwenye misosi ndo penyewe Nyama bureee haluuu, (Sina kitu)😁Karibu sana.
Jumamosi hii kutakuwa na nyama choma bureeee