Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Nilikuwapo hapo leo.. hadi saa 2 na nusu sasahv nipo mazembe segereaNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwapo hapo leo.. hadi saa 2 na nusu sasahv nipo mazembe segereaNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Hili swala katugomea kabisa kiongoziHAUNA PICHA YA PUB YAKO???
Asante sana kwa sapoti yako , karibu tena mkuuNilikuwapo hapo leo.. hadi saa 2 na nusu sasahv nipo mazembe segerea
Any feedback ? Umepaonaje?Nilikuwapo hapo leo.. hadi saa 2 na nusu sasahv nipo mazembe segerea
karibu sanaHongera sana. Kila la kheri ndugu yangu.
Ova
hapana, tukichelewa sana saa 8 au 9Pub yenu huwa mnakesha?
Nikifika utasema I'd yako jf inaitwajeNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Leo nakuja mchanaAsante sana kwa sapoti yako , karibu tena mkuu
Tupia picha ya wahudumu tuone!Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Nice.. uzuri mimi sipendi mambo mengiAny feedback ? Umepaonaje?
Asante sana mkuuNice.. uzuri mimi sipendi mambo mengi
Karibu sanaLeo nakuja mchana
Wewe picha yako ikipostiwa sehemu utajiskiaje?Tupia picha ya wahudumu tuone!
Karibu sana.Nikifika utasema I'd yako jf inaitwaje
Kaomba picha ya wahudumu au madhari ya sehemu ? au hata majengo yana feelings ?Wewe picha yako ikipostiwa sehemu utajiskiaje?
Wahudumu wetu ni wazuri na wanajitahidi kutoa huduma nzuri.
Soma comment yake namba 369.Kaomba picha ya wahudumu au madhari ya sehemu ? au hata majengo yana feelings ?